Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Alishaelezea hapo. Kuna aina za nyeto mbili.
1. Kuangalia porn huku ukijipa mzuka.
2. Kumvutia hisia mwanamke.
Hii ya pili kwa maexpart wengi hawaipendi maana inamadhara. Madhara yake ni kama ifuatavyo kunawanawake wengine kama wachawi vile unamvutia hisia vizuri anakuja kwenye 18 mshindo unataka kuja anapotea machoni hivyo anakufanya uanze upya kumvutia hisia hapo ndio anakupotezea muda wako. Ndio maana wengi wanaopt namba 1 au mwanamke ambaye ndani ya dk 1 anakua kashamaliza haja zake. Hiyo no 2 ishanikuta kwa bongo muvi flani. Sijui anauchawi gani yule dada, kila nikimvutia picha mwishoni anapotea nikaachana nae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji87]
 
Kuna ubaya Gani mtu kujishika sehemu zake kwa starehe zake binafsi?, Kati ya madhara ya Punyeto na uzinzi yepi yana Unafuu?
Kuliko mtu kuhatarisha Afya yake na future yake kwenye uzinzi, mi naona Bora kujishika aisee.. it's fun and less expensive!!
Basi endelea mtoto akililia wembe mpe!
 
Hizi habari za kujichua zimezua mjadala mkubwa sana nyakati zetu hizi.
Kila mtu anazungumzia athari zake kwa jinsi alivyo amishwa au alivyo experience.
Athari za kiroho kama alivyooanisha hapa mleta mada, na kwa namna hio hio kulingana na imani ya mtu.
Zipo pia athari za kiafya kama wazemavyo wataamu wa afya, lakini pia wataalamu wengine tena walio rasmi wamepinga vikali uwepo wa athari za kiafya kutokana na kujichua.
Wataalamu wengine wa akili nao wamesema kuna athari zitokanazo na kujichua zinaathiri akili, lakini wengine wanakataa na wote wana hoja.

Sijaweza kujua ni kitu gani kimetusibu vijana waleo mpaka kujikuta washirika wa kujichua kwa kiasi kikubwa vile.
Mimi kwa takribani miaka 15 na kuzidi ninafanya hivi lakini nikiambiwa nionyeshe athari moja wapo ya zinazotajikana sinazo.
Nimeoa na ninawatoto wawili wenye afya.
Ninafanya kazi za watu sijaweza kuharibu.
Ibada na hudhuria na fellowship kwenye kanisa letu, kwa maana hio hofu ya Mungu niko nayo.
Na performance ya kujieleza mbele za watu niko nayo pia.

Mimi nawalaumu wanawake wao ndio chanzo cha vijana wengi kuharibika maybe. Kwa sababu ya lifestyle yao walio iga mfano mavazi urembo kujiamini nk.

Hii imepelekea mwanaume kukosa kujiamni na kusimama na mwanamke na kuona bora akajichue kuliko kupigiana makelele na mademu.

Mwisho athari za kujichua ziwe za kiroho kiakili na kiafya haziko general ndugu mleta mada.
Kwahiyo brother unashauri wapiga nyeto waendelee au sio?
 
Mkuu kama nimekuelewa kidogo.
Lakini nimeona umekazia suala la kwamba Sex ni kwa ajili ya Kuzaliana tuu na siyo kwa ajili ya kujifurahisha

Sasa Mkuu hili jambo umelitoa wapi?.
Ni imani ipi inayosema kwamba Tendo la ndoa ni kwa ajili ya Kujaza dunia pekee?
Na je MTU akifanya kwa ajili ya kujifurahisha ni Kosa?
Asante mkuu kwa swali zuri, Mimi Ni mfuasi wa Imani yangu lakini Kuna mambo ambayo kibinaadam najua Ni Taratibu tulizojiwekea sisi binadamu kutokana na Imani zetu na tamaduni. Nilianza kujiuliza swala la kuwepo kwa mambo ambayo baadhi yako na ukakasi kuhusu tendo la ndoa Kuanzia oral sex,anal sex, na sex zingine nyingi nikawqza sababu ya uwepo wake nikaanza kutafiti binafsi na kwa baadhi ya articles nilichoona Ni kua yote haya yalikua na lengo la kujipa Raha tu. Kua Ni kosa au sio kosa minaona tulishapotoka kwaiyo kwasasa Kila mtu Anafanya vile anaona sawa alimradi tu aona kinampa furaha unafanya tu.
 
Nasikitika umepotoka na sijui unayaongea haya from the mouth of which river!? Ukiweza kuthibitisha ni kwa namna gani SEX IS FOR REPRODUCTION only tutakuwa na cha kujadili, utuambie STAREHE inayoambatana na SEX ilitoka wapi na kwanini ipo hapo ilipo, na Je unafikiri kila mtu anataka kufanya reproduction huku duniani?

