Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Naona watu wanatumia kila Aina ya Hoja na vigezo pamoja na nadharia mbalimbali kuhalalisha Pili kuwa Ni Best way kwa maisha ya mwanadamu na haina madharia but to be honestly hiyo Ni dhambi mbele ya Mungu haitakiwi kabisa lkn sahiv kunakuwa na force gravitational between evil na sisi wanadamu KUHUSU Puli lkn hapa Ndipo shetani anapotupatia
Na kuzini au uasherati, je si dhambi?
 
Na hapa ndipo nitakapo kua na maoni ya tofauti na wewe, hilo sio tendo la kuridhishana. Ukishawaza habari za kuridhishana hapa ndio tunapalilia habari za hata punyenga,hata mpanda mnazi ana lengo la kuridhika tu. Sisi Kama wanyama wengine wote aliowaweka Mungu hapa duniani aliweka sex kwaajili ya kuijaza dunia baas.
Basi Kumbe nawe una mitazamo yako tu kuhusu sex, mi nilichosema general formula Ni kua sisi binadamu Kama wanyama wengine wote sex Ni kwaajili ya kuijaza dunia tu hayo mengine Ni mitazamo yetu tu ukiwemo yako na ndio inayopelekea haya Mambo mengine yote kuendelea
Mkuu kama nimekuelewa kidogo.
Lakini nimeona umekazia suala la kwamba Sex ni kwa ajili ya Kuzaliana tuu na siyo kwa ajili ya kujifurahisha

Sasa Mkuu hili jambo umelitoa wapi?.
Ni imani ipi inayosema kwamba Tendo la ndoa ni kwa ajili ya Kujaza dunia pekee?
Na je MTU akifanya kwa ajili ya kujifurahisha ni Kosa?
 
@Euroleague hebu tuwekee hiyo timetable yako hapa tuikague ndugu tunaweza kujushauri Jambo
Tangu 2010 nilitoka katika mfumo wa kizamani wakipiga puli kila siku asubuhi au jioni (utumwa) nilisoma articles mbalimbali za ushauri nikaanza program ya mazoezi kwanza. Hivyo maisha yangu mm tangu 2010 lazma nifanye mazoezi kwa siku tatu mfulululizo alafu ya nne napumzika ndio napiga kimoja narelax siku yatano naamkia zoezi tena. Japo kunamda nasahau nakuja kupiga siku nyingine nafidia. Tambua lengo la puli ni kupunguza hisia kali za mihemko mwilini mwako. Hivyo kwanza jitambue wewe kama wewe je inakuchukua mda gani kuhisi hamu ya kimwili. Kunasehemu nilisoma kati ya siku 3 hadi 7 mwanaume ambaye hayupo bize sana
@Euroleague hebu tuwekee hiyo timetable yako hapa tuikague ndugu tunaweza kujushauri Jambo
Hahaha. Timetable yangu vijana wataona ngumu ila wagawanye kupitia hii. Kwa mtu aliyeoa au ambaye yupo na mwenza wake wanaishi pamoja inakadiriwa anatakiwa apige show siku 102 kwa mwaka kama afya zao zinaruhusu na wanapata mda mzuri. Mm nilitambaa na hii nikaweka Siku 365/102= 3.578days. Nikajishauri kila baada ya siku 3 nitaamsha popo. Japo siku zitapungua 102 kwa mwaka maana kunasiku nitakua bize napotezea au mizuka sina kitu ambacho sio kibaya kiutaalam.
 
Hapo umemaliza kamanda. Tatizo duniani kunawatu wakuda sana. Mm nilijifanya kamanda miezi nane nipobize no demu no puli siku ya siku nimebaki nyumbani na beki tatu kidogo nifanye ujinga. Ngunga zilikuja tetemeko la jana chamtoto nataka nimparamie mtoto wa watu. Ghafla Roho mtakatifu akinikumbusha ingia geto kapunguze uzito jinga wewe, utabaka hapa. Hadi leo mm naishi maisha ya amani kabisa. Sitamani mke wa mtu wala kuombaomba namba hovyo barabarani.
Hakika unaishi katika dunia yako ya Kipekee kabisa mkuu nimeona hilo
 
Mkuu kama nimekuelewa kidogo.
Lakini nimeona umekazia suala la kwamba Sex ni kwa ajili ya Kuzaliana tuu na siyo kwa ajili ya kujifurahisha

Sasa Mkuu hili jambo umelitoa wapi?.
Ni imani ipi inayosema kwamba Tendo la ndoa ni kwa ajili ya Kujaza dunia pekee?
Na je MTU akifanya kwa ajili ya kujifurahisha ni Kosa?
Hahahaa
 
Kwa kuangalia na kutamani nitakua nimezini na wengi sana rohoni ....lakini kwanini natamani tu from no where?
 
