Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Huyo jamaa nilimkubali sana kuna kipindi salama alikuwa anapita kitaa akamkurupua free style, kilichofuata ni kicheko tu...

Final...nitafutie msanii aliyetoa single yenye kina kimoja kuanzia mwanzo hadi mwisho kama siyo mangwair ni nani tena R.I.P,,,,mengine ni utafutaji tu
 
Habari zenu wadau wa sanaa,

Mimi sipendi kuwa mnafiki, niko hapa, mwenye kutoa clarification aje. Je, msanii Ngwair alikuwa na kipi cha special kinachofanya asifiwe na kupewa promo kubwa na Clouds Media na wasanii baada ya kifo chake?

Maana imekuwa mkumbo sasa, kila mtu Ngwair hana mpinzani! Kwa lipi sasa? Mbona hata kukaza lyrics alikuwa hawezi, kidogo freestyle alijitahidi, ila mbona mnamsifia kuzidi uwezo?

Ttuacheni notion ya marehemu hasemwi vibaya, Magufuli daily anakaangwa tu!

Naombeni kuwasilisha.
 
NGWAIR HAKUA MSANII WA KAWAIDA LABDA KAMA WEWE SIO MPENZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.

Sijajua Una umri gani huenda umemjua Ngwair baada ya kifo chake au pengine umeanza kushabikia bongo fleva enzi hizi za kina Zuchu na sukari yake.

Lakini Kwa mdau wa muziki wa Bongo fleva Ngwair ni miongoni ya wasanii Bora waliotamba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania enzi za uhai wake na alikua anakinukisha kinoma.

Kusema kwamba alivuma baada ya kifo chake huu ni uongo wa Hali ya juu kwani jamaa alitamba Sana na Ngoma zake zilikua zinashika namba moja kwenye top ten ya vituo mbalimbali vya redio na T.v sasa sijui pote huko walikua wanampendelea Kwa kua walijua atakufa [emoji16][emoji1787]

Umeuliza eti Ngwair alikua na uspesho gani Hadi apewe Sana promo hata baada ya kufa..! ok kabla sijaandika uspesho alikua nao, hebu jiulize we wameshakufa wasanii wangapi hapa Bongo, na kwanini Ngwair ndio awe spesho? nazani kuna majibu yameshajijenga kichwani mwako.

Hizi na baadhi ya sifa "Spesho" alizokua nazo Ngwair.

1. KUIMBA NA KURAP
- Ngwair alikua na kipaji cha kipekee Sana kwani alikua na uwezo wa kuimba na kurap Kwa ubora wa hali ya juu Sana. mfano kwenye Ngoma ya She got a gwan na Nipo ndani ya club, Humo jamaa aliimba vibaya mna usingeamini ni msanii anaeweza kufanya rap.

2. TAJIRI WA MISEMO
Ngoma za Ngwair zilikua zinaacha MISEMO mingi Sana tu kitaani mfano kwenye Ngoma yake ya mikasi aliyoimba na mchizi mox ndio iliyopelekea neno "mikasi" kuanza kutumika kitaa kumaanisha sex. na Misemo mingine ni kama "cha Arusha" "kulipuka" na mingine

3. MKALI WA HIT SONGS
Kwa wasio mjua Ngwair ingia Google or boomplay sikiliza hizi Ngoma.
CNN ft Fid q

Mapenzi gani ft lady jaydee

Aminia feat Inspecta Haruni, FA

Birthday N'GE ft Mwasiti, TID & Mez B

Speed 120 ft Chid Beenz

TZ Hustler ft J-Son

She performs ft TID

Mafia ft. JAY MO

Bado nimo

Zawadi

Salamu

Mademu wangu

Mida mibovu

Kimya Kimya

Nipe deal

Singida Dodoma ft Dully Sykes

Napokea simu

Weekend

Sikiliza

Wife

Tupo juu ft Squeezer & Steve RNB

Ghetto langu

Clubbin'

