Nguvu ya Maamuzi juu ya Maisha Yako ya Kitajiri hapa Duniani

Hapo ndo penye changamoto,ila huu uzi ni SHULE,unajitahid kuelekeza na unaeleweka.

Mkuu ujue vijana wengi tunashindwa kufanya mambo mengi sana kwa sababu ya kukosa uthubutu kama ulivyoelezea hapo awali. Wengi tuna mawazo lakini MAAMUZI ya kwamba sasa nafanya ni wachache sana wenye huo msukumo....!
 
Reactions: SDG
Mkuu ujue vijana wengi tunashindwa kufanya mambo mengi sana kwa sababu ya kukosa uthubutu kama ulivyoelezea hapo awali. Wengi tuna mawazo lakini MAAMUZI ya kwamba sasa nafanya ni wachache sana wenye huo msukumo....!
Endelea kutoa elimu wataelewa tu.Japo mie nimefanya maamuzi lakini najifunza vitu hapa mdau, asante sana
 
Mm Jana tu nimeamuwa kujiajili.
 
Nimekuelewa vizuri sana mkuu, wazo langu ni kufungua bakery hapa nnapoishi sasahv natafuta mtaji tu.
 
Reactions: SDG
Sasa Mkuu,hebu weka wazzo lako mezani tuone kama hatutalipatia sehemu ya kuanzia...!
mkuu nikwambie tu mahitaji na si wazo
CHEREHANI AINA YA JAMES,GODORO 1 LA UREFU WA FUTI 6 UPANA 1/2 INCHI NAJORA LA KITAMBAA CHA MOROKO!
 
mkuu nikwambie tu mahitaji na si wazo
CHEREHANI AINA YA JAMES,GODORO 1 LA UREFU WA FUTI 6 UPANA 1/2 INCHI NAJORA LA KITAMBAA CHA MOROKO!
Mkuu! Naona umeweka baadhi ya mahitaji ukimaanisha wazo tayari lipo lkn tatizo ni mtaji. Lakini ngoja nikwambie hivi, mimi sijui ww unafanya nn kwasasa lkn naweza nikakushauri mambo mawili ya kuwa ;

1. Jiwekee muda wa lini unataka kuanza kutekeleza hilo wazo lako, (utasema unataka kuanza sasa ) basi anza kufanya savings za kuweza kupata kiasi unachokihitaji kwa kuanzia. Ukifanya hvyo sio tu utakuwa unatafuta mtaji lkn pia utakuwa umeanza kutekeleza hilo wazo lako. Baada ya kipindi fulani utajikuta kumbe tayari umeshafika nusu ya safari ya kule uendako

2. Andika wazo lako vzr , ukionesha ni kwa vipi litakuwa na faida kama litatekelezwa tena kwa kianzio kdg kabisa. Shirikisha jamaa zako wanaokufahamu vzr kwa kuwaeleza kinagaubaga khs wazo lako na nikwambie tu huwezi kukosa mtu Wa kukwambia tunafanyaje fanyaje mkuu! akimaanisha lini tuanze mchakato wa utekelezaji

3. Onesha ya kuwa uko serious na hilo wazo lako. Weka nguvu na akili yako yote ktk kutafuta huo mtaji. Acha uoga, jiamini ya kwamba unaweza, aibu weka pembeni na Omba Mungu wakati wote akupe afya njema na uondokane na uvivu usiokuwa na tija. Simamia maamuzi yako kwa nguvu zako zote ukiamini kuwa inawezekana. Binadamu yeyote asijekukatisha tamaa ya kwamba hutoweza. Ziba masikio na usonge mbele.

4. Kwakuwa wazo lako liko kimaandishi, basi hakikisha kila siku unapitia utekelezaji wa majukumu yako ya kila siku kama unayatekeleza vzr na kama kuna marekebisho ya kiutekelezaji basi fanya na endelea kutumia nguvu zako ktk kufanikisha yote.

MAAMUZI + JITIHADA = MAFANIKIO
 
Afrikans be praying all night😀😀😀😀, Guys prayer is not in the success equestion, prayer is in the revelation equestion. DECISION MAKING is in the success equestion, You have to make a decision and be sound.Thats all!!
Make a decision
Make a decision
Make a decision
Fanya maamuzi
Fanya maamuzi
Fanya maamuzi
Usisahu kuja kunishukuru baadae ushauri wangu ukikusaidia.
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…