Na hapa ndipo nitakapo kua na maoni ya tofauti na wewe, hilo sio tendo la kuridhishana. Ukishawaza habari za kuridhishana hapa ndio tunapalilia habari za hata punyenga,hata mpanda mnazi ana lengo la kuridhika tu. Sisi Kama wanyama wengine wote aliowaweka Mungu hapa duniani aliweka sex kwaajili ya kuijaza dunia baas.
Mtumishi katika viumbe wote Mungu alimuongezea vitu binadamu kama upendeleo tofauti na kiumbe mwingine yoyote. Ogopa kitu kinaitwa ufahamu kitu ambacho Mungu alitujaza wanadamu. Leo hii mbwa wanamiezi yao ya joto (heat) hapo ikifika lazma dume atapanda tu. Je unajua kati ya mwanamke na mwanaume Mungu alimpa hisia zaidi nani.? Je mwanamke kwa mwezi mmoja anapata mihemko siku ngapi.? Je kila siku unayomgonga mwanamke yupo kwenye mihemko heat ambayo inampa hamu ya tendo au ni sisi wanaume tu tunaburudisha nafsi zetu tu asubuhi ilhali wake zetu hisia hazipo kabisa.
 
Asante kwa elimu mkuu, haya tunaomba elimu sasa ili kuweza kuacha.
 
Hahahaha labda server ziligongana problably alikua anatumika kwenye feelings za muhuni mwenye high concentration kukuzidi wewe na ndio maana kwako image ilikua inakuja kisha ina disappear
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amani kwenu wakuu. Leo tutaongelea hatari inayomkabili mpiga punyeto kiroho. Ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya vijana na wazazi wa kileo wamejiingiza kwa nguvu kwenye utamaduni huu mchafu na hatari. Kwa nini nasema ni hatari?

Punyeto na kujichua ni tendo la kiroho

Wengi hutazama tendo la ngono kama furaha ya kimwili, lakini tumeshaona ni tendo la kiroho linalohusisha sehemu tatu za mwanadamu:

roho
mwili
nafsi


Roho ndio inayoamua kama iungane na roho nyingine ili kukamilisha uumbaji, ikikubaliana na mwenzake nafsi huungana kuwa kitu kimoja kisha mwili huungana na mwili mwingine kukamilisha tendo hilo kwa nje. Baadaye nitarlezea kwa kina kipengele hiki muhimu ili kujua uhusiano wa roho mwili na nafsi katika nguvu ya mapenzi.

Kwa hiyo tendo la ngono huamshwa rohoni, kisha KUKAMILIKA kwa Muungano wa nafsi, ndipo watu wanaona ushuhuda wa mwili kuwa watu fulani wanapendana. Mungu aliumba mtu mke na mtu mume, hao ndio wanaokamilishana. Kwamba aliumbwa mwanamume kwanza kisha akagawanywa kupata mwanamke, kwa hiyo ili huyu mtu awe kamili, ni lazima awe na opposite sex wa kumkamilisha. Nimekupa hint ujue mwanamume kumtamani mwanamume mwenzake ni tatizo la kiroho, kadhalika mwanamke pia. Nitafafanua vizuri mbeleni..

Punyeto kama Ilivyo kwa ngono haiwezi kamwe kukamilika bila kuwa na mwenza. Tendo hili linahusisha kuamsha hamu kwa kuvuta hisia (meditative stimulation) mpaka kufikia sexual experience. Ni rahisi mtu kujidhani yu peke yake, lakini ukweli ni kuwa kuna mshirika wa pili anayefanya uwezekano wa kumaliza (ejaculation/climax). Hakuna mtu anayeamua tu, ngoja nipige punyeto. Huanza kwanza hamu ambayo huuteka ufahamu na ghafla mtu hujisikia hawezi tena kuvumilia. Sasa hiyo hamu ni NGUVU YA KIROHO inayoingia mwilini, ni ulimwengu wa roho, ni pepo wachafu. Pepo hawa wabaya ndio sex partners wa wapiga punyeto!! Wao wanashughulika na nafsi ya mtu kwa kuanza na kuiteka roho, kisha wakaungana na mtu huyu katika nafsi kuwa mwili mmoja, ndipo anaanza kujichua kwa kutumia hisia tu mpaka akakojoa.