She got a Gwan

4. INSPIRATIONAL RAPPER
Mistari mingi ya Ngwair imerudiwa kuimbwa na wasanii wengine..
mfano Young Lunya kuna mstari aliimba kwenye serikali kuu ya mizuka "niguse nikuchane chane na kiwembe" huu ni mstari wa Ngwair kwenye Ngoma ya Demu Wangu ft Mchizi mox.. lakini pia kwenye Ngoma ya "simu zinaita" Young Lunya kaikopi vilevile kama Ngwair alivoimba kwenye Ngoma ya "napokea simu"
pia msanii p the MC karudia baadhi ya Ngoma za Ngwair kuonesha kua jamaa alikua mwamba baadhi ya hizo Ngoma ni "weekend", "mademu zangu" na "ghetto langu".

5. ALIKUA MBUNIFU SANA
Wakati ugonjwa wa ukimwi umeshika Kasi wasanii wengi walijaribu kutunga nyimbo mbalimbali ili kuionya jamii. Wengi wao walikua wanaenda straight kuuelezea ukimwi but Ngwair alikua tofauti Sana yeye alifanya Kwa staili nyingine.
mfano kwenye Ngoma ya bado nimo, alijivika balaa la Ngoma na kuelezea watu kua bado ukimwi upo na unawatafuna kimyakimya.. pia kwenye Ngoma ya zawadi alielezea ukimwi Kwa mtindo wa Stori, hapa alielezea jinsi alivompa dada mmoja (wanaodanga) zawadi nyingi kama gari,cheni na nyumba ya kifahari lakini kumbe kuna zawadi nyingine spesho alimpa kimyakimya ambayo ni HIV... na hata ni wengi tu wanapewa hiyo Zawadi.

6. MUZIKI WAKE ULIKUA VIWANGO VYA JUU
Ngwair pia aliwahi kushinda tuzo ya Kilimanjaro Music Awards kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005.
kipindi hicho tuzo zikiwa za Moto mno na zenye heshima kubwa.

nimechoka kutype Ila jua Tu Ngwair hakua MSANII wakaida kama unavozani ndo maana hata Legend wa Hip-hop Tanzania Farid Kubanda maarufu kama Fid Q kwenye Ngoma ya "Sumu" alionesha no jinsi gani alikua anamkubali Sana Ngwair kuna mstari anasema
"Aliyeniumba alinipa mdomo hivo n′na haki kuongea
Hii bahati meotea, safi kamwe siachi kui-share
Hamtaki niwe fair, trust me man huwa happy nki-care
Naona watachosema mshkaji uko smart upstairs
Usiache kuongea, usiache we ni incharge huna spare
KIPAJI ka' NGWAIR, mapaji ka′ bahati aliowagea
Flag pepea, hitaji zaidi ya maji na mmea
Ilikuwaje wa muache hadi mshkaji ulaji wa drugs ukamzoea"

Hapo anamaanisha tukimzungumzia Ngwair tunazumgumzia kitu kimoja tu KIPAJI...
Hicho Ndo kinafanya atajwe tajwe Sana Hadi we uhisi anapewa promo.
U need to see this.. imebeba majibu ya wote mdogo angu FK21 yaaan Ngwair hajui!! Dah umeniskitisha
 
Ningeshangaa kama ungetulia tu na kuaacha Ngwair adhalilishwe [emoji23][emoji23][emoji38]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
NGWAIR HAKUA MSANII WA KAWAIDA LABDA KAMA WEWE SIO MPENZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.

Sijajua Una umri gani huenda umemjua Ngwair baada ya kifo chake au pengine umeanza kushabikia bongo fleva enzi hizi za kina Zuchu na sukari yake.

Lakini Kwa mdau wa muziki wa Bongo fleva Ngwair ni miongoni ya wasanii Bora waliotamba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania enzi za uhai wake na alikua anakinukisha kinoma.

