Nguzo ya Taifa Stars inashikiliwa na safu ya ulinzi ya Yanga

Nguzo ya Taifa Stars inashikiliwa na safu ya ulinzi ya Yanga

Wawaondoe wachezaji wote wa simba ili Yanga waendelee kuwa na furaha zaidi jamani.

Ni wazo langu mimi shabiki wa Simba.

Ili ibaki tu wachezaji wengi wa Yanga.
 
Chilunda Duh wewe jamaa ni MAKU YA MAMA YAKO
Mama yangu ndiyo Mungu wangu hapa duniani. Kwa kuwa umenitukania bila sababu, nitaenda kukushtakia kwake
 
Kwahiyo? Unajua moroco imejaa wachezaji wa timu gani?
Sielewi kwa nini unakomalia jambo ambalo limepita na matokeo yamejulikana. Tafuta mada zingine za kubishana aisee
 
Back
Top Bottom