Je unafahamu si kila mtu ana uwezo wa kufanya reproduction lakini ana uwezo wa kufanya sex.

Je unaweza kuthibitisha kuwa wanyama hawapati starehe wakati wa kusex? Ukiweza kujibu hayo tunaweza kufanya mjadala, na ukiweza kujibu kwa usahihi (factual) hakutakuwa na mjadala sababu utakuwa umeshajiondoa katika hicho unachofikiria ni sahihi.
Naam yaweza kua nimepotoka kweli Ila naomba unijie na haya ndio Mana nasema ujuaji wetu sisi Wanadaam ndio Chanzo Cha haya yote. Pia ukiniletea ushahidi wa wanyama wengine walioumbwa na Mungu hapa wanao practice punyeto, wanaofanya anal sex, na wanaofanya sex kipindi ambacho sio Cha joto kwaajili ya reproduction ndio nitakuja Kuanzia hapo. Asante.

2. Ndio Mana Kuna wanyama wengine pia ambao hawazi, hiyo sio exemption ya kua huwez ishi bila sex.
 
Umechokoza hoja ya maana sana, hoja ambayo ilitaka kusababisha wanaume wanitoe roho humu kwenye mada moja ya bikra, kama unakumbuka kuna kipindi bikra ilikuwa ni mada inayotrend sana humu, ulikuwa ni upepo nashukuru umepita.

Mi niliuliza msichana ambaye hajaolewa kwasababu za life style ya sasa, shule na kadhalika aishi vipi bila kufanya mapenzi ili amtunzie bikra uyo mumewe, tuchukulie mfano chuoni huwa tunakuwa na miaka atleast 19-26, huu ni umri wa mtu mzima,hivi kweli mtu wa umri huu hana nye.ge? Na kama anazo afanye nini?

Siku tukigundua kufanya mapenzi au punyeto ni takwa la kibinadamu tutapunguza mahubiri ya kinafiki, alot of people wako kwenye denial.
[emoji28][emoji28] Hivi sex Ni chakula kwamba mtu hawezi ishi bila sex? Mungu muumbaji wa vyote alitengeneza system katika miili yetu ambayo inafanya kazi automatically pale mtu mume anapozidiwa na utamu wake ndio Mana kukawa na ndoto nyevu.
 
[emoji28][emoji28] Hivi sex Ni chakula kwamba mtu hawezi ishi bila sex? Mungu muumbaji wa vyote alitengeneza system katika miili yetu ambayo inafanya kazi automatically pale mtu mume anapozidiwa na utamu wake ndio Mana kukawa na ndoto nyevu.

Wapi na nani ameandika mwanadamu hawezi kuishi bila sex? Unajaribu kutwist mambo kwa sababu gani, hakuna aliyesema mwanadamu hawezi kuishi bila sex bali tumesema sex ni takwa la kibinadamu, unaelewa maana yake?

Tuelimishe, ndoto nyevu ni sawa na ndio ubinadamu lakini punyeto sio sawa how?
 
Naam yaweza kua nimepotoka kweli Ila naomba unijie na haya ndio Mana nasema ujuaji wetu sisi Wanadaam ndio Chanzo Cha haya yote. Pia ukiniletea ushahidi wa wanyama wengine walioumbwa na Mungu hapa wanao practice punyeto, wanaofanya anal sex, na wanaofanya sex kipindi ambacho sio Cha joto kwaajili ya reproduction ndio nitakuja Kuanzia hapo. Asante.

2. Ndio Mana Kuna wanyama wengine pia ambao hawazi, hiyo sio exemption ya kua huwez ishi bila sex.
Nilivyokuuliza unayaongea haya “from the mouth of which river” nilimaanisha vyanzo vyako vya maarifa ni vipi au reference yako ni wapi, hii itatupa frame work ya mjadala wetu tuache kujadili kama walevi wa mnazi huyu anarefer huku, huyu ana refer kule katika vyanzo vinavyopinga, mjadala hautaisha.
Pili, hujajibu swali langu hata moja zaidi umeniongezea maswali, uungwana ni vitendo ngoja mimi nikujibu kama ifuatavyo na nikutake uende ukasome tena na tena kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya maarifa ili uondoke kwenye narrow thinking ya kwamba SEX SAVES REPRODUCTION PURPOSE ONLY ukirefer kuhusu wanyama, kwamba wanafanya only kwenye heat kwanza si kweli na sijajua hayo umeyatolea wapi, si kweli sababu wataalamu wanapingana na wewe, au basi utuambie wewe ni mtaalamu mpya na utupe machapisho yako hata katika summary tu.

