'Nguvu ya umma' kumstaafisha siasa za Kenya Raila Amollo Odinga...

Jambo litasaidia majadiliano JF ni kuweko na heshima katika majadiliano . Isiwe upande moja jamvini huruhusiwa kutoa matamshi mabaya kwa wengine wanapotoa maoni tofauti.

wewe Sherif sioni ubaya wowote na Uzi ambao Mwenye kuileta anaelewa na kunukuu vema siasa za kenya kuliko hata wakenya wenyewe ambao hawapendi kusikia mkenya mwenzake akiongea ukweli. Ni vizuri sikufahamu lakini naamini wewe umefikia kiwango cha uwezo wa kufanya utafiti na kuleta majibu kulingana na utafiti wako kwa maarifa ya kujadili.
 

should i really sanitize this? Am no lawyer and certainly not keen on feeding egos.

Al keep it simple, whilst u keep getting the idea that Raila is a corrupt demagogue, you forget what Kimunya has done for Kenya in terms of damages and who was and has been the direct beneficiary, not once but severally!!!!! Who was the minister of finance when all the latest grand scandals by Kimunya took shape? Yeah, the master schemer is there for u to see. The latest touched on our so dear skies, delayed JKIA expansion programme awarded to CHINA but still billions exchanged billions....get a list of Kimunya dealings and connect the dots, you will be surprised to learn that everytime he is found out, he escapes the noose. Guy doesnt bet on luck, he steals with assurity of certain elements.

Now to Uhurus/Githaes self ochastrated impunity, why raise lending rates to 16% unilaterally to make a kill. It wasnt any normal inflation, a move to satisfy a few privately owned Banks, if u know all the above about Kenya u can get the same elsewhere.
CORRECTION, I SAID: Nepotism is everywhere in Kenya but worst in GEMA Check parastatal employments, CEOs and as well as any cream paying jobs...several articles about the same in the blogosphere, grab an e-copy now.

ION, Raila if discussed in parliament he aint alone, infact the Kenyattas and "their" land have also been discussed extensively. How do u own land the size of a province and claim u legitimately owned it? .....it beats logic. find reasons why the ndungu land report was swept under too.... He aint as innocent as you potray him.

Chances are Raila that might falter again but i lose no sleep because of that. However, i cant be particularly be LED by a muderous outfit facing international condemnation. Mayb they win it clean but with travel bans being dished out, its only a matter of time.
FINALLY, applause to you for your committment to EAC but EAC as a FEDERATION IS A PIPE DREAM. It ends at the common market level, Kikwete kwake, museveni kwake n so on n so forth.

Thats said, Administer your constitutional right, troll bro, GAG WITHDRAWN!!!
 

livefire you are moving away from the theme.....................Raila is going home to raise his livestock........................and the reasons have been offered.

the rest of your discourse sounds like.....................Raila is a devil; since you have not defended him it translates as you are in total concord with my views, but you contend that there are is a Kikuyu mafia which is worse than Raila as your forlorn line of defending Amollo..........................the dilemma there is Raila painted himself as the champion of the poor particularly in Kibera................but now we know better.....he is just a thief just like the rest who at least they are honest for not pretending to be angels like Raila................
 
Mie namuunga mkono Raila Odinga na ndiye anafaa kuwa rais wa KENYA 2013 na kuendelea....!
 
Mie namuunga mkono Raila Odinga na ndiye anafaa kuwa rais wa KENYA 2013 na kuendelea....!

Kimbweka akishindwa ujue tulikutahadhaisha............
 
Last edited by a moderator:
unaota mkuu ndoto za mchana ,subiri sanduku la kura litaamua nani rais wa kenya ,hoja ulizotoa hapo juu ni nyepesi ukilinganisha na thamani ya raila kwa wakenya ni kubwa hasa kuleta mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi .
 
Hahahahahaha! Imenibidi nicheke tu.. Wazungu wanaiita 'selective amnesia'. Nitakujibu kwa ukamilifu baadaye kwa sasa acha nikuchekelee.. Btw i hope you are NOT Kenyan... Kwa sababu uloandika hapa yote hata yule mkikuyu mkabila kabisa ata yaona ya uzushi. Wishful thinking bro. RAO si lazima awe rais.
 
Raila ana miaka 65 (born January 7, 1945) na usilete siasa zako za Mt Kenya hapa Watanzania tunamjua Raila in and out na tunam-support by all means maana tunajua yote uliyoyataja yametokea kwa sababu ya hila za people of Mumbi! Otherwise Raila will sweep Kenya's Presidency in a Tsunami fashion! BTW Kikuyus did not fight for Kenya's independence but fought to repossess their land taken by the British settlers and upon being rewarded their land after the Brits left they (with Johnson Muigai's (assumed names Jomo Kenyatta) help) went further to steal the land of other tribes in Kenya mostly affected tribe being Kalenjins/Nandis in the rift Valley becoming settlers/occupiers themselves!
 


That is very right kikuyus did not fight to remove the British from Kenya. What made the British move out of kenya if not mau mau. Can you stop misleading people. You are discussing the history of kenya being ignorant not knowing history.

Just for starters Koitalel arap Somoei was killed by colonialists. Talk of all those freedom fighters from mekatilili, Syokimau, Elijah masinde, and mau mau had a common agenda. That was to expell imperial rule. And that is a fete they achieved successfully

Come to the issue of mau forest evictions evictions, those operating it are using it as a tool for spread their political campaigns and interest among RV people.