Kusema kwamba alivuma baada ya kifo chake huu ni uongo wa Hali ya juu kwani jamaa alitamba Sana na Ngoma zake zilikua zinashika namba moja kwenye top ten ya vituo mbalimbali vya redio na T.v sasa sijui pote huko walikua wanampendelea Kwa kua walijua atakufa [emoji16][emoji1787]

Umeuliza eti Ngwair alikua na uspesho gani Hadi apewe Sana promo hata baada ya kufa..! ok kabla sijaandika uspesho alikua nao, hebu jiulize we wameshakufa wasanii wangapi hapa Bongo, na kwanini Ngwair ndio awe spesho? nazani kuna majibu yameshajijenga kichwani mwako.

Hizi na baadhi ya sifa "Spesho" alizokua nazo Ngwair.

1. KUIMBA NA KURAP
- Ngwair alikua na kipaji cha kipekee Sana kwani alikua na uwezo wa kuimba na kurap Kwa ubora wa hali ya juu Sana. mfano kwenye Ngoma ya She got a gwan na Nipo ndani ya club, Humo jamaa aliimba vibaya mna usingeamini ni msanii anaeweza kufanya rap.

2. TAJIRI WA MISEMO
Ngoma za Ngwair zilikua zinaacha MISEMO mingi Sana tu kitaani mfano kwenye Ngoma yake ya mikasi aliyoimba na mchizi mox ndio iliyopelekea neno "mikasi" kuanza kutumika kitaa kumaanisha sex. na Misemo mingine ni kama "cha Arusha" "kulipuka" na mingine

3. MKALI WA HIT SONGS
Kwa wasio mjua Ngwair ingia Google or boomplay sikiliza hizi Ngoma.
CNN ft Fid q

Mapenzi gani ft lady jaydee

Aminia feat Inspecta Haruni, FA

Birthday N'GE ft Mwasiti, TID & Mez B

Speed 120 ft Chid Beenz

TZ Hustler ft J-Son

She performs ft TID

Mafia ft. JAY MO

Bado nimo

Zawadi

Salamu

Mademu wangu

Mida mibovu

Kimya Kimya

Nipe deal

Singida Dodoma ft Dully Sykes

Napokea simu

Weekend

Sikiliza

Wife

Tupo juu ft Squeezer & Steve RNB

Ghetto langu

Clubbin'

She got a Gwan

4. INSPIRATIONAL RAPPER
Mistari mingi ya Ngwair imerudiwa kuimbwa na wasanii wengine..
mfano Young Lunya kuna mstari aliimba kwenye serikali kuu ya mizuka "niguse nikuchane chane na kiwembe" huu ni mstari wa Ngwair kwenye Ngoma ya Demu Wangu ft Mchizi mox.. lakini pia kwenye Ngoma ya "simu zinaita" Young Lunya kaikopi vilevile kama Ngwair alivoimba kwenye Ngoma ya "napokea simu"
pia msanii p the MC karudia baadhi ya Ngoma za Ngwair kuonesha kua jamaa alikua mwamba baadhi ya hizo Ngoma ni "weekend", "mademu zangu" na "ghetto langu".

5. ALIKUA MBUNIFU SANA
Wakati ugonjwa wa ukimwi umeshika Kasi wasanii wengi walijaribu kutunga nyimbo mbalimbali ili kuionya jamii. Wengi wao walikua wanaenda straight kuuelezea ukimwi but Ngwair alikua tofauti Sana yeye alifanya Kwa staili nyingine.
mfano kwenye Ngoma ya bado nimo, alijivika balaa la Ngoma na kuelezea watu kua bado ukimwi upo na unawatafuna kimyakimya.. pia kwenye Ngoma ya zawadi alielezea ukimwi Kwa mtindo wa Stori, hapa alielezea jinsi alivompa dada mmoja (wanaodanga) zawadi nyingi kama gari,cheni na nyumba ya kifahari lakini kumbe kuna zawadi nyingine spesho alimpa kimyakimya ambayo ni HIV... na hata ni wengi tu wanapewa hiyo Zawadi.

