Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Nguvu ya Punyeto na kujichua katika Ulimwengu wa Roho

Hahah mkuu unaonekana uko na siasa Sana za maneno, huwezi kusoma ki article kimoja Cha BBC Cha (Jason Goldman,2014) ukaja na final conculution inaonekana nimekustua baada ya mada ndio ukaenda kupitia pitia ukaleta hichi ulicho kileta.

Pili nikuambie Kama uliamua kufatilia kuhusu sex kwa wanyama huwezi kwepa tafiti zao za oral sex,same sex na zingine Mana lengo lao Ni kuhalalisha kuhusu mambo yao , nikupe taarifa nilishasoma yote hayo mpaka na wengine wakasema mbwa anapiga puyenga kitu ambacho naomba hata wewe unaweza kunisaidia kusema Mana baadhi ya wanyama wapo tunaishi nao na tunajua tabia zao labda unaweza kuniletea ushaidi huo. Nimeona mifano mingi sijui cats, dolphins, bonobo ulio wasema nao wengi wamewatumia Kama reference zao lakini hayo yote yalikua na mlengo wao ambao ndio huo unajifanya hujataka kufatilia lakini Ukweli Ni kua huwezi kutenga pleasure sex na makokoro mengine yoyote yanayohusu sex.

Naomba ujue tofauti ya kufanya for pleasure na kufanya kufeel pleasure,

"Dolphins and Bonobos are the only species observed to engage in sex for pleasure.
All others are driven by irresistible genetic and environment cues that it is time to make baby animals."

Mwisho naomba nimalizie kwa kukuomba au kunukuu maneno ya mzee Jk aliyosema " ukiambiwa changanya na zako" wewe kikijiji kwenu mko na Ng'ombe,mbuzi, mbwa, paka na minyama mingine mingi ulishaona wakifanya punyenga?oral sex ? Same sex ? Huu Ni utashi wetu sisi binadamu usikatae na kutetea vitu usivyo vijua kua matatizo yaliyo tokana na utashi wa binadamu kufanya sex for pleasure yame pelekea introduction ya vitu vingi ambavyo havikua na maana.

Mimi umeniona nina siasa wewe huna si ndio? Tufanye huna siasa na umeleta facts hapa sio? 😀Mkuu una drama, kwamba wewe ndiye uliyenishtua kuhusu hili, umeshindwa hata kuelewa Kwenye comment ya kwanza jana kwanini nilikutaka ututhibitishie kuwa wanyama wanafanya sex only for reproduction unadhani nilikuuliza nikiwa sijawahi kusoma chochote Kuhusu hiki tunachokiongea hapa. Mbona unakuwa mzito sana kugrasp concept behind maswali

Basi tufanye umezikataa hizo articles za watafiti tuletee vithibitisho basi, unanituma kijijiji kwetu kwani mimi ni mtaalamu wa kuchunguza tabia za wanyama? Lakini pia unavijua vyanzo vya maarifa? Tuletee vithibitisho angalau vilivyofanywa na watafiti wa huko kijijini kwenu.

Btw, mpaka sasa hujajibu swali hata moja na hujathibitisha madai yako.

Umekazana kusema ni utashi wa binadamu kufanya punyeto, na aina zingine za sex, lakini hujibu kuwa hiyo pleasure inatoka wapi na ilikuwaje ikawepo hapo, kimsingi nilidhani unasema hakuna pleasure Kama ipo basi tueleze imekujaje wakati sex isnot for pleasure ni kwaajili ya reproduction, sijui kama unajua unachokikataa na kukikubali ni kitu gani.

And its very narrow of you kudhani wanyama ni ngombe, mbuzi, sijui na nini nini mnaofuga huko kijijini kwenu.
 
