Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

Acheni utapeli, pesa haipatikani hivyo.
Hakuna utapeli loss ktk chart overrisking ya capital soko likienda tofauti umeloose ,forex ni biashara yenye kuhitaji tahadhari na nidhamu .utapeli upo ktk forever living,unadeposit na trade unaona pesa unakua na asses nazo mwenyewe nakutapeli vipi
 
Huyu The bold ana nguvu sana, nataka nikuambieni jamaa anaushawishi mkubwa sana Wa kalamu, huku ndo kwake waandish Wa habar za kidadis in weng mno ila huyu mzeyaa mwisho, hatuwezi kuzuia alichopewa tu na MUNGU, big upo bro nakufuatilia kimya kimya, sometimes nahis kama unatoa mwanga mambo ya kijajusi, big up mkuu
Checki, hadi wewe ulikua zwazwa enzi hizo. Haya tuambie mliishia wapi na the Bold wenu!
 
Watu kama nyie mnakua na akili kidogo kama za panzi, hakuna kitu productive umeleta zaidi ya ku-hate alichokisema mwenzako, wewe na huyo padri wako shoga mmeniudhi sana na nimewaweka rasmi katika kundi la members WAPUMBAVU.
Duh.. wapumbavu sasa wanaonekana wajanja!
 
Back
Top Bottom