Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Ngwair alikuwa na kipi cha pekee kwa watu kumsifia sana, au ni kufunika kifo chake cha aibu?

Haijalishi nyimbo ni remake au vipi, point ni kwamba kwa aina ya vocal yake ni rahisi kua versatile tofauti na chid,..Melodic Rap..by the way Kila mtu na mkali wake,Kuna mwamba anaitwa Noorah kavurugwa
Ngwair alikua melodic rapper, lazima upende vocal zake na sio yy yoyote anayefanya melodic rap utampenda lakini hii haimaanishi kuwa ana flow nzuri na amewazidi wengine
 
Ngwair alikua melodic rapper, lazima upende vocal zake na sio yy yoyote anayefanya melodic rap utampenda lakini hii haimaanishi kuwa ana flow nzuri na amewazidi wengine
Hili suala sio la kubishaniwa mkuu,mziki upo hivi Kila mtu Kuna mtu anamkubali na wote hatuwezi kumuelewa mtu Mmoja..ndio maana list ya best rapper ya rolling stones na billboard tofauti... Ngwair mkali,chid mkali pia,ukisema nichague namchagua Ngwair
 
Hili suala sio la kubishaniwa mkuu,mziki upo hivi Kila mtu Kuna mtu anamkubali na wote hatuwezi kumuelewa mtu Mmoja..ndio maana list ya best rapper ya rolling stones na billboard tofauti... Ngwair mkali,chid mkali pia,ukisema nichague namchagua Ngwair
Ok nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom