Nguvu ya Umma: Bunge lalazimika kubadilisha Muswada wa Sheria ya Fedha baada ya maandamano ya Wananchi

Nguvu ya Umma: Bunge lalazimika kubadilisha Muswada wa Sheria ya Fedha baada ya maandamano ya Wananchi

Watanganyika ni keyboard warriors tu. Mkiitwa kuandamana hamtokei.
 
Safi sana serikali inatakiwa kuheshimu wananchi ndio wamewaweka madatakani sio punda kama Mwigulu anawaambia waliokataa tozo wahamie Burundi.
 
Watanganyika ni keyboard warriors tu. Mkiitwa kuandamana hamtokei.
Tunafeli kwa kukariri na kutaka kulazimisha maandamano kisa tunawaona wenzetu, Tanzania kwenye suala la maandamano limeshatushinda tutafute njia nyengine tusilazimishe maandamano tu. Mbona wafanya biashara kariakoo walitumia njia ya mgomo na kweli serikali ikakaa kuwasikiliza.
 
Tunafeli kwa kukariri na kutaka kulazimisha maandamano kisa tunawaona wenzetu, Tanzania kwenye suala la maandamano limeshatushinda tutafute njia nyengine tusilazimishe maandamano tu. Mbona wafanya biashara kariakoo walitumia njia ya mgomo na kweli serikali ikakaa kuwasikiliza.
Mkuu, unahisi bila maandamano wanaelewa? Yaani umwambie waziri Mwigulu kwamba hali ya maisha imekuwa ngumu akuelewe?
 
Mkuu, unahisi bila maandamano wanaelewa? Yaani umwambie waziri Mwigulu kwamba hali ya maisha imekuwa ngumu akuelewe?
Nimesema tutafute njia nyengine ambayo itawafanya watuelewe ila hii ya maandamano imeshindikana kwa sababu hata tukiyafanya hayo maandamano bado hawaelewi tofauti na ilivyo kwa wenzetu.
 
Nimesema tutafute njia nyengine ambayo itawafanya watuelewe ila hii ya maandamano imeshindikana kwa sababu hata tukiyafanya hayo maandamano bado hawaelewi tofauti na ilivyo kwa wenzetu.
Mfano njia ipi
 
Sisi huku kwetu DANGANYIKA ni kama mizombie vile, sie ni watu wa hewala tu.
 

Attachments

  • FB_IMG_17186935862077137.jpg
    FB_IMG_17186935862077137.jpg
    405.7 KB · Views: 3
Njia yeyote ile serikali itaelewa na kutusikiliza, mbona wafanyabiashara kariakoo walitumia njia ya mgomo na kweli serikali ikawasikiliza.
Kwani serikali haiwezi kurekebisha mpaka iambiwe,Salenda na Jangwani mvua ikinyesha hapapitiki wabunge wanasema Mitano tena 😀😀
 
Wanaturoga na mwenge
Kale kadubwasha nakashangaa sana, yaani hakana faida, ni matumizi ya hovyo ya kodi lakini wamekamumbatia.

Watanzania sisi ni mapopoma saana, aliyeturoga, mungu amlaani sana, aetupiga uchawi wa uzezeta, sie na mazombia hatuna tofauti 🤣
 
Kale kadubwasha nakashangaa sana, yaani hakana faida, ni matumizi ya hovyo ya kodi lakini wamekamumbatia.

Watanzania sisi ni mapopoma saana, aliyeturoga, mungu amlaani sana, aetupiga uchawi wa uzezeta, sie na mazombia hatuna tofauti 🤣
Gentamycine akituita watanzania Mapopoma hakosei, yaani duniani kufanikiwa huhitaji mali au madini unahitaji akili tu!!
 
Yule kimbulu wa kusini ajitathimini namna yakuongoza Hilo bunge lake asiwe anatumika tu na serikali kama toilet papers.ajifunze kutoka Kwa wakenya namna ya kusimamia serikali.
 
Acheni upuuzi, wewe ufanye uchawa halafu mambo yanapozidi unga ulilie ati Chadema wakuandamanie? Shame! Wewe huna miguu? Anzia walipoishia wao.
Mwambie ukweli huyu chawa hajielewi!
 
Back
Top Bottom