Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Kweli bro. Ndio maana nikasema inatemeana na mavurugu. Mfano mm miaka ya nyuma nilikutana na mdada mashine yake yamoto kama tanuli la tofali za kuchoma. Ukiweka tu ujapiga nje ndani tayari ushafika mshindo. Hapo ni kama cals 4 tu zimeenda. Hao wa cals 100 ndio wale wa kudandia madirisha mara ambebe jikoni huku anapiga mashine. Alafu researcher niliemsoma inatemeana alifanya research kwa kundi gani. Mfano mtu akienda kwa wadada wanaojiuza unakuta tayari akili ishajiandaa anafika machine ipo hewani anashika chuchu tako tatu wazungu hawa. Hapo si cals 8 tu zimeenda zimezidi hadi hatua alizopiga kutoka kwake kwenda kwenye danguro.
 
Hiyo site nimeikumbuka inaitwa healthline...humo wameelezea kwa kirefu faida na hasara

Hasara walizozielezea hapo hazihusiana na matatizo ya kiafya kama watu wanavyopptosha. Huko asara ni kama kuchelewa event muhimu endapo utakua ni addicted lakini hakuna internal effects inayolenga afya

Halafu inasaidia kupunguza uwezekanonwa kupata prostate cancer, unashauriwa upige mara 21 kwa mwezi kujiweka mbali na huo ugonjwa

Yani kiufupi ni kwamba hakuna madhara yeyote, hizi habari za kusema sijui kiroho unakua una sex na spiritual beings naona zimekaa kikuda tu

Imagine mtu una ejaculate kwa kufanyiwa blowjob, hivi mtu huyu anakua anatofauti gani ni mpiga puli?

Mtu anayesema upigaji puli ni m'baya kiroho kwasababu unakua unafanya tendo na kiumbe wa kiroho vipi kwa watu wanaopigshwa puli na wake/mademu zao?
 
Umeeleweka kamanda [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Hahahaha labda server ziligongana problably alikua anatumika kwenye feelings za muhuni mwenye high concentration kukuzidi wewe na ndio maana kwako image ilikua inakuja kisha ina disappear
 
Mtu aki cum baada ya kufanyiwa blowjob je hiyo itahesabika kama ni puli na anakua amefanya ngono na spiritual being?
 
Ni jinsi tu ulivyouaminisha ubongo wako, lakini pepo liko pale pale. Kuvuta hisia, eti unayemvutia naye anaamka amechoka, wadada wangekuwa hawafanyi kazi?
 
Ni jinsi tu ulivyouaminisha ubongo wako, lakini pepo liko pale pale. Kuvuta hisia, eti unayemvutia naye anaamka amechoka, wadada wangekuwa hawafanyi kazi?
Hii mada yako mzee umejikita sana kwenye unachokiwaza wewe tu , yani ubongo wako hauko flexible kwenye kuwaza nje ya ulikifahamu, ubongo wako hauko tayari kimapokeo mawazo ga wadau, kuna hoja zinaletwa na wadau sijaona kama unakubaliana nazo au kutolea ushauri , maana kwa kuwa tayari umekataa kujifunza zaidi zaidi unataka kufundisha tuuuu,
 
Hapo umemaliza kamanda. Tatizo duniani kunawatu wakuda sana. Mm nilijifanya kamanda miezi nane nipobize no demu no puli siku ya siku nimebaki nyumbani na beki tatu kidogo nifanye ujinga. Ngunga zilikuja tetemeko la jana chamtoto nataka nimparamie mtoto wa watu. Ghafla Roho mtakatifu akinikumbusha ingia geto kapunguze uzito jinga wewe, utabaka hapa. Hadi leo mm naishi maisha ya amani kabisa. Sitamani mke wa mtu wala kuombaomba namba hovyo barabarani.
 
Hahaahaa mkuu hapo umetisha....
 
Sisi wabongo shida sana. Mtu anaiponda puli kisa uongo wa kiroho. Mtu ameoa lakini hajui hata kuna k za aina ngapi je mkeo K ikiwa kavu unafanyaje. Kutwa kuwapaka wanawake mimate wakati mafuta lainishi yapo. Mwanamke ukimpaka mimate au kumnyonya huko chini unamletea bacteria chotara kwenye K mwisho wa siku lazma aumwe UTI sugu tu. Watu wanaacha kufatilia je wao wanandoa wanafanya healthy sex au ndio chomeka niweke wanawaza mpiga nyeto ambae hamna madhara ambayo anayopata. Mm binafsi na mwaka wa 23 huu napiga punyeto na mashine haijawahi kulala kizembe
 
Umetisha mtu kovu
 
Ni jinsi tu ulivyouaminisha ubongo wako, lakini pepo liko pale pale. Kuvuta hisia, eti unayemvutia naye anaamka amechoka, wadada wangekuwa hawafanyi kazi?
Kama mapepo ndio matamu vile wacha niwe nayo na sitaki niombewe mazee....

Nabii tito mwenyewe anakuambia shetani hawezi kua na kila kitu kizuri ukibisha anakutolea mstari kupitia hiyo hiyo biblia unayoiamini
 
Mtu aki cum baada ya kufanyiwa blowjob je hiyo itahesabika kama ni puli na anakua amefanya ngono na spiritual being?
Hawezi kukujibu positive kwa hili swali, tayari akili amesha ituni iamini alichokielewa yeye, hana literature review
 
roho
mwili
nafsi
Ni ipi tofauti kati ya Roho na Nafsi ?
Hapa naona kama unachanganya mahali pa Nafsi una weka Roho, kama utakuwa na ithibati au maelezo ya ziada juu ya hili.

Nafsi ndiyo imefungamana na matanio ila Roho ndiyo uhai wenyewe. Ukiielewa vizuri kauli yetu isemayo "Kila nafsi itaonja umauti", bila shaka utaelewa ya kuwa kwenye Nafsi umeweka Roho,na hii si sawa.
Amani kwenu wakuu. Leo tutaongelea hatari inayomkabili mpiga punyeto kiroho. Ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya vijana na wazazi wa kileo wamejiingiza kwa nguvu kwenye utamaduni huu mchafu na hatari. Kwa nini nasema ni hatari?
Huu ni ukweli usio na shaka kabisa
 

Maswali:

Ukiwa unaishi kwenyebjamii, kuna watu waliothirika physically na punyeto? Au ni myth tu?

Je, unawafahamu watu wanfapi ambao wamepata prostate cancer kwa kutopiga punyeto?

ONYO: Sio kila tafiti zimelenga kusema ukweli, hukuoewa akili iwe replaced na tafiti zisizo na kusudi halisi. Kuamini kila jambo kisa limetoka Ulaya ni kujitia mtegoni. Angalia asili yako nawe utaishi, huu upuuzi umeanza majuzi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…