Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho


Anajiita jina la mkuu ..ila kichwani kwake ni tope achana nae
 

We bado lena😁😁 sisi hatujutiii tukimaliza tunafurahi
 

Sasa wewe ni tahira acha kufananisha punyeto na ujinga wako....sisi wengine tukijilipua ndo tunapata hamasa ya kazi
 
Sasa wewe ni tahira acha kufananisha punyeto na ujinga wako....sisi wengine tukijilipua ndo tunapata hamasa ya kazi
Kumbe unatafuta nini hapa? Huoni hiyo ni dalili mojawapo kwamba umeathiriwa kisaikolojia!!? [emoji2][emoji2] Umeona kabisa hapa ni dampo, afu umekomaa kubaki hapo ukipinga kwaninj tuwe na dampo. Hakuna aliyekushika, isipokuwa hizo SPIRITS nilizozisemq ndio zimekupiga PINI KALI SANA. Unatumika kama kinywa cha roho wachafu ili kulinda mpango wao. Kifupi tayari umepigwa pini, tena wewe ni mfano mzuri sana
 
Mi naamini punyeto inaachika kwa maamuzi.. mimi mwenyewe naeza kaa mwezi sijafany hivyo alafu kunq siku naeza amua tu kufanya na sio kwamba sijui.. i know what am doing na nafanya.. So ni maamuz tu
Inawezakana ukapumzishwa kwa mda ( punyeto ni dhambi * Act and Intetion * ) kama ni dhambi nyuma yake kuna roho inayo influence mtu ufanye ( ina influence your mind ili kufurahisha nafsi yako huku roho yako ikihuzunika - consience ). Bandu bandu humaliza gogo, kila upigapo mpunyeto mpigo mmoja una athari kubwa sana na kuzidi kufungua mlango wa athari katika nafsi yako ja kuwa nyepesi kupata mashambulizi ( inaweza ikawa katika ndoa ( mainly ), uchumi, maisha ya kiroho binafsi ( kukwama kukua kiroho * spirit capacity * ). But kuna njia ya kuacha permanent, na kupitia Kristo Yesu ( kupitia damu yake ) urejesho na uponyaji wa nafsi yako ukafanyika na kuwa normal. Unaeza ukawa na elfu 20,000 lakini kama ungekuwa hupigi nyeto a.k.a ka mkono huenda ungekuwa na 80,000 πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.. Nilitwanga sana ka mkono enzi nipo chuo na kipindi nagombana na manzi wangu.. asila zote nilikuwa namalizia kwa ka mkono..
 

Kafirisiwe we huna kitu...
 
dah asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…