Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Ule utapeli wa foreverliving kuna mtu anaitwa bigsam alikuwa anaupigia debe humu, tulimnyoosha vizuri, naona hawa nao wamekuja kivingine, hatutawaacha salama
Hivyo hivyo hii forex.. Hela haiko kwenye pips..na lots na unininini huko... Hela zipo kwa mabroker wanaowatongoza waendelee kuweka hela... Zipo kwa trainers wanaochaji premium kukupa moyo..seriously.. Unahitaji MTU akwambie unaweza?! Halafu umpe hela?!

Forex ni kautapeli na watu watakawia kujua maana wamekata tamaa?!
 
Your call, Mnachofanya kuentice watu kujiunga na kamari ya Forex ni ukatili kwa watz wenzenu, muache mara moja. Next time huyu jamaa aje aseme George Soros ameshinda 1BN $ kwenye kamari hii, lengo ni nini kama sio kuwaingiza watz wenzenu mtegoni, acheni!
a4b0fc52ee316fd07542c3972431351f.jpg
 
Hivyo hivyo hii forex.. Hela haiko kwenye pips..na lots na unininini huko... Hela zipo kwa mabroker wanaowatongoza waendelee kuweka hela... Zipo kwa trainers wanaochaji premium kukupa moyo..seriously.. Unahitaji MTU akwambie unaweza?! Halafu umpe hela?!

Forex ni kautapeli na watu watakawia kujua maana wamekata tamaa?!
Ndio maana hawa madalali wako bize kutamanisha na kurecruit watu waenda kwenye hizo ofisi zao za Jangid wakaliwe pesa zao huko, huu ni ukatili dhidi ya binadamu wenzio..
 
Naona umeamua kutumja account yako ya siku zote, hiyo akanyambasira ulikuwa unazuga tu; sasa ya nini kuwatamanisha watu waingie kwenye hiyo kamari, kwanini msicheze wenyewe mtajirike? Kwani mkitajirika wenyewe kuna shida gani? Nyie madalali hamna huruma kabisa, na mtu atakaeenda huko Jangid kajipeleka machinjioni mwenyewe kwa kupenda baada ya tahadhari zote hizi
 
Lete hoja, otherwise kaa pembeni
Nikae pembeni ili iweje acha ushamba zero brain wewe,Forex utapeli Forex utapeli ushawahi hata ku trade unazijua ABC za Forex au ndio nyie roho kutu hutaki watu wafanikiwe.We ni lazima utakuwa mlevi wa mapampula akili yako haiko sawa kabisa.Forex utapeli toa solutions mbadala sasa tukuelewe kuwa badala ya forex fanyeni shughuli fulani inalipa.Kaa ivo ivo kazi kuangalia profile za watu unadhani kuwa jamii forum mda mrefu ndio unajua kilakitu stupid one kabisa
 
Whatever, bado zina vitu hivi viwili incommon
1.) Kupata pesa bila kuzalisha mali/huduma.
2.) Ili wachache wapate lazima wengi wapoteze.
1. Kuhusu kupata pesa bila kuzalisha mali sio kweli.

Kuna biashara zinaprovide goods, na kuna biashara zinaprovide services.

Forex inadeal na exchange services.

Huduma inayotolewa ni ya ubadilishaji wa fedha za kigeni. Ni kitu kile kile kinachofanyika Bureau de change, tofauti ni kwamba forex inafanyika kwa njia ya mtandao (online).

Je, Bureau de change pia wanafanya wizi?

2. Ni kweli kabisa wachache wanapata pesa zinazotoka kwa wengi wanaopoteza.

Inategemeana na analysis au trading psychology ya muhusika.

Training zipo ili kukuweka kwenye kundi la wale wanaopata faida.


Mwisho,

Unasema kama wanapata faida wakae kimya waache kuwashawishi wengine.

Hata wewe kama huoni manufaa kwenye biashara ya forex ni bora ukae kimya usiwashawishi wengine.


Tofauti na hapo, wataendelea kushawishi na wewe utaendelea kupinga.

