Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Mimi ni mmoja wao, sasa kama umeona wivu nenda ukakumbatie transformer!

PATHETIC!
 
Sijawahi, i had no clue mpaka ilivyoletwa humu.

Oh wow!!

Ila ndo uzuri wa JF. Ni cross-section ya society ambapo kuna kila aina ya mambo.

Hii forex trading na mambo ya multi-level marketing yana makandokando mengi sana.

Tulio kwenye financial services sector, hususan kwenye back-end ndo huwa tunauona uhalisia wake.

It’s really not all that.
 
Kipi kinakukereketa? Hata mim nilimwomba aandike kuhusu biashara hiyo
 
Nakukubali sana mkuu kwenye ukweli huwa unasema kweli.
 
Mkuu toka 2006 unatrade hata kusyua wana hutak ama kwel mna roho ngum had kijana wa watu kaja kusanua maraia juz kat hapa

Sikiliza...watu hatufanani humu.

Binafsi sina kabisa muda wa kuja kufundisha wengine humu. Pia, hata raghba hiyo sina kabisa.

Tulishawahi kuyazungumzia humu zamani,2007 au 2008 hivi.

Ukitaka walau kujifunza ABCs zake ingia Investopedia.com
 
Hivi huu ni wivu au?Kama kuna sehemu kaandika uongo mkosoe acheni tabia za kike wadau.
Jamaa analeta ufala.
Anajifanya eti wadau walikua wanamsumbua aandike kuhusu Forex, ili tuone Jamaa mtabee kumbe Pumba tu.
 
Sikiliza...watu hatufanani humu.

Binafsi sina kabisa muda wa kuja kufundisha wengine humu. Pia, hata raghba hiyo sina kabisa.

Tulishawahi kuyazungumzia humu zamani,2007 au 2008 hivi.

Ukitaka walau kujifunza ABCs zake ingia Investopedia.com
Hahahaha kwa hiyo mkuu sasa hivi unavuna ma pips tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…