Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Umenikumbusha wale mashuhuda wa foreverliving walivyokuwa wanahaha mitandaoni na yule bigsam Forever Living!
Hii ndio kawaida yao kuhamisha mada na kusingizia hatred pale wanapokuwa busted, ni kama typical ya wale foreverliving Forever Living!Kuna aliekataa kuhusu kipaji cha jamaa?
Kuna aliesema hapigi hela?
Ni kweli, ila tunapowafungua macho wasomaji wengine 'vipofu' tunaitwa haters.., kwanini? Kwani kuna ubaya kuweka vitu as they are? Hawa ni madalali wa Forex pale Jangid watafuta watu wa kuwaingiza kwenye biashara ambayo kwangu haina tofauti na foreverliving au Kamari za mpira, na siku zote huwa nazipinga for very obvious reasons.Mkuu hao ni kama brokers na ndio wanaopiga pesa zaidi.
Hizo stori zao ni kama muhindi mwenye biashara ya sports betting akuletee lundo la ushuhuda jinsi wateja wake walivyopiga mamilioni.
Huoni kwamba anapiga promotion uende kwake apige pesa zaidi?
Wanachokifanya sio dhambi wala sio vibaya na sio wizi. Hiyo ni biashara kama biashara zingine.
Kwani hayo uliyoyasema kuna mtu amebisha? Wala hatubishi! Tunachosema ni kwamba, hili tangazo linalengocla kuwa-entrap wasomaji kwenye 'biashara' ambayo kimsingi inapromise mapato ya pesa (yawe makubwa au madogo - its relative) bila kufanya shughuli yeyote ya uzalishaji mali/ huduma; yaani mna entice watu wacheze kamari badala ya kufanya kazi! Yaani hii nchi mnataka ijengwe kwa kucheza kamari badala ya kufanya kazi?!Hii ni kwenu PADRI MCHARO NA WENZIO, binafsi mie ni mmoja kati ya watu wanawaelewa sana Kina ONTARIO, THE BOLD na wakongwe wengine huku JF, ONTARIO ndo member wa kwanza mie kumuona akielezea kile kinachompatia pesa ili wengine wafaidike kama yeye, kuanzia kwenye kilimo, ufugaji na biashara nyingine ambazo anaruhusu kuulizwa na kujibu na kuweka ushahid pia. Pia THE BOLD ni mmoja kati ya waandishi bora kabisa hapa jukwaani, kila mtu ni shahidi kuhusu hili jambo, wote hawa wana kitu kinachofanana yaani huwa hawakatishwi tamaa kwa kile wanachokiamini na kuamua kukifanya!! Sasa nyie hata mseme vipi nnamini mnazidi kuwaongezea kasi tu ili wazidi kutupa maarifa zaidi, nashangaa mnapesma eti ONTARIO anatapeli watu! ONTARIO ni member wa JF anaefahamika hatumii avatar feki na kujificha kama wengine! THE BOLD ana mpaka group yake ya WhatsApp na anajulikana kwa wengi huku ndani na nje ya JF, big up sana MAKAMANDA msikatishwe tamaa na haters kama kina MCHARO na wengineo!
Hizi ni sawa na zile tetezi za wanufaika wa foreverliving; Forever Living!Sifa mojawapo ya Kuwa Hater hapa Jf ni kushindwa kukosoa hoja kwa hoja badala yake atashambuliwa mtoa mada binafsi. Kwa mfano The bold kafanya utafiti wake kaja na hii makala. Huwa inauma sana mtu anakuja anashambua "hamna kitu hapo umeandika upupu tu". Samahani kwa lugha nitakayoitumia, lakini huyo mtu ukimwambia ni wapi aoneshe alipoandika na huo upupu anaanza kujamba jamba tu pyupyupyu.
Niliwahi kujiweka katika viatu vya hater kwa siku moja tu. To be honest i really had a terrible day.. Hebu jaribu fikiria ONTARIO mpaka sasa ameshatoa mafunzo kwa watu zaidi ya 500 na kila siku mishipa inatoka kwa kumuita tapeli. Mbaya zaidi hakuna hata mmoja kati ya hao waliopata mafunzo aliyefungua uzi kulalamika kutapeliwa. Niambie ni maumivu kiasi gani unakuwa umejibebea?