Binafsi sioni tatizo kama sheria zinaruhusu na vyombo vya usalama vimeridhika biashara hii iendelee.
 
Wabongo bwana! hakuna kipato rahisi hasa online forex and ather online investmen kwenye bitcoin kuekeza kwenye coin Kuna changamoto nyingi sana hasa bitcoin all company ni total Scams.


Nimeingia katika fursa ya uwekezaji katika bitcoin toka mwaka 2015 hadi leo mwaka 2017 ambapo nimeamua kuachana na hii biashara ni upateli mtupu!


Naomba nieleweke kwambia BITCOIN ni sarafu ya kidigtal ambayo inatambulika kimataifa lakn upatikaji wa hizo bitcoin i mean uchimbaji wake ndio kuna utapeli mwing wakina D9, Amazon zote ni Scams


Forex ni biashara ya kuexchange pesa ambayo inafayika katika nchi mbalimbali Duniani, mfano wale wanaofanya change ya pesa wale ndio wanafanya forex

Mfano unataka kwenda kenya ukienda mpakani wa utakutana na wale wabadilishaji wa pesa wale ndio wanafanya forex.

Mafano kuna watu hapa bongo wananunua USD bank ikiwa imeshuka na kwenda kuuza ikiwa imepanda hawa ndio wanafanya forex.

Lakn kukaa na simu yako ukajifanya unatred forex basi ww unacheza kamari i mean yule broker ambae umewekeza pesa kwake ndio scam mfano broker aneitwa TEMPLER huyu broker anaaccept M pesa huyu broker ni total scam

Ukiwekeza katika huyu Broker unaathilimia 95 za kupoteza pesa yako cha kwanza anapunguza Pips.


katika broke wa forex kuna kitu kinaitwa market menk hawa ndo wanaosababisha ww u loses ili yy apate pesa


Izi ushewahi kujiuliza ukiunguza account zile pesa huwa zinaenda wapi? Basi hiyo ndio faida ya broker wa forex kazi yao wakusababishe ww u losse ili wapate pesa


Kama forex ungekuwa mchezo wa-kudonlowd pesa au forex niutajiri wa haraka ambao hakuna bank anaetaka uujue basi kijana wangu naomba kwa jina nimuifazi asinge tumia nguvu kuwashawi watu wajiunge na forex



Mentor wa forex hana tofauti na na broker wa forex

Namalizia: forex ni real lakn c kwa kukaa na Pc au Smartphone yako et unafanya forex :


Naomba niishie hapo.

TEAM B-13
 
Naona umeamua kutumja account yako ya siku zote, hiyo akanyambasira ulikuwa unazuga tu; sasa ya nini kuwatamanisha watu waingie kwenye hiyo kamari, kwanini msicheze wenyewe mtajirike? Kwani mkitajirika wenyewe kuna shida gani? Nyie madalali hamna huruma kabisa, na mtu atakaeenda huko Jangid kajipeleka machinjioni mwenyewe kwa kupenda baada ya tahadhari zote hizi
Sidhani kama umesoma kilichoandikwa hapo!
 
What nonsense is this? Lets assume wote wamesoma vitabu vizuri na wote waliocheza hiyo kamari at that particular point in time wakashinda, hizo pesa za kuwalipa zingetoka wapi? Kwenye kamari ni lazima wengi wapoteze na wachache wapate, hata msome vitabu namna gani, there must be alot of loosers for there to be very few winners, its the rule of the game. Mchezo haramu huu..
Mkuu dunia ndivyo ilivyo kuna winners na loosers

Kama ilivyo kuna watu wazima na wagonjwa

Haitotokea hata siku moja watu wote wakawa

wazima ..ama wote wakawa wagonjwa. Kama

ilivyo kwenye FX kuna wanaopata faida ...tena

kubwa na hao ni wachache na kuna wanaopoteza

pesa nyingi tu....kwe hivyo sio kwamba ukiingia

Kwenye FX trade ni pesa iko pale unaenda kuichukua

lazima uwajibike....comment yako ipo sahihi

kwa kiasi fulani lkn FX sio haramu hata sheria za kimataifa

zinatambua hii kitu.
 