Evicting poor people while letting the rich to clutch on their huge illegally acquired land. So if you are Tanzanian and are trying to show people that you know much about what is happening in kenya you better shut up and stick to Tz politics.
 
Chances are Raila that might falter again but i lose no sleep because of that.

As a cord lieutenant, is this decision reached after carefully calculating the math? No need to vilify the messenger with the message. Mate I can testify to you is as if the thread starter had a complete CC of my mind. Most of the things said are factual and are even taped by media houses. But for the sake of avoiding to roll propaganda, we decided to keep it low till after the elections. Mimi nishachukua kura je wewe?
 

hahaha...comeon, i serve under no ones' socio~politico regiment, least to say accorded a Lt. bagde under CORD. Eh bro, whats with this hypnosis thing yu want i admit here?hehe. I will avoid the slander propaganda angle too inferenced by your tanzanian wingman.
Got my vote with me too, electors slip number 13** xxxxx, Kenya.
This SIASA maneno should go into overdrive soon and fast, hate guess work. As i see it, after SUPER TUESDAY we should know who will be president and who will not. Till then, some pop corn will keep me going. Live large, wacha kujistress na wanasiasa and dont vote for killers too.hehe..#pun intended.
 

My Vote is my secret, I took great consideration of the C-in-C's comments. I do not want to be useless neither ignorant my friend, hopefully we will see this course though till the end.
 
but you contend that there are is a Kikuyu mafia which is worse than Raila as your forlorn line of defending Amollo

It is a fore-gone conclusion that there is no good politicians, as the recent alliances have brought everything to light. Alliance is built on ethnic foundations. Every alliance has to depend on their established fiefdoms for votes and support. I hope our myopic bros who are good at sparring in ethnic hostilities can learn that we are all bros.

From what we see in the media and cord campaigns, Raila seems only interested in completely wiping out the Kenyatta signature from Kenya as opposed to offering leadership for the country. The country is in dire need of mature leaders for it to be able to achieve its MDG and vision 2030 goals.
 
Rutashubanyuma, sijui umri wako lakini uliyoyaandika humu ndio yale yale ya Watanzania walio wengi...wanafikiri wanajua kumbe...! Nakushauri ujikite katika siasa za Tanzania, watu wa aina yako wamefanikiwa sana kimaisha hapa nchini na ndio maana Tanzania ipo hapa ilipo...kama bado una chembe ya akili utanielewa. Siasa nje ya mipaka ya Tanzania, na hata kwa jirani zetu tu hapo Kenya, jaribu kujiepusha nazo...huzijui na hutakaa uzielewe. Hii porojo uliyoiandika hapa haistahili response and I regret doing exactly that! Typical ushabiki wa Kitanzania!
 
Nilidhani Watanzania hawaelewi siasa za kenya Lakini lo! Huyu bwana basi. Kwa wanaompinga, mna haki ya maoni yenu lakini Hisabati nan takwimu zina muunga huyu mwandishi Mkono. Kuna uwezekano Mkubwa kwamba Raila atapoteza kinganganyiro cha urais Kenya.
 

Mkuu Kabaridi maelezo kuhusu Odinga Snr mengi nakubaliana nawe, kichekesho Odinga Sr na baba yangu walikuwa marafiki walikuta Uingereza mwaka 1954 mpaka sasa picha waliopiga walipo kuwa wote huko ninayo! Nakumbuka aliwahi kumuandikia baba yangu kwamba Chama chake cha upinzani alicho anzisha baada ya kutimliwa na Kenyatta kilifutwa kwa njama za Kenyatta; Kenyatta alikwenda ziarani Nyanza maksudi baada ya kupanga watu wa kuleta fujo ili apate kisingizio cha kupiga marufuku chama cha Odinga Snr.

Ni kweli vile vile kifo cha Tom kilimsikitisha sana Oginga Snr, nimejaribu kupitia maelezo yenu (Wakenya) nimeona siasa za Kenya ni ngumu sana kuzielewa ukiwa mgeni, kuna mambo mengi yanayo changia, mnatofautiana sana katika maoni yenu kuhusu mstakabari wa Taifa lenu hii inachangiwa na mambo mengi kama nilivyo sema toka mwanzo, sio mambo ya ukabila tu. Mimi nawatakia kheli katika uchaguzi wenu wa mwaka kesho, Mungu awalinde msije mkachukuwa mapanga tena, mkubali matokeo ya kura bila ya kuleta fujo.
 

Mkuu allow me to elaborate by means of the queens language for precision. I believe all presidential hopefuls should be evaluated fully by equal measure. The new governance structures that have been set by the Kibaki govt of county governments is a step towards the right direction. The annuling of provinces set by the colonial governments is also a step in the right direction. By removing provinces, more ethnic groups (especially those of the minority) will get fair representation and autonomy. This step is necessary to effectively debase the big-tribe syndrome in Kenya.

Those that blame tribalism or ethnicity on certain communities lack the goodwill for a united kenya. The whole problem of ethnicity can be rooted back to the colonial settlement days, where tribes were secluded to their demarcated provinces. This was the first biggest mistake by the white settlers that entrenched obstinate regionalism in Kenya. That is in my view a good step to promote unity. The other plus from kibaki's achievement is it will bring to a halt political dynasties taking the kenyan populations for ransom (Yes political dynasties of kenyattas and Odinagas).

By opening avenues for other political players apart from those with deep pockets like "uhuru and odinga", generational hostilities will be deeply buried and forgotten. And that being the case no ethnic groups will be a sacred cow or no group will present their candidate to Kenyans as sacrosanct:smile: which will further put a complete end the ethnic divisions we are witnessing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…