Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,532
- 2,415
Ndo unapataje hiyo strengthStrength of muscles
Mazoezi na lishe!Ndo unapataje hiyo strength
Mechanism ni ndefu mkuu japo inatendeka kwa sekunde tu.Ndo unapataje hiyo strength
Mechanism ni ndefu mkuu japo inatendeka kwa sekunde tu.
Hayo ni mambo ya sayansi mkuu..
Fafanua mkuu, push-ups ni mazoezi piaMazoezi na lishe!
Haya funga uzi mkuu! Hakuna cha ziada...
Madesa yashavepa kichwani mkuu.Aseee kama kuna namna ya kunifahamisha hilo naomba usisite kufanya hivyo
Madesa yashavepa kichwani mkuu.
Sasa napambana na madesa ya kitaa tu.
Muone Physiotherapist, mchawi wa yote ni chakula bora.Hakuna aina ya mazoezi ya kunipa nguvu za miguu?
Na tabia/style tu ya mtu. Kama Said Ndemla, Steven Gerald, Frank Lampard, Paul Scholes.Strength of muscles
Uko sahihi, lazima uwe mjanja katika kutumia neema ulizojaliwaNa tabia/style tu ya mtu. Kama Said Ndemla, Steven Gerald, Frank Lampard, Paul Scholes.
ni timing ya upigaji,ni kama nguvi ya boxer proffesional hata ya uzito wa kati ina athari kubwa kuliko ya mbeba magunia double cabin tandika mwenye kilo 90Na tabia/style tu ya mtu. Kama Said Ndemla, Steven Gerald, Frank Lampard, Paul Scholes.
Nguvu za miguu zintafutwa mkuu, sidhani kama unazaliwa nazoUko sahihi, lazima uwe mjanja katika kutumia neema ulizojaliwa