Wabongo bwana! hakuna kipato rahisi hasa online forex and ather online investmen kwenye bitcoin kuekeza kwenye coin Kuna changamoto nyingi sana hasa bitcoin all company ni total Scams.


Nimeingia katika fursa ya uwekezaji katika bitcoin toka mwaka 2015 hadi leo mwaka 2017 ambapo nimeamua kuachana na hii biashara ni upateli mtupu!


Naomba nieleweke kwambia BITCOIN ni sarafu ya kidigtal ambayo inatambulika kimataifa lakn upatikaji wa hizo bitcoin i mean uchimbaji wake ndio kuna utapeli mwing wakina D9, Amazon zote ni Scams


Forex ni biashara ya kuexchange pesa ambayo inafayika katika nchi mbalimbali Duniani, mfano wale wanaofanya change ya pesa wale ndio wanafanya forex

Mfano unataka kwenda kenya ukienda mpakani wa utakutana na wale wabadilishaji wa pesa wale ndio wanafanya forex.

Mafano kuna watu hapa bongo wananunua USD bank ikiwa imeshuka na kwenda kuuza ikiwa imepanda hawa ndio wanafanya forex.

Lakn kukaa na simu yako ukajifanya unatred forex basi ww unacheza kamari i mean yule broker ambae umewekeza pesa kwake ndio scam mfano broker aneitwa TEMPLER huyu broker anaaccept M pesa huyu broker ni total scam

Ukiwekeza katika huyu Broker unaathilimia 95 za kupoteza pesa yako cha kwanza anapunguza Pips.


katika broke wa forex kuna kitu kinaitwa market menk hawa ndo wanaosababisha ww u loses ili yy apate pesa


Izi ushewahi kujiuliza ukiunguza account zile pesa huwa zinaenda wapi? Basi hiyo ndio faida ya broker wa forex kazi yao wakusababishe ww u losse ili wapate pesa


Kama forex ungekuwa mchezo wa-kudonlowd pesa au forex niutajiri wa haraka ambao hakuna bank anaetaka uujue basi kijana wangu naomba kwa jina nimuifazi asinge tumia nguvu kuwashawi watu wajiunge na forex



Mentor wa forex hana tofauti na na broker wa forex

Namalizia: forex ni real lakn c kwa kukaa na Pc au Smartphone yako et unafanya forex :


Naomba niishie hapo.

TEAM B-13
Nn maana ya scam broo on FOREX perspectives.... n in Bitcoin perspectives.....
 
mkuu The Bold naomba kuuliza swali

wasema Benki kuu ya uingereza na wengine walikua wanajua Paund itashuka thaman so wakawa wananunua paundi... ila kuna mtu huyo Soros yeye akawa anaziuza paund mpaka wakashangaa..

sasa kama walikua wanajua Paund itashuka thaman kwann walikua wanazinunua badala ya kuziuza?,

nahis kama umechanganya kidogo
 
What nonsense is this? Lets assume wote wamesoma vitabu vizuri na wote waliocheza hiyo kamari at that particular point in time wakashinda, hizo pesa za kuwalipa zingetoka wapi? Kwenye kamari ni lazima wengi wapoteze na wachache wapate, hata msome vitabu namna gani, there must be alot of loosers for there to be very few winners, its the rule of the game. Mchezo haramu huu..
Nimekuelewa sana mkuu kwa hii point!
 
