Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Lakini lazima tukubali Kama Taifa tuna ujinga mwingi Sana... Ukabila ni mbaya ila ujinga ni mbaya zaidiWa-kunya ni wakabila sana hapo ni vita ya kiukabila kati ya Raila na Raisi anayependwa na watu RUTO.
Politics za Kenya ni purely ukabila