Huo ni mfano, mada kama hizi wazazi wanaweza kuzitumia kuwalinda watoto wao. Kusema nilikuwepo ni kukosa hoja, hata wakati wa uumbaji ulimwengu sikuwepo. Nadhani tujaribu kutazama upande positive kuliko kutafuta vipengele vya kupinga tu. Sote tunaelimishana mkuu
Kwahiyo ulileta mada ili usipingwe sio haya! Unataka tuchukulie mawazo yako positive wakati ya wenzio huyachukulii positive! Dunia ina vituko sana hii.
 
Kwahiyo ulileta mada ili usipingwe sio haya! Unataka tuchukulie mawazo yako positive wakati ya wenzio huyachukulii positive! Dunia ina vituko sana hii.
Kupinga kwa kukejeli kwamba sikuwako zama za kale!! Toa hoja sio kebehi
 
Bado hamjanishawishi kwa hizo stori, Masterbation imeokoa wengi Sana.. madhara ya Master Ni mepesi Sana kuliko Madhara ya zinaa, labda tushauriane kuviacha vyote na Ni kitu ambacho kiuhalisia hakiwezekani..
Sio kila mtu atapata kitu, wengine wamepigwa roba za mbao. Kwa hiyo ukidhani umeokolewa na puli endelea tu, maadam inakupa faida kubwa. Wanaotazama kesho yao wanajua nini maana ya tahadhari kabla ya hadhari
 
Story yangu:
Nilianza kupiga punyeto nikiwa mwajiriwa. Hapo ni baada ya kutoka kidato cha sita. Siku moja nikiwa na kwenda kwenye public toilet sikujua kama alikuwamo mwajiriwa mwenzangu akiwa amesahau kufunga mlango. Nilishika kitasa kwa haraka sana nikafungua mlango, nilijikuta uso kwa uso na jamaa akigumia kwa raha MBELE YA MACHO yangu. Sikuwahi kufuatilia mambo haya katika maisha yangu, hivyo nilupatwa na butwaa halafu nikamwomba msamaha, naye akaniomba msamaha nikatoka ilu amalize kujiweka sawa. Ni kuanzia hapo akili yangu haikuwa sawa tena, yaani kukawa na nguvu ya hatari sana inanisukuma nijaribu japo mara moja kuona ilivyo. Mwishowe niliamua nionje kidogo, nakiri wazi kuwa hiyo ndio sikunilipokoma kuishi kama MIMI, that was the end of me!!

********************
Kuanzia hapo ashki zilikuwa zinanijia asubuhi, mchana na jioni. Nikajikuta nashindwa tena kujizuia. Nimeendelwa na hali hii mpaka nilifikia kipindi naweza kukwepa kwenda kazini ili nitumie muda mwingi kujiridhisha. Then nilipata nafasi ya masomo UK. Niseme wazi tu, utamu ulizidi hata siku moja nikiwa kwenye bustani ya Hyde Park, nilitafuta angle moja nikaanza kyjipa raha. Kuna mambo mawili yalikuwa yakiendelea bila mimi kujua, kwanza kuna wadada wawili walikuwa wakupita jirani na kichaka nilichokuwa wakaniona wakasimama kunitazama, pili kuna jamaa mmoja mwarabu (ila raia wa huko UK) alikuwa akinicheki kytoka angle fulani mimi nikiwa sijui. Sasa yule mwarabu alinijia nilipomaliza, akaniambia: You're beautiful, will you be my girlfriend? Nilipigwa na butwaa na nikaondoka kwa hasira bila kumjibu. Nikiwa ndani ya bustani bado nikasikia king'ora cha gari ya polisi, kumbe wananifuata mimi. Wakanichukua mpaka kituoni, mashitaka yakiwa indecent exposure. Kumbe wale wadada wawili waliponiona walipiga simu polisi, kisha polisi wakaja!!


