Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Chief umemaliza vyote,hapo hujaweka featuring alizofanya cow-bama, huyu kipindi mabibo hostel inavuma alibadili ile nyimbo ya hotel ya cassid ikawa mabibo hostel kuna ile in da club ndio mnamfananisha na kenge gani wa kizazi hiki alivyosema akifa pengo halina spea alimaanisha..
 
Ngwea alikuwa na kipaji sana na ngoma zake kama Masikini wenzangu, Mapenzi gani ft Jide, AKA mimi na No beef ft TID aiseee basi tu jamaa alijua sana hata sasa kwa wasanii wa leo zipigwe ngoma za Ngwea na msanii yoyote wa kizazi hiki zipigiwe kura utapata jibu mkuu,# Pesa haipunguzi matatizo bali inaongeza so usikaribie meza kama huchangii unachomeza, daah. R.I.P Ngwea
 
Wife ya daz baba/mwalimu feat ngwear
 
Kwangu mm cjawahi kukaa nae wala kua rafiki yake. .but his music talk itself ni km Nature or prof. ..I don't know their life behind a scene ila kasikilize mziki wake. ."she got gwan" ni moja ya nyimbo zake kali...nyuma ya beat za Majani. .mnyonge mnyongeni lkn hakiyake mpeni
 
Mnapamba sana mavi maua wazee ngwair alikuwa na styles na swagger ila huo u GOAT hell no
Hizo styles na swaggs.. the guy Albert call him king of freestyle. He was the founder. Wakati tuna mu enjoy Albert we ulikua wap??? Mbona umekosa raha sana?!
 
Geto langu ......linawazingua maduuuu...... Ngwea nomaaaaa wala hapendelewi
 
"Kuna wengine kwa kifupi wameshapotea, umeambiawa usiyaguse maji km hauwezi kuogelea, wamebaki kutapatapa wameshiwa Cha kuongea, wamebaki kum diss ngwea,............."
Nakazia...!
 
"Kuna wengine kwa kifupi wameshapotea, umeambiawa usiyaguse maji km hauwezi kuogelea, wamebaki kutapatapa wameshiwa Cha kuongea, wamebaki kum diss ngwea,............."
Nakazia...!
Sasa ndiyo ujinga gani[emoji16]
 
Geto langu ......linawazingua maduuuu...... Ngwea nomaaaaa wala hapendelewi
Sasa huo ni ujumbe gani unaweza kaana baba yako ukasikiliza?
 
Hizo styles na swaggs.. the guy Albert call him king of freestyle. He was the founder. Wakati tuna mu enjoy Albert we ulikua wap??? Mbona umekosa raha sana?!
Hakuna enjoyment yeyote labda kama mlikuwq mnavuta nae
 
personally naona yupo overrated sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…