Well, kwasababu hatuwezi kumuuliza mnyama kama anapata pleasure wakati wasex, watafiti wametumia njia tofauti za kitafiti kulithibitisha hilo kwa kustudy tabia za wanyama na kuzifananisha na zile za Mwanadamu awapo kwenye sex. Study zimefanywa kwa wanyama mbalimbali mfano, primates mbalimbali (hapa walimtumia Bonobo) pia cats, dolphin etc

moja, wameeleza juu ya wanyama kupata orgasm kwa kutafsiri vitendo vinavyotokea wakati wa sex kama vile kuvimba/kutuna kwa misuli (kwa madume) vocalization na change of facial expression, tabia ambazo hata binafamu huzionesha anapopata orgasm, and we all know that orgasm huambatana na pleasure.

Pili, Wanyama wameonekana wakifanya sex “out of the breeding season” mfano wakati wa preginacy, nikuulize ndugu mjumbe sex wakati wa mimba ina save which purpose kama sio starehe tu, is it also for procreation?

Pia, tafiti zimewabamba wanyama wakifanya sex between mature na immature individuals, sio hivyo tu pia sex between both immature individuals, ingekuwa huku kwenye ubinadamu tungesema underage hehe, hii haiwezi kuwa for reproduction.

Sijazungumzia na sijataka kuzungumzia tafiti zilizofanywa juu ya Wanyama kufanya oral sex, same sex, group sex kwasababu sijawahi kuwa interested kujifunza kuhusu hili. Itoshe tu kusema let us dig-in tujifunze tena na tena sababu wenzetu wamefanyia tafiti za kutosha na wametoa machapisho kadha wa kadha.
 
@Nyenyere Mbona patam hapo mkuu lkn ukisahau kinitag ndugu yang baada ya kuchukuliwa na police ilikuwaje huko mbeleni
Leo naendelea mkuu, nilitoka kidogo kikazi
 
Umechokoza hoja ya maana sana, hoja ambayo ilitaka kusababisha wanaume wanitoe roho humu kwenye mada moja ya bikra, kama unakumbuka kuna kipindi bikra ilikuwa ni mada inayotrend sana humu, ulikuwa ni upepo nashukuru umepita.

Mi niliuliza msichana ambaye hajaolewa kwasababu za life style ya sasa, shule na kadhalika aishi vipi bila kufanya mapenzi ili amtunzie bikra uyo mumewe, tuchukulie mfano chuoni huwa tunakuwa na miaka atleast 19-26, huu ni umri wa mtu mzima,hivi kweli mtu wa umri huu hana nye.ge? Na kama anazo afanye nini?

Siku tukigundua kufanya mapenzi au punyeto ni takwa la kibinadamu tutapunguza mahubiri ya kinafiki, alot of people wako kwenye denial.
Mungu habadiliki, ni Yeye yule jana leo na hata milele. Ukiona mahubiri ya kujemea dhambi ni ya kinafiki, basi you don't have God. Jaribu kuwatoa watoto wako kwenye ngono kisa unajidanganya ni mahitaji ya binadamu. Ni heri ungejiuliza kwa jina dunia ya sasa imewaka tamaa za hovyo kiasi hiki kuliko ilivyokuwa hapo awali. Kusema ni mahubiri ya kinafiki, ni kumwota Mungu mnafiki!!
 
Hili ni suala pana sana na linalogusa wengi. Ili kuwasaidia vijana mkuu Nyenyere ukipata muda jaribu kufafanua zaidi. Mfano:

Kijana rijali ambaye hajaoa afanyeje? Azini? Apige nyeto? Kuzini na nyeto ni kipi kina unafuu kiroho (kama upo?). Najua hali tengamanifu ni kujizuia mpaka mtu aoe lakini katika uhalisia wake na mazingira haya ya kisasa, ni kijana gani rijali anaweza kufanya hivyo?

Ukija kuleta mada ya kuacha nyeto angalia pia na suala hili. Yawezekana kweli kijana rijali kukaa tu miaka na miaka bila ngono eti akisubiri mpaka aoe? Kama haiwezekani, kijana huyu afanye nini kama hawezi kuzini na kupiga nyeto?

#Uwazinaukweli

Inawezekana kabisa, wapo WENGI TU wanaishi bila punyeto. Naweza kukuambia neno moja, nitaweka mada soon kuhusu origin ya haya mambo. Kuanzia hapo tutajadili vema, ila INAWEZEKANA KABISA KUACHA AMA KUISHI BILA KUFANYA HAYO, tena mwili ukiwa huru kabisa na kuyahesabu mambo yote kuwa ni upuuzi. Sisemi kuishi kwa kujitesa kwa hamu, no, ni kwamba hamu yote inatoweka kabisa. Tatizo watu wanaoishi kwa EXPERIENCE ZAO kuliko kuitazama kweli. Kwa hiyo hapa tunapambana na EXPERIENCE VS TRUTH.
 
Back
Top Bottom