Nashukuru Mungu nimejifunza kutokuwa na roho ya kuchukia iwe kwa jambo baya au zuri. Siwezi kuandika vitu hasi kwa mtu nisiemjua. Ndio leo hii utasema fulani malaya, tapeli au mwizi halafu siku unakuja kugundua huyo mtu hayuko hivyo utakumbuka kumuomba msamaha?!! Baadhi yetu tunaikumbuka kesi ya kevin isaya, ni mfano mdogo lakini nilijifunza makubwa. Kipindi anaanzishiwa nyuzi za kudaiwa wakaungana kumshambulia ila kipindi zinaanzishwa nyuzi za wale walioanza kulipwa pesa yao baadhi yetu wakasema anajianzishia nyuzi ili ajisafishe. Hater hana muda wa kufikiri kwamba ina maana na zile nyuzi za mwanzo alikuwa anajianzishia ili kujichafua?!
Tubadilike, unapokosoa kitu kosoa kwa hoja vinginevyo utaonekana hater tu kama haters wengine. Na kawaida ya hater huwa hana muda wa kufikiri.
Mm namwamini sanaNimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.
=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
===================================
Unanikumbusha wale watetezi wa utapeli wa foreverliving! Forever Living! ; kama nyinyi mnatajirika si mnyamaze mtajirike kimya kimya, msitake kutangaza mafanikio ya akina George Soros ili kuwavutia wateja kwa hao madalali wa gorex pale JANGID, kamari ni haramuHakuna aliyemlazimisha mtu. Na wala hakuna aliyesema forex ni biashara ya kumfanya mtu kuwa tajiri.
Utajiri kwenye maisha ya mtu unategemea zaidi aina ya mtu, na njia alizo nazo katika kupata kipato. Huwez ukawa na duka moja ukasema ww ni tajiri ama ukamiliki hiace 5 ukasema ww ni tajiri.
Kadhalika huwez ukawa na mtaji wa dola10000 forex ukasema ww ni tajiri.
Forex kama zilivyo biashara nyingine husaidia kukuongezea kipato.
Ili mtu awe tajiri yanipasa awe na njia Saba tofauti za kumuingizia kipato
Daah..., yaan huu ndio kama ule utetezi uliokuwa unatolewa na makada wa foreverliving; mara ooh.., sijui hawana uvumilivu, mara ooh wanataka mafanikio haraka.. Forever Living!Mkuu umeongea jambo la maana sana, Watanzania walio wengi wanataka mafanikio ya haraka haraka, Kuna dogo aliingia kwenye FOREX na dola 50, anaendelea vizuri sana wengi hawafuatii taratibu na hawatimuu risk stratergy zinazotakiwa, tamaa inawafanya waunguze akaunti, Biashara ni uvumilivu.
please do tag me mkuuPatience mkuu... jumatatu sehemu ya pili inakuwa hapa.
Unaamini kama mtu yoyote anaweza akawa profitable trader akifanya juhudi ya kuifahamu hii biashara kwa kusoma na kufanya mazoezi sana?Daah..., yaan huu ndio kama ule utetezi uliokuwa unatolewa na makada wa foreverliving; mara ooh.., sijui hawana uvumilivu, mara ooh wanataka mafanikio haraka.. Forever Living!
Forever living ni kampuni ya kimarekani inayofanya biashara kwa njia network marketing business. Inayojihusisha na uuzaji na usambazaji wa bidhaa za forever living.Forever living ndo nini hiyo?
Mkuu una akili sana big upUnajua nimesoma sana posts zako but nimeona mimi sio level yako, ya nini kunijibu mjinga mimi?
Wewe ni great thinker kaa mbali nami ntakuosha uchafu
Forever living ni kampuni ya kimarekani inayofanya biashara kwa njia network marketing business. Inayojihusisha na uuzaji na usambazaji wa bidhaa za forever living.
Mkuu hakuna biashara ngumu na ya hatari kufanya lakini yenye pesa nyingi kama forex...Utajiri haupatikani kirahisi hivyo
Mi pia nimewaza sana kwa raia ni ngum sana, pengine huyu jamaa ni mtu wa kitengo.Brother salute kwako.
Kuna kijiswali kidogo hapa .ulienda kituoni na furana ya navy ulipofika kituoni ukavaa sweta la polisi jambo ambalo raia wa kawaida hawezi thubutu,
Kwanini hukufikiria kunyag'anywa na kuachwa kifua wazi pamoja na kupigishwa kwata bila kupenda
na mimi kaniruka makusudimbona mimi hujanitag shemeji
Jadili hoja, acha kulialia na kutafuta huruma, pambana kwa hojaKwa hiyo!!
Kwa taarifa yako tangu unajiunga humu mimi nipo.
Huwa unajifanya mjuaji lkn nakuhakikishia huna lolote, ukinywa gongo zako unaletaga ujingaujinga tu humu kwa kimombo chako cha kijinga