Hata ibada za club ni tatizo."Reading comprehension" ni tatizo kubwa nchi hii
Na sasa hivi ubao unasomeka 0-0 hongereni mabeki wa utopoloWe unadhani ungekuwa ukuta wa kina Zimbwe tungekuwa tunasemaje sasa hivi? Wakati mwingine tuwe wakweli tu
Mrembo mamboNa sasa hivi ubao unasomeka 0-0 hongereni mabeki wa utopolo
Poa mremboMrembo mambo
Mods njooni mtutolee huyu mpuuzi anayedhani wote humu ni machalii wa chuga.Chilunda Duh wewe jamaa ni MAKU YA MAMA YAKO
Huyo south ambae hata afcon tia maji umlinganishe na moroco mshindi namba 4 duniani?Rwanda kamfunga South Africa 2-0
Kwahiyo? Unajua moroco imejaa wachezaji wa timu gani?South imejaa wachezaji wa Mamelodi