Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hii ni hadithi,acha tuielewe tuKumbe inaruhusiwa kuficha fulana ya jeshi la Marekani kwa sweta ya jehi la polisi Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni hadithi,acha tuielewe tuKumbe inaruhusiwa kuficha fulana ya jeshi la Marekani kwa sweta ya jehi la polisi Tanzania.
Wewe umeshaanza ku-download dolari?Kumbe inaruhusiwa kuficha fulana ya jeshi la Marekani kwa sweta ya jehi la polisi Tanzania.
Acha chuki maana mwisho wake kurogaSiku hiz hater ni wanaume watu wazima mnatia aibu wanaume suruali
Si chuk ila wanaume wanatia aibu,, nadhan hasira zinazotokana na mambo mengi yanayowagubika moyonAcha chuki maana mwisho wake kuroga
Nimesoma hiyo paragraph ya utangulizi tu. Hivi ni akina nani hao walikupa maombi mengi ya kukutaka utie neno? Wewe kama umeamua kuandika kitu andika, sio utake watu waone kana kwamba unawafanyia fadhila kubwa au kana kwamba una umuhimu flani hivi..; either way, ur gud at beating around the bush and never getting to the point.
=====================================
Hili tangazo la biashara linasema kwamba;
1.) Office za Forex Tanzania zinazoendeshwa na 'Ontario' zipo JANGID TOWER.
2.) Kwa kufanya hii biashara in a 'clever manner' unaweza kufanikiwa kama 'George Soros'. (He made a BN $ eventually).
3.) Forex bussiness wanayoendesha hapo JANGID ina vibali vyote serikalini, hivyo ni halali na ina-baraka zote toka serikalini (hata hao wahindi wamesha-sort out vibali vyao)
[Malizia kipengele namba 4,5,6,7 na 8 za hili tangazo. Ukishidwa nitakusaidia
4.) .........
===================================
Ukishakunya utazoa mimavi yako we penda misifa tuAcha kupumbazwa wewe.
Ana trade wapi, mwambie adondoshe hapa recent trading history yoyote.
Akiweka nakunya hapa Kariakoo Sokoni mchana huu.
Mamamak. Kweli boya wwsalute
Ahadi ni deni chief tunasubiri mwendelezo sehemu ya tatuItaendela kila baada ta siku moja.
Yaani mfano hii sehemu ya pili nitaweka Jumatatu.
Wazo zuri sana,kuna story unakuta imeishia juu juu mtu week nzima unaisubiri.mkuu The bold kama unatafuta replies sema watu tu reply mpka mwisho, tunataka kuelimika tupe elinu haina maana yoyote kukaa days bila muendelezo kama bado hujamaliza kausha ama toa kitabu tununue
Pengine ni typing errors, base currence thamani yake ndiyo moja. Hivyo pindua kama vodaMkuu umesema kuwa wakati Uingereza inajiunga na mfumo wa ERM thamani ya 1GBP=2.95 DM. Sasa mbona inaonekana sarafu ya Uingereza ilikuwa imara kuliko sarafu ya Ujerumani na wakati huo huo uchumi wa Uingereza ulikuwa katika mporomoko?
Naomba ufafanuzi hapo
Uandishi wako ni wa kipekee.Itaendela kila baada ta siku moja.
Yaani mfano hii sehemu ya pili nitaweka Jumatatu.
DO YOU ARE WHAT!? Haa haaa!Bos,
Nimekwambia kitu simple(sina uhakika kama nimekwambia wewe),
Do you are own research on forex,
Fukua elimu kuhusu hii forex soma vitabu kuhusu hii forex,
Halafu ukishakuwa na mwanga hata kidogo tu ndo hapo wewe sasa utakuja hapa tujadili
Do you are own research[emoji23] kwan lazima jamani dah..na yale mavitabu ya forex yalivyo magumu sijui kama anaelewa kituDO YOU ARE WHAT!? Haa haaa!
nimependa paja lako neema hebu ni pm tuone namna gani tujivinjari msimu huu wa sikukuu tupumzike baada ya mihangaiko ya forexSiku hiz hater ni wanaume watu wazima mnatia aibu wanaume suruali