******************

Nikiwa polisi walikagua nyaraka zangu kisha wa Kanisa nami hapo kituoni, hawakuniambia neno lolote. Kama nusu saa baadaye akaja mtumishi mmoja wa chuoni, wakaniambia niondoke naye. Basi ndani ya gari huyu mtumishi akawa ananipa faraja, "don't worry, we'll sort this out!" Basi baada ya kufika chuo, nilithlia mpaka jtatu, huyo mtumishi akaja darasani akauliza, ni nani rafiki wa karibu wa huyu? Wakajitokeza wazungu watatu ambao ni mabest zangu, basi akakamatwa mmoja (anaitwa Rigby) akaambiwa, huyu jamaa utaondoka naye Alhamisi (ilikuwa long weekend), "make sure he gets laid." Kama hatalala na mwanamke basi nitakushughulikia. Duh!! Basi bana long weekend ikaja, Rigby alikuwa anatokea Lincoln City, tukaenda kwao. But kifupi hawa jamaa wana utamaduni wa kualikana kwenye pubs (baa) wanakesha wakinywa kama vikundi vya wanaume na wanawake. Basi tukiwa huko akaja binti mmoja bonge hivi, akakaa nami. Moyo ukawa unaenda mbio tu, naogopa kojacho mbele. Basi kulikuwa na muziki wa karaoke unaendelea (Waingereza wana tabia wanapopiga karaoke basi mtu anakuwa anaimba kufuatisha wimbo). Nikashangaa ghafla jina langu linatajwq na DJ kwamba nitaimba wimbo uitwao TAINTED LOVE. Yaani huu wimbo hata sikuwahi kuusikia maishani, nilitamani waniwekee chambua kama karanga (huu wimbo ndugu zangu nilishangaa Waingereza wengi walikuwa nao kwenye simu zao, ukisema mimi ni mtanzania wanakuwekea wakijigamba wanajua utamaduni wetu). Basi nikataka kukataa kupanda jukwaani, yule binti akanisihi sana kwamba "please go, it will be sexy." Basi wakanishika na kuniinua nikapanda jukwaani halafu wakaja na kampani ya watu wengine wanne, hakika mimi nilikuwa napanua mdomo tu wao ndio wanaimba maneno!! Tuendelee....


Morg, Khantwe, yuzazifu, Sic March, Mgonga Like, Ismoo, extra life, wiz hov, SHIMBA YA BUYENZE
 
Sio kila mtu atapata kitu, wengine wamepigwa roba za mbao. Kwa hiyo ukidhani umeokolewa na puli endelea tu, maadam inakupa faida kubwa. Wanaotazama kesho yao wanajua nini maana ya tahadhari kabla ya hadhari

Inategemea na hiyo kesho Yako una mpango upi nayo, acheni kuwa watumwa wa kifikra wa Wanawake.. Mara sijui nguvu za kiume zitaisha, Mara sijui itakuaje.. kwa mwanaume unaejiamini Mwanamke anatakiwa akuridhishe wewe sio wewe ukomae kumridhisha yeye ( Huo Ni ufala) piga nyeto, stay safe, make money, timiza ndoto enjoy your own company.. Kama ukitaka kuoa jipange kudeal na matokeo lakini Kama ishu ya kuoa kwako sio tabu.. master is the safe way of keeping urself safe..
We Kama umeshapata Magonorhea Huko usiwarubuni wengine nao waingiemo... narudia Tena madhara ya Zinaa Ni makubwa sana kuliko Master..
 
Inategemea na hiyo kesho Yako una mpango upi nayo, acheni kuwa watumwa wa kifikra wa Wanawake.. Mara sijui nguvu za kiume zitaisha, Mara sijui itakuaje.. kwa mwanaume unaejiamini Mwanamke anatakiwa akuridhishe wewe sio wewe ukomae kumridhisha yeye ( Huo Ni ufala) piga nyeto, stay safe, make money, timiza ndoto enjoy your own company.. Kama ukitaka kuoa jipange kudeal na matokeo lakini Kama ishu ya kuoa kwako sio tabu.. master is the safe way of keeping urself safe..
We Kama umeshapata Magonorhea Huko usiwarubuni wengine nao waingiemo... narudia Tena madhara ya Zinaa Ni makubwa sana kuliko Master..
Daah kumbe mada umeichukulia kwa mrengo huu? Basi hatuwezi kuelewana. Mtoa mada anazungumzia suala la punyeto na athari zake kiroho sasa kama wewe uko kuwaza nguvu za kiume tu basi uko mbali sana na sisi wenzio
 
