Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Kwahiyo unamaanisha Wazanzibari ni wabaguzi?Kwa hulka na silka za waislamu na watu wa znz. Mwinyi Hana kujulikana Sana na kukubalika Sana visiwani huko.
Wa Zanzibar wanathamini zaidi mtu waliyekuwa nae katika shida na Raha na kwa hapo Mwinyi Hana ushawishi wote miongoni mwa isles voters weka Hilo sahihi.
Uko right bro..Kwa hulka na silka za waislamu na watu wa znz. Mwinyi Hana kujulikana Sana na kukubalika Sana visiwani huko.
Wa Zanzibar wanathamini zaidi mtu waliyekuwa nae katika shida na Raha na kwa hapo Mwinyi Hana ushawishi wote miongoni mwa isles voters weka Hilo sahihi.
Basi atazaa mara hii!Chama kingine kuongoza zanzibar na bara iwe ccm ni sawa na mbuzi kutaga mayai.
akamuulize chato ?Kuna sentense yako moja eti lowasa alishindwa uchaguzi 2015 , lowassa hakushindwa uchaguzi nakuweka sawa, uchaguzi ulihujukiwa kuna kila ushahidi kuwa upinzani ulishinda muulize magufuli
Basi atazaa mara hii!
Aisee Dodoma mmmhhhh . . . .Dodoma kama 'machinjio' ya wagombea
Kuelewa dhana hii, ni muhimu sana kuelewa siasa za Zanzibar na kwa hakika kuelewa siasa za nchi nyingi za Afrika ambazo ni visiwa.
Ukishastaafu kwisha habari yake! hakuna cha General wala babu yake na generalKwa vyovyote watakavoendesha uchafuzi mara hii CCM inakwenda na maji kwa Zanzibar 100%. Wamefanya kosa kumtowa yule General wa jeshi kwenye 5 bora. Atawaambia wafuasi wake hamna kugusa raia. PoliCCM hawawezi mikiki ya Zenji. Mind you mara hii linawaka kote kote hawajui wakamate wapi