6. MUZIKI WAKE ULIKUA VIWANGO VYA JUU
Ngwair pia aliwahi kushinda tuzo ya Kilimanjaro Music Awards kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005.
kipindi hicho tuzo zikiwa za Moto mno na zenye heshima kubwa.

nimechoka kutype Ila jua Tu Ngwair hakua MSANII wakaida kama unavozani ndo maana hata Legend wa Hip-hop Tanzania Farid Kubanda maarufu kama Fid Q kwenye Ngoma ya "Sumu" alionesha ni jinsi gani alikua anamkubali Sana Ngwair kuna mistari anasema

"Aliyeniumba alinipa mdomo hivo n′na haki kuongea
Hii bahati meotea, safi kamwe siachi kui-share
Hamtaki niwe fair, trust me man huwa happy nki-care
Naona watachosema mshkaji uko smart upstairs
Usiache kuongea, usiache we ni incharge huna spare
KIPAJI ka' NGWAIR, mapaji ka′ bahati aliowagea
Flag pepea, hitaji zaidi ya maji na mmea
Ilikuwaje wa muache hadi mshkaji ulaji wa drugs ukamzoea"

Hapo anamaanisha tukimzungumzia Ngwair tunazumgumzia kitu kimoja tu KIPAJI...
Hicho Ndo kinafanya atajwe tajwe Sana Hadi we uhisi anapewa promo.
Basi mzee pumzika
 
Vipi Dj hupigi hii nyimbo na unasikilizia ghetto, halafu demu wako chumbani anaitumia kupigia nyeto, Hebu kwanza kata hiyo instrumento...UKISHINDANA NA SISI WE UTAKUWA MENTO.Tafuta nyimbo inaitwa Tupo juu yupo na Steve&Rnb ndo utamjuwa Ngwair ni nani.Watoto wadogoooooooooooooo.
 
Huyo jamaa nilimkubali sana kuna kipindi salama alikuwa anapita kitaa akamkurupua free style, kilichofuata ni kicheko tu...

Final...nitafutie msanii aliyetoa single yenye kina kimoja kuanzia mwanzo hadi mwisho kama siyo mangwair ni nani tena R.I.P,,,,mengine ni utafutaji tu
Na hiyo Ngoma inaitwa mikasi imetoka zaidi ya miaka 15 iliyopita lakini ikipigwa club kunanuka...
Mwenyewe niliwaza jamaa anawezaje kutunga Ngoma yenye vina Sawa mwanzo Hadi mwisho na Ngoma ikabamba
 
Umeongizwa na chuki, ubinafsi na kutokujua mziki...kifupi unaumizwa na ukubwa na umaarufu wa marehemu!
Nitajie mwanamuziki aliyefanya muziki kipindi kile cha Ngwair (muziki aina ya aliofanya Ngwair) ambaye unaweza kumuweka daraja moja (kiuwezo) na Ngwair.
ok
 
Nipe deal na akapewa na  likaondoka naye.
Deal la kulala masikini na kuamka tajiri, wenzake wakampa
Bora yeye alijaribu kutafuta kwa ajili ya kesho (japo ilikuwa illegally).

Wangapi leo mnachomana visu mkigombea wanawake wabovu wengine mnajinyonga?kifo kipo popote unaogopa kubeba unga unagongwa na bodaboda unakufa ngoma droo.
 
Kuna mdude wa aka Mimi,Speed 120 ,CNN halafu kuna moja kati ya verse yangu bora sana kwenye wimbo wa Msela ya KR Mulla ft Ngwair,Nature,ile verse ndio alinyonga kabisa halafu kwa Mujibu wa KR wakati akihojiwa na Jabir wa EFM ile verse ali freestyle.
Naaipata hii verse inaenda hivi
××××××××××××××××××××××××××


Hey !! darkmaster hey mzee chater nimekipasa nataka kuhubiri kama pastor
Ndani ya getto nimengi yametukuta
Lakn wazee bado hatuchoki kutafuta

