Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Huna akili nmesoma Benjamin mkapa chimbo napiga kariakoo na karume utaniambia umjini upi nisio ujua?
Watoto wa Benjamini mkapa hatunaga lugha mbaya kama zako mzee. Mtu akienda opposite na mawazo yako no need ya kutoa shombo mdogo angu
 
Watoto wa Benjamini mkapa hatunaga lugha mbaya kama zako mzee. Mtu akienda opposite na mawazo yako no need ya kutoa shombo mdogo angu
Ni mimi sasa nipo ww labda ulikuwa wale mashoga mabonge la olevel
 
Ipo siku mtu ataleta mada kwamba Marijan Rajab hakua na maajabu, kumbe yeye mleta uzi ndio hakuwepo enzi za Marijani..😜
 
Sasa nakumbuka 2007 Albert Mangwair alikujaga Benjamin mkapa aliletwa na 5 selekt aka perform Nipeni deal masela kipindi hiko ni hit kwelikweli. Alisepa na kijiji mbaya.. FK21
 
Habari zenu wadau wa sanaa,

Mimi sipendi kuwa mnafiki, niko hapa, mwenye kutoa clarification aje. Je, msanii Ngwair alikuwa na kipi cha special kinachofanya asifiwe na kupewa promo kubwa na Clouds Media na wasanii baada ya kifo chake?

Maana imekuwa mkumbo sasa, kila mtu Ngwair hana mpinzani! Kwa lipi sasa? Mbona hata kukaza lyrics alikuwa hawezi, kidogo freestyle alijitahidi, ila mbona mnamsifia kuzidi uwezo?

Ttuacheni notion ya marehemu hasemwi vibaya, Magufuli daily anakaangwa tu!

Naombeni kuwasilisha.
NGWAIR HAKUA MSANII WA KAWAIDA LABDA KAMA WEWE SIO MPENZI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.

Sijajua Una umri gani huenda umemjua Ngwair baada ya kifo chake au pengine umeanza kushabikia bongo fleva enzi hizi za kina Zuchu na sukari yake.

Lakini Kwa mdau wa muziki wa Bongo fleva Ngwair ni miongoni ya wasanii Bora waliotamba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania enzi za uhai wake na alikua anakinukisha kinoma.

Kusema kwamba alivuma baada ya kifo chake huu ni uongo wa Hali ya juu kwani jamaa alitamba Sana na Ngoma zake zilikua zinashika namba moja kwenye top ten ya vituo mbalimbali vya redio na T.v sasa sijui pote huko walikua wanampendelea Kwa kua walijua atakufa [emoji16][emoji1787]

Umeuliza eti Ngwair alikua na uspesho gani Hadi apewe Sana promo hata baada ya kufa..! ok kabla sijaandika uspesho alikua nao, hebu jiulize we wameshakufa wasanii wangapi hapa Bongo, na kwanini Ngwair ndio awe spesho? nazani kuna majibu yameshajijenga kichwani mwako.

Hizi na baadhi ya sifa "Spesho" alizokua nazo Ngwair.

1. KUIMBA NA KURAP
- Ngwair alikua na kipaji cha kipekee Sana kwani alikua na uwezo wa kuimba na kurap Kwa ubora wa hali ya juu Sana. mfano kwenye Ngoma ya She got a gwan na Nipo ndani ya club, Humo jamaa aliimba vibaya mna usingeamini ni msanii anaeweza kufanya rap.

2. TAJIRI WA MISEMO
Ngoma za Ngwair zilikua zinaacha MISEMO mingi Sana tu kitaani mfano kwenye Ngoma yake ya mikasi aliyoimba na mchizi mox ndio iliyopelekea neno "mikasi" kuanza kutumika kitaa kumaanisha sex. na Misemo mingine ni kama "cha Arusha" "kulipuka" na mingine

3. MKALI WA HIT SONGS
Kwa wasio mjua Ngwair ingia Google or boomplay sikiliza hizi Ngoma.
CNN ft Fid q

Mapenzi gani ft lady jaydee

Aminia feat Inspecta Haruni, FA

Birthday N'GE ft Mwasiti, TID & Mez B

Speed 120 ft Chid Beenz

TZ Hustler ft J-Son

She performs ft TID

Mafia ft. JAY MO

Bado nimo

Zawadi

Salamu

Mademu wangu

Mida mibovu

Kimya Kimya

Nipe deal

Singida Dodoma ft Dully Sykes

Napokea simu

Weekend

Sikiliza

Wife

Tupo juu ft Squeezer & Steve RNB

Ghetto langu

Clubbin'

She got a Gwan

4. INSPIRATIONAL RAPPER
Mistari mingi ya Ngwair imerudiwa kuimbwa na wasanii wengine..
mfano Young Lunya kuna mstari aliimba kwenye serikali kuu ya mizuka "niguse nikuchane chane na kiwembe" huu ni mstari wa Ngwair kwenye Ngoma ya Demu Wangu ft Mchizi mox.. lakini pia kwenye Ngoma ya "simu zinaita" Young Lunya kaikopi vilevile kama Ngwair alivoimba kwenye Ngoma ya "napokea simu"
pia msanii p the MC karudia baadhi ya Ngoma za Ngwair kuonesha kua jamaa alikua mwamba baadhi ya hizo Ngoma ni "weekend", "mademu zangu" na "ghetto langu".