Ni kwamba, viumbe vyote vya kiroho havina nguvu ya kutenda kwenye huu ulimwengu wetu. Upo ulimwengu unaoonekana kwa macho ya nyama, ndio huu tuliopo, umeumbwa kwa ajili yetu sisi viumbe wenye mwili. Pia upo ulimwengu usioonekana kwa macho ya nyama, uliumbwa kwa ajili ya roho. Sasa ili hao viumbe wa kiroho waweze kutenda kwenye huu ulimwengu ni lazima wawe na nguvu ya miili yetu. Nje ya hapo ni bure kwao! Hapo mwanzo walikuwa wakitumia miili ya wanyama (kisa cha Hawa bustanini), lakini sasa wanatumia nguvu za wanadamu wenyewe. Namna mojawapo yenye kutoa NGUVU KUBWA ZAIDI ni kupiga punyeto na kujichua.

Nguvu ya uumbaji imo katika ngono

Zile baraka walizopewa Adam na Hawa "zaeni mkaongezeke, mkaijaze nchi, mkatawale... " ziliwekwa ndani ya nguvu ya ngono. Kwa lugha nyingine kitendo cha sex kinaachilia nguvu ya uumbaji wa kila kitu duniani. Wazungu wanasema, sexual intercourse opens portals to other dimensions. Ndio maana mke na mume wakiwa na makubaliano katika Roho, watafanya mambo makubwa katika maisha.

Sasa mpiga punyeto naye huachilia nguvu hiyo ya uumbaji, isipokuwa yeye huitoa kwa mapepo. Kumbuka nguvu hii ni sura yake yeye mwenyewe, nafsi yake halisi akawagawia mapepo. Hii ndio nguvu waitakayo ili kuweza kutekeleza mambo yao hapa duniani. Ni nguvu hii wanaitumia kama mlango wa kushuka hapa duniani na kuwavuruga wanadamu. Jiulize, katika roho hakuna pepo jije wala dume. Mapepo ni roho wachafu tu, hawazai wala kuzaliana, imekuwaje leo tunapata JINI MAHABA JIKE NA DUME? Mwanamume anapopiga punyeto, huachia nguvu ambayo ni yeye mwanamume, hivyo pepo lililopo huichukua na kuivaa nguvu hiyo hata kuwa na hali ya kiume. Ndipo huanza kuwaingilia wanawake kwa kutumia nguvu hiyo, huku likimwrka mateka mpiga punyeto huyu aendelee kulizalishia nguvu hiyo. Mwanamke anayejichua hutoa nguvu ya kike na hivyo kuligeuza pepo kuwa jike.

Gereza la kiroho

Pepo huichukua na kuiweka gerezani roho ya mtu huyu na hapo huitiisha nafsi. Kwa hiyo hakuna jambo atafanya linafanikiwa maishani mwake isipokuwa mpaka mpenzi wake huyu wa kiroho akubali. Ndipo huja hadithi za majini yanayoharibu mafanikio.

Kuhani wa Kanisa la shetani, Antonio Lavey, aliwahi kusema, kafara kubwa kabisa ya siri, wakati wa ibada ya matambiko, ni kumwaga shahawa, ni zaidi ya kumchinja mtu na kumwaga damu yake.!! Kumbe kupiga punyeto ni kujitoa kama kafara kwa mapepo na hivyo kuyapa nguvu zako!!

Ndio maana baada ya punyeto, mtu hawezi kufikiri vizuri, akili huwa kama ina ukungu, nguvu hupungua sana mwilini. Nguvu zote za kiroho huondoka, mtu anakuwa mweupe kabisa kiroho, emotional energy inatoweka, ndipo hamu ya kuwa na opposite sex inaanza kufifia.

Shahawa sio mkojo, ni DNA yako mwenyewe. Nguvu za kumiliki zimo ndani yake, sex energy, nguvu ya kuzalisha mali nk. Hizi huitwa dominion power. Ni nguvu hizi zinazochukuliwa na mapepo.

Next time tutakwenda deep... [/B]

Morg, Nature,
Maya Angelou, Africa Tanzania, dumbi, LOGARITHM, Sergei Lavrov, LOVE U JF, korino, Mshuza2, park don, Surya, big-diamond, Mwanamena, Tajiri wa Magomeni, dudupori, Bubolwa Chura, Patra31, Depal, alumn, Ed Kawiche, Sexless, The 13, Avriel, Styles
yna2, ngebo, iMind, HoneyBee, Will jr, gbmm, True Believer, Saint Anne[/i][/B][/B]
Ni nini hasa malengo ya hii Thread yako?
Hayo uloandika yametokana na Mwongozo wa Biblia?
 
Inategemea Mkuu mafanikio ya kimaisha hayapo constant sana, kuna wanao jichua na wamefanikiwa

Kwa mfano bondia Tyson furry aliwahi kuhojiwa akasema yeye kabla ya pambano lake kuanza lazima ajichue ndiyo aingie kwenye pambano

Sasa kimafanikio ya maisha? Hajafanikiwa?
Huyo bondia ni muongo tu, anaendeleza propaganda za mashetani.
 
