Nguzo 7 za Mafanikio Kupitia Manifestation, Nguzo Kwanza ni Kuijua Asili ya Manifestation, Kuwa na Ndoto, Kutia Nia, Kuamini, Kuthubutu, na Kutenda

Hili lingekuwa limeandikwa na bhakresa au dangote au Elon au Jeff ningeamini.
 


Hakika pia kuhurusu muda au kuupa muda nafasi .

Ukisema unataka great things lazima uupe muda nafasi

Sometimes mediocre life inasababishwa na haraka haraka Mimi nimejufunza Ku-hustle kupata great things na kuupa muda nafasi .
 
Hongera kwa thread nzuri kaka mkubwa.
Mimi binafsi nna swali; kama mtu hujioni kwenye halo makurdi ma5 utakua wait???
- Big brain kama hajasoma ikamfanya aajiriwe atahualpa wait? Ama ndio kufeli kwa manifestation
 
Manifestation ni mchakato wa kutumia mawazo hisia na vitendo kufanya kitu unachokitaka.

Law of attraction, ni sheria ya mvutano .

Japo vinauhusiano ila tafsiri inakua kuwa tofauti ni sawa na useme shule na kusoma.
Sawa kabisa, pia nilifahamu hivyo ni vitu vilivyo sambamba. Hii ni elimu muhimu ambayo kila mtu anapaswa kuifahamu.
 
Hakika pia kuhurusu muda au kuupa muda nafasi .

Ukisema unataka great things lazima uupe muda nafasi

Sometimes mediocre life inasababishwa na haraka haraka Mimi nimejufunza Ku-hustle kupata great things na kuupa muda nafasi .
Jamaa yetu anapinga kufanya manifestation wakati hata yesu aliwafundisha kutumia kanuni za kimaumbile kumanifest vitu , ndio maana yule bwana aliwambia mna masikio ila hamsikii mna macho ila hawaoni.
 
Hongera kwa thread nzuri kaka mkubwa.
Mimi binafsi nna swali; kama mtu hujioni kwenye halo makurdi ma5 utakua wait???
- Big brain kama hajasoma ikamfanya aajiriwe atahualpa wait? Ama ndio kufeli kwa manifestation
Nakujibu apo kufeli kwa manifestation , huwa inategemea mawazo hisia na vitendo vya mhusika.
 
Jamaa yetu anapinga kufanya manifestation wakati hata yesu aliwafundisha kutumia kanuni za kimaumbile kumanifest vitu , ndio maana yule bwana aliwambia mna masikio ila hamsikii mna macho ila hawaoni.
Mkuu sijapinga, ila napinga kufanya kwa njia tofauti na ya Mungu, unapo zungumza kuhusu Yesu, hapo tayari umegusa eneo ambalo Mungu anahusika.
 
Sawa mkuu, Law nyingine ambayo ni muhimu ni Law of Polarity/Opposites.

Hii nayo unaielewa vipi?

Hiyo sijaipitia Sana mkuu

Mimi natumia hii

Law of karma /causes and effect
Law of attraction

Hizi mbili ndo huwa natumia Sana kupush maisha yangu .

Pia kuna law of Gratitude -hii nadhani nikipande kimemegwa kutoka Katika law of attraction na law of karma.
 
Sawa kabisa, pia nilifahamu hivyo ni vitu vilivyo sambamba. Hii ni elimu muhimu ambayo kila mtu anapaswa kuifahamu.
Kufahamu na kuto kufahamu hakufanyi kuwa kanuni hizi zitende kazi au zisitende ,kanuni zipo tu , ila ukizifahamu utakua aware na kila kinachotokea kwenye maisha , hakijasababishwa na mtu bali ni wewe mwenyewe.
 
Kufahamu na kuto kufahamu hakufanyi kuwa kanuni hizi zitende kazi au zisitende ,kanuni zipo tu , ila ukizifahamu utakua aware na kila kinachotokea kwenye maisha , hakijasababishwa na mtu bali ni wewe mwenyewe.
Nazifahamu kanuni zote, nazielewa zaidi ya unavyo dhania.
 
Nimekupata hii nadhani ndo ile huwa tunafanya gratitude mfano unapopatwa na matatizo ,mikosi , hasira, kuibiwa ,kuachwa unanfanya gratitude ili kuondoa hisia mbaya ili hisia nzuri zije.
Gratitude ni Law inayohusu shukurani, kushukuru na kupendezwa na yale uliyo nayo.

Hiyo Polarity ni kwamba kila kitu kina Opposite side, yani mazuri na mabaya. Mfano upendo na chuki, maumivu na furaha, kukosa na kupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…