Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Nguvu ya matajiri itakapoanza kuchukua nafasi yake, kilio cha wanyonge kumlilia Dkt. Magufuli itazidi kusikika na wa kuwazuia hatakuwepo

Ndiyo!
Nguvu ya matajiri ikiilemea serikali hii mpya, wanyonge watalitaja Jina la JPM Kwa uchungu mkubwa na hakuna atakayewazuia

Pale rushwa itakapowafanya wanyonge, wamachinga, wamama ntilie, bodaboda, bajaji n.k ambao idadi Yao ni kubwa mno Kwa sasa katika nchi hii kuanza kufukuzwa kwenye maeneo Yao ya kazi aliyokuwa amewaruhusu Jembe Lao JPM R.I.P kufanyia biashara zao,

Ndipo sauti zao na Kwa uchungu mkubwa zitasikika, wakimlilia Kwa upya tena JPM na Jina lake litatawala Kwa upya kwenye vyombo mbalimbali za habari kote Tanzania na hata duniani

Pale majambazi ya kupora muda wowote asubuhi mchana na Wakati wowote yatakapojitokeza, iwapo Serikali hii haitasimama Kiume, sauti za wananchi wengi watakapoanza kumlilia JPM Kwa upya, na watu watasema ni Bora alipokuwepo Jembe haya yalikoma,

Pale matajiri wakubwa watakapoizidi serikali ujanja aidha Kwa rushwa Ili wasilipe Kodi, na Kodi nyingi kuelekezwa Kwa wafanya biashara wadogo wadogo, watu hawa wataanza kumlilia upya Jembe lao, watasema, ni Kwa sababu hayupo JPM ndio Maana wananyanyaswa?

Ingawa Nina Imani kuuubwa Sana na Raisi wetu Madame SHS, kwamba ni jemedali na jasiri asiyeogopa na asiyerudishwa nyuma, Kwa kuwa pia ufanisi wa serikali hii Naamini ni Kwa sababu mama alisimama nyuma yake kuhakikisha tunakuwa hapa tulipo

Mbali na hayo, Sisi ni binadamu tunaweza kujisahau yakarudi hayo na yakawa sababu ya Jina la Jembe kutajwa kila pahala kuwa yeye alikuwa mwanvuli wa watu wa Chini na kujikuta Jina lake likitawala fikra zao na hata kutajwa Sana Kwa mema hayo kwenye midomo ya watu wanyonge!

Hayo yasipozingatiwa yataibua vilio vya watu hao

Mh Raisi Madame Samia suluhu Hasan Tunakuombea, kwani tunajua ilivyongumu kuongoza nchi bila ya Mungu Kusimama Mbele yako

Wasalaam
Am
Hao wanyonge siku zote, miaka yote 6 wameshindwa kujiondoa unyonge baada ya kupata mtetezi ???
Hao wanyonge . Kama kweli wap na aliwapigania.aliwakuta wapo kwenye haki gani kiuchumi, wapo wapi na aliwacha wapo kwenye haki gani mpaka anakufa
 
#KataaUnyonge #KataaKuwaMnyonge

Unyonge ni ujinga, unyonge ni dharau, unyonge ni umasikini wa mawazo
 
Nikikumbuka enzi za kikwete mishahara Morogoro tarehe 22, iringa tarehe 24, kinondoni tarehe 28, temeke tarehe 27, Jwtz tarehe 21.
Mambo yalikuwa vurugu tupu. Sasa hivi wote siku moja
Yalikua ni mambo ya tekinolojia tu lakini kulipa kwa wakati mmoja ilianza kipindi Cha mwisho mwisho wa Jk kwa JPM kulikuja kuboresha tu
 
Mimi Ni ndugu wa Eric Kabendera ambaye Dikteta alimuweka rumande kwa sababu alikuwa anamkosoa. Lakini shangazi yetu Mama wa Eric alikuwa anaishi kwa madawa ya Bei ghali. Yule Bibi alimuomba DIKTETA amuachie mwanaye kwa vile hawezi kuishi bila dawa.

Magufuli hakusikia, na hakumruhusu Eric hata kwenda chini ya ulinzi kumuaga mama yake ambaye alifariki kwa kukosa dawa.