Kama nipo juu ni juu ningoje chini
Au nifate juu uvunje guu .
Masuperstar tunang'aa kwa pamba tuzovaa ila kuja home mlango wagunia
Ndani hakuna mwiko sufiria wala kikombe cha udongo usione nipinda mgongo ukadhani ni kibyongo pengine tu ni ufupi wa mlango

We nenda kwanye bia chalii nikapate
Gongo ndyo life ya kibongo


Niweza kuwa nimeikosea kwenye kuiandika lakin ni verse ambayo haijawahi kunitoka kivile ndani ya kichwa changu kuna wakati nikikuta na walugaluga ambao hawaujui mziki huwa naifreestyle hii verse nikijifanya ni yangu basi huwa wananikubarii kweli jweli
 
Na hiyo Ngoma inaitwa mikasi imetoka zaidi ya miaka 15 iliyopita lakini ikipigwa club kunanuka...
Mwenyewe niliwaza jamaa anawezaje kutunga Ngoma yenye vina Sawa mwanzo Hadi mwisho na Ngoma ikabamba

Club y wap jamaa utakua unaishi porini sana wewe tena itakua una bang sana vilabuni
 
Na hiyo Ngoma inaitwa mikasi imetoka zaidi ya miaka 15 iliyopita lakini ikipigwa club kunanuka...
Mwenyewe niliwaza jamaa anawezaje kutunga Ngoma yenye vina Sawa mwanzo Hadi mwisho na Ngoma ikabamba
Respect...

Bado kuna mtu anabwabwaja kwamba jamaa hajui kitu 🤔🤔🤔
 
Respect...

Bado kuna mtu anabwabwaja kwamba jamaa hajui kitu [emoji848][emoji848][emoji848]

Na wewe kweli unajua mziki?kwani nyimbo ya mikasi ina vina mwanzo mwisho au Uelewa wako wa mziki ni mdgo sana
 
NGWAIR HAKUA MSANII WA KAWAIDA LABDA KAMA WEWE SIO MPENZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.

Sijajua Una umri gani huenda umemjua Ngwair baada ya kifo chake au pengine umeanza kushabikia bongo fleva enzi hizi za kina Zuchu na sukari yake.

Lakini Kwa mdau wa muziki wa Bongo fleva Ngwair ni miongoni ya wasanii Bora waliotamba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania enzi za uhai wake na alikua anakinukisha kinoma.

Kusema kwamba alivuma baada ya kifo chake huu ni uongo wa Hali ya juu kwani jamaa alitamba Sana na Ngoma zake zilikua zinashika namba moja kwenye top ten ya vituo mbalimbali vya redio na T.v sasa sijui pote huko walikua wanampendelea Kwa kua walijua atakufa [emoji16][emoji1787]

Umeuliza eti Ngwair alikua na uspesho gani Hadi apewe Sana promo hata baada ya kufa..! ok kabla sijaandika uspesho alikua nao, hebu jiulize we wameshakufa wasanii wangapi hapa Bongo, na kwanini Ngwair ndio awe spesho? nazani kuna majibu yameshajijenga kichwani mwako.

Hizi na baadhi ya sifa "Spesho" alizokua nazo Ngwair.

1. KUIMBA NA KURAP
- Ngwair alikua na kipaji cha kipekee Sana kwani alikua na uwezo wa kuimba na kurap Kwa ubora wa hali ya juu Sana. mfano kwenye Ngoma ya She got a gwan na Nipo ndani ya club, Humo jamaa aliimba vibaya mna usingeamini ni msanii anaeweza kufanya rap.