5. ALIKUA MBUNIFU SANA
Wakati ugonjwa wa ukimwi umeshika Kasi wasanii wengi walijaribu kutunga nyimbo mbalimbali ili kuionya jamii. Wengi wao walikua wanaenda straight kuuelezea ukimwi but Ngwair alikua tofauti Sana yeye alifanya Kwa staili nyingine.
mfano kwenye Ngoma ya bado nimo, alijivika balaa la Ngoma na kuelezea watu kua bado ukimwi upo na unawatafuna kimyakimya.. pia kwenye Ngoma ya zawadi alielezea ukimwi Kwa mtindo wa Stori, hapa alielezea jinsi alivompa dada mmoja (wanaodanga) zawadi nyingi kama gari,cheni na nyumba ya kifahari lakini kumbe kuna zawadi nyingine spesho alimpa kimyakimya ambayo ni HIV... na hata sasa ni wengi tu wanapewa hiyo Zawadi.

6. MUZIKI WAKE ULIKUA VIWANGO VYA JUU
Ngwair pia aliwahi kushinda tuzo ya Kilimanjaro Music Awards kama mwana Hip Hop Bora wa mwaka 2005.
kipindi hicho tuzo zikiwa za Moto mno na zenye heshima kubwa.

nimechoka kutype Ila jua Tu Ngwair hakua MSANII wakaida kama unavozani ndo maana hata Legend wa Hip-hop Tanzania Farid Kubanda maarufu kama Fid Q kwenye Ngoma ya "Sumu" alionesha ni jinsi gani alikua anamkubali Sana Ngwair kuna mistari anajisifu kua na kipaji kama cha Ngwair, anasema hivi..

"Aliyeniumba alinipa mdomo hivo n′na haki kuongea
Hii bahati meotea, safi kamwe siachi kui-share
Hamtaki niwe fair, trust me man huwa happy nki-care
Naona watachosema mshkaji uko smart upstairs
Usiache kuongea, usiache we ni incharge huna spare
KIPAJI ka' NGWAIR, mapaji ka′ bahati aliowagea
Flag pepea, hitaji zaidi ya maji na mmea
Ilikuwaje wa muache hadi mshkaji ulaji wa drugs ukamzoea"

Hapo anamaanisha tukimzungumzia Ngwair tunazumgumzia kitu kimoja tu KIPAJI...
Hicho Ndo kinafanya atajwe tajwe Sana Hadi we uhisi anapewa promo.
 
Goma jingine alilo freestyle ni lile kaimba na Jay Mo linaitwa KIMYA KIMYA, ile ngoma Majani aliitendea haki.


Kiswahili ni lugha ya ajabuajabu ila kwenye rap Ngwair alikifanya kama kiingereza tu, maneno anayatamaka smoothly bila nguvu.
Braza Ngwair alikua ana ladha. Jamaa anapata wap nguvu ya kudiss uwezo wa mchizi aiseeee
 
Habari zenu wadau wa sanaa,

Mimi sipendi kuwa mnafiki, niko hapa, mwenye kutoa clarification aje. Je, msanii Ngwair alikuwa na kipi cha special kinachofanya asifiwe na kupewa promo kubwa na Clouds Media na wasanii baada ya kifo chake?

Maana imekuwa mkumbo sasa, kila mtu Ngwair hana mpinzani! Kwa lipi sasa? Mbona hata kukaza lyrics alikuwa hawezi, kidogo freestyle alijitahidi, ila mbona mnamsifia kuzidi uwezo?

Ttuacheni notion ya marehemu hasemwi vibaya, Magufuli daily anakaangwa tu!

Naombeni kuwasilisha.
Alikuwa mbele ya muda, watu kama wewe hamuwezi kumuelewa maana bado mnaishi zama za ujima.
 
Wakati yupo hai alikuwa boya tu
No alikua mkali mana aliachia hits kali sana. Sema kifo kilimuongezea ukubwa kutokana pia na msiba wake ulivyo hudhuriwa na watu wengi
 
Wabongo huwa tuna kasumba ya kufuata mkumbo. Na swala hili la kufuata mkumbo ndio liliweza kuwaweka Clouds juu kwa kipindi kirefu maana huwa wanachagua kitu kimoja na kukipa hype kubwa kiasi cha kuonekana cha maana japo ni cha kijinga. Japo kwa sasa wanaanza kupoteza mvuto kiasi ya vingi wanavyotaka kuvikuza vinabuma.

Unaweza kuta kunatokea kifo mfano cha star wa Marekani utakuta kisela mavi cha Buza kinaweka RIP kwenye status, ila ukimuuliza chochote kuhusu huyo marehemu hakuna anachokijua, ila sababu ya kufuata mkumbo na yeye aonekane yumo basi anapost.

Same case na Ngwair na wengine wote kama yeye waliopata nafasi ya kuwa hyped na Clouds FM kuonekana ni extraordinary people wakati kiuhalisia ni teja tu aliekufa akiwa safarini kama punda. Umaarufu wake ni hatma ya kufuata mkumbo kwa wabongo, wengi wanaosema Ngwair alikuwa mkali ukiwauliza nyimbo yake moja tu wataishia kijing'ata ng'ata.
Umeongizwa na chuki, ubinafsi na kutokujua mziki...kifupi unaumizwa na ukubwa na umaarufu wa marehemu!
Nitajie mwanamuziki aliyefanya muziki kipindi kile cha Ngwair (muziki aina ya aliofanya Ngwair) ambaye unaweza kumuweka daraja moja (kiuwezo) na Ngwair.
 
Back
Top Bottom