Naona watu wanatumia kila Aina ya Hoja na vigezo pamoja na nadharia mbalimbali kuhalalisha Pili kuwa Ni Best way kwa maisha ya mwanadamu na haina madharia but to be honestly hiyo Ni dhambi mbele ya Mungu haitakiwi kabisa lkn sahiv kunakuwa na force gravitational between evil na sisi wanadamu KUHUSU Puli lkn hapa Ndipo shetani anapotupatia
Ni ipi tofauti kati ya Roho na Nafsi ?

Hapa naona kama unachanganya mahali pa Nafsi una weka Roho, kama utakuwa na ithibati au maelezo ya ziada juu ya hili.

Nafsi ndiyo imefungamana na matanio ila Roho ndiyo uhai wenyewe. Ukiielewa vizuri kauli yetu isemayo "Kila nafsi itaonja umauti", bila shaka utaelewa ya kuwa kwenye Nafsi umeweka Roho,na hii si sawa.

Huu ni ukweli usio na shaka kabisa
Naam, ngoja niweke sawa mkuu:

Mwanzo 2
⁷ Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.



Mtu akawa nafsi hai. Kumbe nafsi ni muunganiko wa mwili na roho, tuko pamoja? Kwanza yalikuwa mavumbi (mwili) kisha ikaingizwa roho tukapata nafsi (mwanadamu kamili ni nafsi). Kwa hiyo nikisema ni muunganiko wa nafsi ina maana mwanadamu kamili yaani mwili na roho katika ulimwengu wa roho vinakuwa kitu kimoja. Kwa hiyo tendo la ndoa linaunganisha roho mbili za nafsi moja, roho ya mwanamke na roho ya mwanamume. Zinapoungana kwa ajili ya kufurahia tendo la ndoa basi zinatengeneza nafsi moja, ingawa katika mwili watu hawaunganibkuwa mmoja, ila wanaunganishwa na sehemu za siri. Wajapo maliza tendo na kutengana, zile emotional energy walizobadilishana zinakuwa ndio kifungo cha nafsi, wanabaki nafsi moja. Kila roho itatenda kwa kadri ya yaliyoujaza moyo, ingawa ni nafsi moja. Mwanamume kama ni mzinzi ataendelea kuwa hivyo, mwanamke kama ni kahaba atabaki hivyo kama hawajashughulikia hayo. Muunganiko wao utatiwa udhaifu na matendo yao kwa sababu hawako mwili mmoja kamili, bali wako wengine wainguzao nguvu tofauti.

Nafsi ni kiti cha ufahamu wote, wakati mwili na roho ni viongozi wapinzani. Sasa kama mwili utakuwa na nguvu za kisiasa ni dhahiri utaitiisha nafsi na hivyo roho itanyamazishwa. Mungu ni Roho, ukitaka kuisikia sauti yake, sharti roho ichukue uongozi na mwili utii. Kwa hiyo basi, nafsi yenyewe inapokea maongozi toka ama kwa mwili ama roho, ndio mwanadamu huyo.
 