2. TAJIRI WA MISEMO
Ngoma za Ngwair zilikua zinaacha MISEMO mingi Sana tu kitaani mfano kwenye Ngoma yake ya mikasi aliyoimba na mchizi mox ndio iliyopelekea neno "mikasi" kuanza kutumika kitaa kumaanisha sex. na Misemo mingine ni kama "cha Arusha" "kulipuka" na mingine

3. MKALI WA HIT SONGS
Kwa wasio mjua Ngwair ingia Google or boomplay sikiliza hizi Ngoma.
CNN ft Fid q

Mapenzi gani ft lady jaydee

Aminia feat Inspecta Haruni, FA

Birthday N'GE ft Mwasiti, TID & Mez B

Speed 120 ft Chid Beenz

TZ Hustler ft J-Son

She performs ft TID

Mafia ft. JAY MO

Bado nimo

Zawadi

Salamu

Mademu wangu

Mida mibovu

Kimya Kimya

Nipe deal

Singida Dodoma ft Dully Sykes

Napokea simu

Weekend

Sikiliza

Wife

Tupo juu ft Squeezer & Steve RNB

Ghetto langu

Clubbin'

She got a Gwan

4. INSPIRATIONAL RAPPER
Mistari mingi ya Ngwair imerudiwa kuimbwa na wasanii wengine..
mfano Young Lunya kuna mstari aliimba kwenye serikali kuu ya mizuka "niguse nikuchane chane na kiwembe" huu ni mstari wa Ngwair kwenye Ngoma ya Demu Wangu ft Mchizi mox.. lakini pia kwenye Ngoma ya "simu zinaita" Young Lunya kaikopi vilevile kama Ngwair alivoimba kwenye Ngoma ya "napokea simu"
pia msanii p the MC karudia baadhi ya Ngoma za Ngwair kuonesha kua jamaa alikua mwamba baadhi ya hizo Ngoma ni "weekend", "mademu zangu" na "ghetto langu".

5. ALIKUA MBUNIFU SANA
Wakati ugonjwa wa ukimwi umeshika Kasi wasanii wengi walijaribu kutunga nyimbo mbalimbali ili kuionya jamii. Wengi wao walikua wanaenda straight kuuelezea ukimwi but Ngwair alikua tofauti Sana yeye alifanya Kwa staili nyingine.
mfano kwenye Ngoma ya bado nimo, alijivika balaa la Ngoma na kuelezea watu kua bado ukimwi upo na unawatafuna kimyakimya.. pia kwenye Ngoma ya zawadi alielezea ukimwi Kwa mtindo wa Stori, hapa alielezea jinsi alivompa dada mmoja (wanaodanga) zawadi nyingi kama gari,cheni na nyumba ya kifahari lakini kumbe kuna zawadi nyingine spesho alimpa kimyakimya ambayo ni HIV... na hata sasa ni wengi tu wanapewa hiyo Zawadi.

6. MUZIKI WAKE ULIKUA VIWANGO VYA JUU
Ngwair pia aliwahi kushinda tuzo ya Kilimanjaro Music Awards kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005.
kipindi hicho tuzo zikiwa za Moto mno na zenye heshima kubwa.

nimechoka kutype Ila jua Tu Ngwair hakua MSANII wakaida kama unavozani ndo maana hata Legend wa Hip-hop Tanzania Farid Kubanda maarufu kama Fid Q kwenye Ngoma ya "Sumu" alionesha ni jinsi gani alikua anamkubali Sana Ngwair kuna mistari anajisifu kua na kipaji kama cha Ngwair, anasema hivi..

"Aliyeniumba alinipa mdomo hivo n′na haki kuongea
Hii bahati meotea, safi kamwe siachi kui-share
Hamtaki niwe fair, trust me man huwa happy nki-care
Naona watachosema mshkaji uko smart upstairs
Usiache kuongea, usiache we ni incharge huna spare
KIPAJI ka' NGWAIR, mapaji ka′ bahati aliowagea
Flag pepea, hitaji zaidi ya maji na mmea
Ilikuwaje wa muache hadi mshkaji ulaji wa drugs ukamzoea"

Hapo anamaanisha tukimzungumzia Ngwair tunazumgumzia kitu kimoja tu KIPAJI...
Hicho Ndo kinafanya atajwe tajwe Sana Hadi we uhisi anapewa promo.
Jamaa hana hoja ila kaamua kubisha tuu.
 
Back
Top Bottom