airmax
JF-Expert Member
- Oct 14, 2022
- 870
- 965
Nchi za kiafrika tunajifunza nini kwa mandamano haya? nijambo la kushangaza ya kwamba raisi aliyejinadi kushinda uchaguzi wa uraisi na kuthibitishwa na tume ya uchaguzi, yanayotokea leo yanatia aibu, waandamanji waliojitokeza kwa mujibu wa takwimu ni zaidi ya asilimia 77, hapa swali ni je nani walimchagua raisi huyu?
Wapinzani walipeleka mahakamani hoja 7, majaji wakiongozwa na jaji mkuu walitupa karibu hoja zote sasa swali liko hapa, je walitoa hukumu ya haki?
Je, walio mchagua wanaweza kuandamana kumkataa mtu waliyemchagua miezi michache tu iliyopita?? jibu ni HAPANA ulikuwa uchaguzi wa hila
Nina hakika yajayo yanafurahisha, hawa viongozi dhalimu wote wataanguka tena kwa kishindo kikuu, hawa walioingia madarakani wote walituhumiwa kwa ufisadi wa Arror na Kimwarer Dams, baada ya kuingia madarakani tu, mashataka yote yameondolewa
Makamu wa Rais alishatakiwa kwa wizi wa fedha za county, tayari mashtaka yameondolewa, huku mashahidi wakidai walitishwa na utawala wa Rais aliyemaliza muda wake ili watoe ushahidi wa uongo, sasa Mungu anawaumbua wanaojitokeza kwenye maandamano ni wengi zaidi ya waliowaliopigia kura hii ni ajabu
Nyepesi nyepesi yasemekana Rais yuko nje ya nchi, nadhani kakimbia aibu, waafrika tusimame dhidi ya viongozi wote wanaoingia madarakani kwa wizi wa kura na dawa yao ni mandamano bila ukomo
Wasaalaam.
Wapinzani walipeleka mahakamani hoja 7, majaji wakiongozwa na jaji mkuu walitupa karibu hoja zote sasa swali liko hapa, je walitoa hukumu ya haki?
Je, walio mchagua wanaweza kuandamana kumkataa mtu waliyemchagua miezi michache tu iliyopita?? jibu ni HAPANA ulikuwa uchaguzi wa hila
Nina hakika yajayo yanafurahisha, hawa viongozi dhalimu wote wataanguka tena kwa kishindo kikuu, hawa walioingia madarakani wote walituhumiwa kwa ufisadi wa Arror na Kimwarer Dams, baada ya kuingia madarakani tu, mashataka yote yameondolewa
Makamu wa Rais alishatakiwa kwa wizi wa fedha za county, tayari mashtaka yameondolewa, huku mashahidi wakidai walitishwa na utawala wa Rais aliyemaliza muda wake ili watoe ushahidi wa uongo, sasa Mungu anawaumbua wanaojitokeza kwenye maandamano ni wengi zaidi ya waliowaliopigia kura hii ni ajabu
Nyepesi nyepesi yasemekana Rais yuko nje ya nchi, nadhani kakimbia aibu, waafrika tusimame dhidi ya viongozi wote wanaoingia madarakani kwa wizi wa kura na dawa yao ni mandamano bila ukomo
Wasaalaam.