Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Mkuu The bold muda wa breakfast umekwisha.

njoo ushushe episode ya tatu, tukapate lunch.

Napenda namna unavyoandika Makala.
 
Nimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.

=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;

1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.

2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).

3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........

===================================

daaahhh una akili mnooo aisee
 
Oh wow!!

Ila ndo uzuri wa JF. Ni cross-section ya society ambapo kuna kila aina ya mambo.

Hii forex trading na mambo ya multi-level marketing yana makandokando mengi sana.

Tulio kwenye financial services sector, hususan kwenye back-end ndo huwa tunauona uhalisia wake.

It’s really not all that.
Mkuu unaonekana una uzoefu na hii biashara, sio vibaya nawe pIA kwa wakati wako ukatoa uzoefu na yale unayofahmu kwenye hii biashara.
 
Hongera sana mkuu...kwa uchambuz ulio tukuka...kwel watu na vichwa vyao...wapo writters weng lakin sijaona aliye fikia uwezo wako...
 
SEHEMU YA PILI IKO POST # 518
Mbona kwangu haifunguki? Naomba anaejua anielekeze tafadhali.
 
nashangaa watu mnavyoumizwa na hao haters au wanaojifanya kama wao ni Google (wanajua kila kitu) and yet hata hawawezi kusema wapi hasa hapako sahihi, me nawaona na kama wanataka attention tu na nina mashaka na umri wao plus kiwango cha elimu yao, ukute ndio wamemaliza la saba na form four mwaka huu.
 
nashangaa watu mnavyoumizwa na hao haters au wanaojifanya kama wao ni Google (wanajua kila kitu) and yet hata hawawezi kusema wapi hasa hapako sahihi, me nawaona na kama wanataka attention tu na nina mashaka na umri wao plus kiwango cha elimu yao, ukute ndio wamemaliza la saba na form four mwaka huu.
Mkuu kwani hao haters wanakuzuia nini wewe kuwa mfuasi wake? Haters wanaleta ugumu gani kwako kupokea mafundisho ya jamaa au hata wakati wa kujichotea mapesa?
 
Back
Top Bottom