Hili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:

Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?

Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?

#Uwazinaukweli

Umechokoza hoja ya maana sana, hoja ambayo ilitaka kusababisha wanaume wanitoe roho humu kwenye mada moja ya bikra, kama unakumbuka kuna kipindi bikra ilikuwa ni mada inayotrend sana humu, ulikuwa ni upepo nashukuru umepita.

Mi niliuliza msichana ambaye hajaolewa kwasababu za life style ya sasa, shule na kadhalika aishi vipi bila kufanya mapenzi ili amtunzie bikra uyo mumewe, tuchukulie mfano chuoni huwa tunakuwa na miaka atleast 19-26, huu ni umri wa mtu mzima,hivi kweli mtu wa umri huu hana nye.ge? Na kama anazo afanye nini?

Siku tukigundua kufanya mapenzi au punyeto ni takwa la kibinadamu tutapunguza mahubiri ya kinafiki, alot of people wako kwenye denial.
 
Umechokoza hoja ya maana sana, hoja ambayo ilitaka kusababisha wanaume wanitoe roho humu kwenye mada moja ya bikra, kama unakumbuka kuna kipindi bikra ilikuwa ni mada inayotrend sana humu, ulikuwa ni upepo nashukuru umepita.

Mi niliuliza msichana ambaye hajaolewa kwasababu za life style ya sasa, shule na kadhalika aishi vipi bila kufanya mapenzi ili amtunzie bikra uyo mumewe, tuchukulie mfano chuoni huwa tunakuwa na miaka atleast 19-26, huu ni umri wa mtu mzima,hivi kweli mtu wa umri huu hana nye.ge? Na kama anazo afanye nini?

Siku tukigundua kufanya mapenzi au punyeto ni takwa la kibinadamu tutapunguza mahubiri ya kinafiki, alot of people wako kwenye denial.

Wewe ni binti kiziwi kweli??
 
Ndio hapa ninapopata shida Mimi, sisi binaadam tumekua wajuaji Sana ndio shida ilipoanzia. Sisi tuliumbwa Kama wanyama wengine tu ndio Mana Ng'ombe au mbuzi na mbwa hawapigi punyenga! Sisi tulibadili sex kua starehe ndio Chanzo Cha haya yote kuona hatuwezi ishi bila sex. Mungu muumba wa vyote alitengeneza mifumo mizuri tu ya sisi kusurvive Mana sio lazima kusex Kila Mara mana sex sio chakula, Ni kwaajili ya kuijaza dunia tu . Hayo Mambo mengine sijui ya ndoa Ni Mambo na Taratibu za kibinaadam na Imani yanatofautiana Kati ya mtu na mtu. SEX IS FOR REPRODUCTION sio starehe.
Nasikitika umepotoka na sijui unayaongea haya from the mouth of which river!? Ukiweza kuthibitisha ni kwa namna gani SEX IS FOR REPRODUCTION only tutakuwa na cha kujadili, utuambie STAREHE inayoambatana na SEX ilitoka wapi na kwanini ipo hapo ilipo, na Je unafikiri kila mtu anataka kufanya reproduction huku duniani?

Je unafahamu si kila mtu ana uwezo wa kufanya reproduction lakini ana uwezo wa kufanya sex.

Je unaweza kuthibitisha kuwa wanyama hawapati starehe wakati wa kusex? Ukiweza kujibu hayo tunaweza kufanya mjadala, na ukiweza kujibu kwa usahihi (factual) hakutakuwa na mjadala sababu utakuwa umeshajiondoa katika hicho unachofikiria ni sahihi.
 
Nasikitika umepotoka na sijui unayaongea haya from the mouth of which river!? Ukiweza kuthibitisha ni kwa namna gani SEX IS FOR REPRODUCTION only tutakuwa na cha kujadili, utuambie STAREHE inayoambatana na SEX ilitoka wapi na kwanini ipo hapo ilipo, na Je unafikiri kila mtu anataka kufanya reproduction huku duniani?

Je unafahamu si kila mtu ana uwezo wa kufanya reproduction lakini ana uwezo wa kufanya sex.

Je unaweza kuthibitisha kuwa wanyama hawapati starehe wakati wa kusex? Ukiweza kujibu hayo tunaweza kufanya mjadala, na ukiweza kujibu kwa usahihi (factual) hakutakuwa na mjadala sababu utakuwa umeshajiondoa katika hicho unachofikiria ni sahihi.

seems like wewe binti kiziwi unaonekana, unapenda sana haya mambo kweli? Si kweli
 
Back
Top Bottom