Jifanyeni hamuyajui haya kwa vile WATANZANIA kwa unafiki ndiyo kawaida yenu
Ww jamaaa bna kwahiyo unataka Rais apendwe na Watu wote? Hio haipo huyo investigative journalist unaelewa alifanya nini kuhatarisha amani ya nchi.? Mama yake ni mtu mmoja je Taifa emu tulia utafakari sio kukurupuka tu
 
Ww jamaaa bna kwahiyo unataka Rais apendwe na Watu wote? Hio haipo huyo investigative journalist unaelewa alifanya nini kuhatarisha amani ya nchi.? Mama yake ni mtu mmoja je Taifa emu tulia utafakari sio kukurupuka tu
Na tukiwa tunakubaliana Kwa kila kitu, tunakuwa Taifa lililodumaa!!
 
Pombe Magufuli hajawai kumtetea mnyonge yeyote bali alitumia wanyonge kujijenga kiaiasa. Kama ni kutetea wanyonge alipaswa kuwafidia wale wananchi wa Kimara- Kibaha aliowavunjia nyumba kupisha barabara.

Angekuwa mtetezi wa wanyonge asingetumia mabilioni kujenga Chato kijijini kwao miundombinu inayostahili kuwa makao makuu ya Mkoa wa Geita. Huku watoto wa Watanzania wanasoma kwenye kwenye miti na wengine hawana madawati. Au kununua madreamliner wakati 80% ya Watanzania hawapati maji safi.

Magufuli ilikuwa ni LAANA, na Mungu ametuepushia, tujenge Tanzania yetu nzuri isiyo na ubaguzi wa kiitikadi, kikabila na kikanda.
Naona askari magereza wabutimba unafurahi sana kuondoka kwa mzee.
 
Wanawake hawajawahi kutuangusha katika nafasi kama hizi aisee, pia huwa ni watu makini.
Nafasi kama hizi zipi hasa? Mie nilidhani hii ni mara ya kwanza tunapata mwanamke kushika nafasi ya urais Tanzania. nitakuwa nimelala fofofo kwa muda, tuko mwaka gani jamani?
 
Ww jamaaa bna kwahiyo unataka Rais apendwe na Watu wote? Hio haipo huyo investigative journalist unaelewa alifanya nini kuhatarisha amani ya nchi.? Mama yake ni mtu mmoja je Taifa emu tulia utafakari sio kukurupuka tu
Hakuna unachojuwa, soma upite tu au nenda kampikie mumeo. Tumemshinda DIKTETA mwongo na mwizi
 
Naona askari magereza wabutimba unafurahi sana kuondoka kwa mzee.
Nimefurahi sana. Amtuachie Tanzania yetu tujenge upendo, amani na umoja. Alitaka kuharibu nchi iwe na chuki kama ya wahutu na watusi.
 
Hivi mnataka matajiri wasiwepo ili iwe nini? Ondoeni hizi fikra za kijinga mlizopandikiziwa.
 
Matajiri wakipata nguvu wanyonge wataajiriwa na kusaidiwa
Mfano manji akirudi tena kuwekeza
 
Kwanza Tukatae dhana ya Unyonge...Hata sasa Neno unyonge sio zuri Mungu hakutuumba kwa madaraja ndio mana wote tunakufa uwe Tajiri au Masikini.

Na wote tunasukumwa huko chini ya ardhi..La Pili suala la Machinga Ni tatizo kubwa Sana na ni bomu ambalo mkiliendekeza kwa style ile litawamaliza..Machinga akiachiwa barabara zote akae hiyo ni akili kweli?? mji kama arusha wa kitalii au Moshi au Dar wanajipanga kila eneo hatuwezi kwenda kwa style hiyo.

machinga lazima wawekewe maeneo sio barabarani Hapana.
 
Ndiyo!
Nguvu ya matajiri ikiilemea serikali hii mpya, wanyonge watalitaja Jina la JPM Kwa uchungu mkubwa na hakuna atakayewazuia

Pale rushwa itakapowafanya wanyonge, wamachinga, wamama ntilie, bodaboda, bajaji n.k ambao idadi Yao ni kubwa mno Kwa sasa katika nchi hii kuanza kufukuzwa kwenye maeneo Yao ya kazi aliyokuwa amewaruhusu Jembe Lao JPM R.I.P kufanyia biashara zao,

Ndipo sauti zao na Kwa uchungu mkubwa zitasikika, wakimlilia Kwa upya tena JPM na Jina lake litatawala Kwa upya kwenye vyombo mbalimbali za habari kote Tanzania na hata duniani

Pale majambazi ya kupora muda wowote asubuhi mchana na Wakati wowote yatakapojitokeza, iwapo Serikali hii haitasimama Kiume, sauti za wananchi wengi watakapoanza kumlilia JPM Kwa upya, na watu watasema ni Bora alipokuwepo Jembe haya yalikoma,

Pale matajiri wakubwa watakapoizidi serikali ujanja aidha Kwa rushwa Ili wasilipe Kodi, na Kodi nyingi kuelekezwa Kwa wafanya biashara wadogo wadogo, watu hawa wataanza kumlilia upya Jembe lao, watasema, ni Kwa sababu hayupo JPM ndio Maana wananyanyaswa?

