Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Enzi hizo Computer chache ila Beats zilikuwa hatari sana.


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sasa wasimjaze ujinga
 
Kuna wengine kwa kifupi wameshapotea, umeambiawa usiyaguse maji km hauwezi kuogelea, wamebaki kutapatapa wameshiwa Cha kuongea, wamebaki kum diss ngwea,............. NILIKUA NAPENDA SANA FLOWZ ZAKE
Before or after death baada ya CMG kumpa promo?
 
kha!! Ili tu upate comments nyingi 😁.. hivi si ni ww pia ulisema MICHAEL JACKSON hana jambo?
 
Hiyo kimya kimya umetupiga hapo

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Hapana jamaa kichwani yuko vizuri ila miziki anafosi
 
Naona umekuwa inspired na mjadala wa Twitter wa wale watafuta attention.

Anyways Mangwea ndio msanii namba moja wa rap wa muda wote hapa Tanzania. Kwa mujibu wangu mimi mbobezi wa muziki wa kibongo.
Talent yake haijawai kuwa na mfano.
Na fid q unamuweka wapi?
 
KIMYA KIMYA WAS THE MF HIT!!🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…