Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,216
- 1,680
Usi quote Uzi wote acha ushambaInaonekana hujui umuhimu kwa ku tag.
Pambana na kimeo chakoAcha undezi
Profesa uchwara.Tag prof.
daaahhh una akili mnooo aiseeNimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.
=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
===================================
Samahani, wewe ni Professor Lipumba?Inaonekana hujui umuhimu kwa ku tag.
Ok mkuuChiefs,
Twende kwenye uzi wa kifo cha Rais JF Kennedy kule nimeweka kitu... Sehemu ya mwisho. (Sehemu ya Pili kutoka mwisho actually)
Ukiendelea huku nitagChiefs,
Twende kwenye uzi wa kifo cha Rais JF Kennedy kule nimeweka kitu... Sehemu ya mwisho. (Sehemu ya Pili kutoka mwisho actually)
Mkuu unaonekana una uzoefu na hii biashara, sio vibaya nawe pIA kwa wakati wako ukatoa uzoefu na yale unayofahmu kwenye hii biashara.Oh wow!!
Ila ndo uzuri wa JF. Ni cross-section ya society ambapo kuna kila aina ya mambo.
Hii forex trading na mambo ya multi-level marketing yana makandokando mengi sana.
Tulio kwenye financial services sector, hususan kwenye back-end ndo huwa tunauona uhalisia wake.
It’s really not all that.
Kamuazime wewe uone kinachokupataWe ni mmoja wao?mpk ukaenda hivyo na kuazimwa sweta?
Mkuu kwani hao haters wanakuzuia nini wewe kuwa mfuasi wake? Haters wanaleta ugumu gani kwako kupokea mafundisho ya jamaa au hata wakati wa kujichotea mapesa?nashangaa watu mnavyoumizwa na hao haters au wanaojifanya kama wao ni Google (wanajua kila kitu) and yet hata hawawezi kusema wapi hasa hapako sahihi, me nawaona na kama wanataka attention tu na nina mashaka na umri wao plus kiwango cha elimu yao, ukute ndio wamemaliza la saba na form four mwaka huu.