Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nikisema Mimi ni mmojawapo ninaependa mada zake na kwamba nimemuomba aandike kuhusu jambo hili kwa jinsi anavyoelewa yeye utaamini? Basi na ww andika mada zako nikizielewa ntakuwa shabiki wako acha chuki kama una cha kutuambia tujue na kujifunza sema mkuu.
 
Mkuu umesema kuwa wakati Uingereza inajiunga na mfumo wa ERM thamani ya 1GBP=2.95 DM. Sasa mbona inaonekana sarafu ya Uingereza ilikuwa imara kuliko sarafu ya Ujerumani na wakati huo huo uchumi wa Uingereza ulikuwa katika mporomoko?

Naomba ufafanuzi hapo
 
mkuu The bold kama unatafuta replies sema watu tu reply mpka mwisho, tunataka kuelimika tupe elinu haina maana yoyote kukaa days bila muendelezo kama bado hujamaliza kausha ama toa kitabu tununue
Wazo zuri sana,kuna story unakuta imeishia juu juu mtu week nzima unaisubiri.

Bora aanze kuprint vitabu vya hz simulizi zake kisha humu anarusha hata sehemu ya kwanza ya kila story kisha watu tunamwagika sokoni kununua kuliko kuachana tukisota na arosto kali.

The bold
 
Pengine ni typing errors, base currence thamani yake ndiyo moja. Hivyo pindua kama voda
 
Bos,

Nimekwambia kitu simple(sina uhakika kama nimekwambia wewe),

Do you are own research on forex,

Fukua elimu kuhusu hii forex soma vitabu kuhusu hii forex,

Halafu ukishakuwa na mwanga hata kidogo tu ndo hapo wewe sasa utakuja hapa tujadili
DO YOU ARE WHAT!? Haa haaa!
 
Siku hiz hater ni wanaume watu wazima mnatia aibu wanaume suruali
nimependa paja lako neema hebu ni pm tuone namna gani tujivinjari msimu huu wa sikukuu tupumzike baada ya mihangaiko ya forex
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…