Inategemea na hiyo kesho Yako una mpango upi nayo, acheni kuwa watumwa wa kifikra wa Wanawake.. Mara sijui nguvu za kiume zitaisha, Mara sijui itakuaje.. kwa mwanaume unaejiamini Mwanamke anatakiwa akuridhishe wewe sio wewe ukomae kumridhisha yeye ( Huo Ni ufala) piga nyeto, stay safe, make money, timiza ndoto enjoy your own company.. Kama ukitaka kuoa jipange kudeal na matokeo lakini Kama ishu ya kuoa kwako sio tabu.. master is the safe way of keeping urself safe..
We Kama umeshapata Magonorhea Huko usiwarubuni wengine nao waingiemo... narudia Tena madhara ya Zinaa Ni makubwa sana kuliko Master..
Who cares!? Wewe umeijua kweli kwa nini kuja hapa ili kuleta ubishi? Katika hii thread wapo wengi ambao wameathirika na huu upuuzi, hivyo wanapata faida. Wewe usiyeathirika just carry on brother. Kuna majukwa ya ngono pia, unaweza kujikita huko kuwaelimisha jinsi ya kujichua, hutoniona huko. Hata ushoga wanadai hivyo hivyo, let's see jinsi gani utakea wanao, kwamba utawafilindisha huo ujinga ama la?
 
Daah kumbe mada umeichukulia kwa mrengo huu? Basi hatuwezi kuelewana. Mtoa mada anazungumzia suala la punyeto na athari zake kiroho sasa kama wewe uko kuwaza nguvu za kiume tu basi uko mbali sana na sisi wenzio

Aaah! Hayo ya rohoni ye ameyajuaje Kama sio uongo huo?
Kama nguvu za kiroho zingekua na umuhimu Basi mungu asingeumba Mwili.. Skia life is sooo short to be worried about things that are far beyond your reach.. Live it while you still have it.. enjoy everything that makes you happy.. the ultimate happiness and pleasure comes from you.. tofauti na hapo Nenda ukanye!!
 
Aaah! Hayo ya rohoni ye ameyajuaje Kama sio uongo huo?
Kama nguvu za kiroho zingekua na umuhimu Basi mungu asingeumba Mwili.. Skia life is sooo short to be worried about things that are far beyond your reach.. Live it while you still have it.. enjoy everything that makes you happy.. the ultimate happiness and pleasure comes from you.. tofauti na hapo Nenda ukanye!!
Sawa, acha tunaoona umuhimu tuendelee kujifunza
 
Who cares!? Wewe umeijua kweli kwa nini kuja hapa ili kuleta ubishi? Katika hii thread wapo wengi ambao wameathirika na huu upuuzi, hivyo wanapata faida. Wewe usiyeathirika just carry on brother. Kuna majukwa ya ngono pia, unaweza kujikita huko kuwaelimisha jinsi ya kujichua, hutoniona huko. Hata ushoga wanadai hivyo hivyo, let's see jinsi gani utakea wanao, kwamba utawafilindisha huo ujinga ama la?

Sijakubishia brother sema nawaza kwa sauti Hapa " Unawakataza watu nyeto ili wafanye Zinaa ama?
Wape njia mbadala Basi itakayo walinda wao kimwili, kijinsia, na kiroho as you said...."

Imagine una Mwanao ambae Yuko kwenye foolish age, ametawaliwa na vichocheo vya Mwili na Anabadirisha wenzi kila siku, ukiuliza why anakujibu loudly and clear Kwamba hamu ya Mwili ndo inafanya afanye hivyo, utamuombea? Utamtafutia Mchumba aolewe au aoe na umri Bado? Sio kila kitu mpaka muwe mnakaririshwa.. siajabu unajifanya mlokole Hapa Ila in real life Ni mchafu kuzidi hata mm.. Magonjwa yameshakuwa mengi, kujizuia sio Jambo la rahisi kwa ulimwengu huu unaoenda Kasi.. tunapoteza Vijana wengi Mapema kwa sababu ya watu kama nyie.. Wape Vijana njia mbadala yakujiridhisha kuliko kuwafanya wajione wenye hatia kwa kufanya kitu Cha kawaida tu Kama kujikuna au kujisaidia haja
 
Back
Top Bottom