Ingawa Nina Imani kuuubwa Sana na Raisi wetu Madame SHS, kwamba ni jemedali na jasiri asiyeogopa na asiyerudishwa nyuma, Kwa kuwa pia ufanisi wa serikali hii Naamini ni Kwa sababu mama alisimama nyuma yake kuhakikisha tunakuwa hapa tulipo

Mbali na hayo, Sisi ni binadamu tunaweza kujisahau yakarudi hayo na yakawa sababu ya Jina la Jembe kutajwa kila pahala kuwa yeye alikuwa mwanvuli wa watu wa Chini na kujikuta Jina lake likitawala fikra zao na hata kutajwa Sana Kwa mema hayo kwenye midomo ya watu wanyonge!

Hayo yasipozingatiwa yataibua vilio vya watu hao

Mh Raisi Madame Samia suluhu Hasan Tunakuombea, kwani tunajua ilivyongumu kuongoza nchi bila ya Mungu Kusimama Mbele yako

Wasalaam
Mungu ni mkuu Sana, Asante Mungu kutuletea Joshua wa kutufikisha ktk Safari yetu kuelekea Tz yenye usawa

Hapa kazi Tu...
 
Kwa sasa sina Mashaka tena, kwani hawa watu kumbe ni mapacha bhana!!
 
Ndiyo!
Nguvu ya matajiri ikiilemea serikali hii mpya, wanyonge watalitaja Jina la JPM Kwa uchungu mkubwa na hakuna atakayewazuia

Pale rushwa itakapowafanya wanyonge, wamachinga, wamama ntilie, bodaboda, bajaji n.k ambao idadi Yao ni kubwa mno Kwa sasa katika nchi hii kuanza kufukuzwa kwenye maeneo Yao ya kazi aliyokuwa amewaruhusu Jembe Lao JPM R.I.P kufanyia biashara zao,

Ndipo sauti zao na Kwa uchungu mkubwa zitasikika, wakimlilia Kwa upya tena JPM na Jina lake litatawala Kwa upya kwenye vyombo mbalimbali za habari kote Tanzania na hata duniani

Pale majambazi ya kupora muda wowote asubuhi mchana na Wakati wowote yatakapojitokeza, iwapo Serikali hii haitasimama Kiume, sauti za wananchi wengi watakapoanza kumlilia JPM Kwa upya, na watu watasema ni Bora alipokuwepo Jembe haya yalikoma,

Pale matajiri wakubwa watakapoizidi serikali ujanja aidha Kwa rushwa Ili wasilipe Kodi, na Kodi nyingi kuelekezwa Kwa wafanya biashara wadogo wadogo, watu hawa wataanza kumlilia upya Jembe lao, watasema, ni Kwa sababu hayupo JPM ndio Maana wananyanyaswa?

Ingawa Nina Imani kuuubwa Sana na Raisi wetu Madame SHS, kwamba ni jemedali na jasiri asiyeogopa na asiyerudishwa nyuma, Kwa kuwa pia ufanisi wa serikali hii Naamini ni Kwa sababu mama alisimama nyuma yake kuhakikisha tunakuwa hapa tulipo

Mbali na hayo, Sisi ni binadamu tunaweza kujisahau yakarudi hayo na yakawa sababu ya Jina la Jembe kutajwa kila pahala kuwa yeye alikuwa mwanvuli wa watu wa Chini na kujikuta Jina lake likitawala fikra zao na hata kutajwa Sana Kwa mema hayo kwenye midomo ya watu wanyonge!

Hayo yasipozingatiwa yataibua vilio vya watu hao

Mh Raisi Madame Samia suluhu Hasan Tunakuombea, kwani tunajua ilivyongumu kuongoza nchi bila ya Mungu Kusimama Mbele yako

Wasalaam
Baada ya kuipumzisha silaha ya maangamizi ya Mafisadi na wahujumu serikali yani JPM2020
sasa tumeingiza vitani silaha namba SHS-5 ambayo imeshaanza kuonesha machachari yake kwa kumfyeka incharge mzembe wa TPA. Mwanzo mzuri.
 
Back
Top Bottom