Nikae pembeni ili iweje acha ushamba zero brain wewe,Forex utapeli Forex utapeli ushawahi hata ku trade unazijua ABC za Forex au ndio nyie roho kutu hutaki watu wafanikiwe.We ni lazima utakuwa mlevi wa mapampula akili yako haiko sawa kabisa.Forex utapeli toa solutions mbadala sasa tukuelewe kuwa badala ya forex fanyeni shughuli fulani inalipa.Kaa ivo ivo kazi kuangalia profile za watu unadhani kuwa jamii forum mda mrefu ndio unajua kilakitu stupid one kabisa
Forex ni kamari, na unapomshawishi mtu akacheze kamari ili upate comission na broker fee huo ndio utapeli wenyewe. Solution ni kufanya kazi za uzalishaji mali/ huduma, hakuna shortcut. Zingine ulizosema hapo ni 'senseless rubbish'.
 
mkuu The Bold naomba kuuliza swali

wasema Benki kuu ya uingereza na wengine walikua wanajua Paund itashuka thaman so wakawa wananunua paundi... ila kuna mtu huyo Soros yeye akawa anaziuza paund mpaka wakashangaa..

sasa kama walikua wanajua Paund itashuka thaman kwann walikua wanazinunua badala ya kuziuza?,

nahis kama umechanganya kidogo
Hajachanganya mkuu.

Waingereza walikua wanainunua kwa wingi ili kuipunguza kwenye mzunguko hatimae waipandishe thamani.

Bwana Soros yeye akawa anauza kwa wingi hivyo kupelekea kuwazidi mbinu waingereza. Hawakujua kama kuna mtu anareserve kubwa ya pound kiasi hicho.

Hapo ndipo walipofeli!
 
Wabongo bwana! hakuna kipato rahisi hasa online forex and ather online investmen kwenye bitcoin kuekeza kwenye coin Kuna changamoto nyingi sana hasa bitcoin all company ni total Scams.


Nimeingia katika fursa ya uwekezaji katika bitcoin toka mwaka 2015 hadi leo mwaka 2017 ambapo nimeamua kuachana na hii biashara ni upateli mtupu!


Naomba nieleweke kwambia BITCOIN ni sarafu ya kidigtal ambayo inatambulika kimataifa lakn upatikaji wa hizo bitcoin i mean uchimbaji wake ndio kuna utapeli mwing wakina D9, Amazon zote ni Scams


Forex ni biashara ya kuexchange pesa ambayo inafayika katika nchi mbalimbali Duniani, mfano wale wanaofanya change ya pesa wale ndio wanafanya forex

Mfano unataka kwenda kenya ukienda mpakani wa utakutana na wale wabadilishaji wa pesa wale ndio wanafanya forex.

Mafano kuna watu hapa bongo wananunua USD bank ikiwa imeshuka na kwenda kuuza ikiwa imepanda hawa ndio wanafanya forex.

Lakn kukaa na simu yako ukajifanya unatred forex basi ww unacheza kamari i mean yule broker ambae umewekeza pesa kwake ndio scam mfano broker aneitwa TEMPLER huyu broker anaaccept M pesa huyu broker ni total scam

Ukiwekeza katika huyu Broker unaathilimia 95 za kupoteza pesa yako cha kwanza anapunguza Pips.


katika broke wa forex kuna kitu kinaitwa market menk hawa ndo wanaosababisha ww u loses ili yy apate pesa


Izi ushewahi kujiuliza ukiunguza account zile pesa huwa zinaenda wapi? Basi hiyo ndio faida ya broker wa forex kazi yao wakusababishe ww u losse ili wapate pesa


Kama forex ungekuwa mchezo wa-kudonlowd pesa au forex niutajiri wa haraka ambao hakuna bank anaetaka uujue basi kijana wangu naomba kwa jina nimuifazi asinge tumia nguvu kuwashawi watu wajiunge na forex



Mentor wa forex hana tofauti na na broker wa forex

Namalizia: forex ni real lakn c kwa kukaa na Pc au Smartphone yako et unafanya forex :


Naomba niishie hapo.

TEAM B-13
Amazon iliniliza milion 3.5 sina hamu na haya mambo mimi, sitokuja kurudiaaaa!!
 
Amazon iliniliza milion 3.5 sina hamu na haya mambo mimi, sitokuja kurudiaaaa!!
Ya wengi tuliopitia kwenye izi fursa tunazielewa vizur to. Ukiona mtu anabishana ujue hakuna anacho kijua
 
Back
Top Bottom