Ngwair kuzikwa RSA

Ngwair kuzikwa RSA

kweli umaskini umetofautiana..kijana anaona Mil 4 hela nyingi mnoo..

hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,
 
Yani ata maiti inaakili kukushinda...!!!
Unaanika utumbo apa...!!
Ata ingekuwa ni 60M lazima Gwear azikwe Hom
Minimum,,,,,,Maximum 150 lazima azikwe home,,


Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
 
hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,
Wewe kweli unaona inawezekana kwa msanii kama yeye kuamua kuzikwa huko kwa ajili ya kukosa 4M?
 
mwanangu kunawatu wanaanzisha post ili watu wachangie sijui ndokutafuta umaarufu wa JF!----- kabisa
unadhani we ndio unamsikiliza
peke ako hacha kupotosha watu your minds is like wafu media ngwea
analetwa.
 
nimemsikiliza millady mbona ni mangwea wanamzungumzia tu na wanadai mwili kuja ni vigumu kidogo kwa sababu huko south hakuna ndugu na kusafirisha maiti si chini ya milioni nne za kibongo
acha kupotosha jamii, uwezo wako mdogo rudi chekechea (fb)
ukajifunze.
 
hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,

Anhaaaaaaaaa!poa mkuu umeeleweka si unajua kuondokewa kunatia machungu.Hasa kwa ile kaul inauma.
 
hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,

Mkuu afadhali kidogo umeweka mambo sawa,halafu hii ID yako inanikumbusha kitu,makubwa meusi,duh.
 
mil 4 ni kubwa are u the one who is going to pay? tumia hata dakika mbili tu kufikiria kabla ya kupost kitu.We na redio yako ya ma'gay' msipotoshe umma.
 
Hah, uliposema m4 nilifikiri ni u$d, kumbe ni hizi pesa za madafu za TZ? Mbona hazitishi kivile?
 
Ingekuwa ajabu sana,

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
M4 ndogo sana kwanza hata ngwair mwenyewe anaweza kujilipia sema ndo kesha tangulia watazitumia warithi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi nataka kuchangia Ngwea aletwe home ni ndugu yako mgogo mwenzangu toka dodoma! ila pia ni heshima kwa msanii kama huyo kuzikwa kwa heshima na mashabiki na wasanii wenzake! Tunachangiaje kuketwa kwake?
 
watu tu wa kawaida wanasafirisha maiti kuja bongo kwa million 26,sembuse mtu maarufu kama ngwea,hio million 4 tu anatoa mtu mmoja mwil unaletwa,million 4 ni pesa kidogo sana
 
Kuna Bar mad amekufa mtaani kwangu ni mchaga na hana ndugu wengi hapa mujini, mpaka dakika hii tuna 2.5 M za kufanikisha mazishi ya kumsafirisha kwao Moshi.

Wema Sepetu kamlipia mhalifu faini ya shilling 13 M, ndio milllioni 4 iwe issue kumsafirisha Ngweair? huyo Mirlad Ayo ni mpumbavu tu na utoto bado unamsumbuwa.
 
Huyu nae.....kwahiyo wewe million 4 ndo umeona elaaaa sana mpaka Ngwair azikwe huko.
Acha kupotosha watu


Hata mimi nilitaka kushangaa mkuu_labda kama anamaanisha US dollar...mbona hata arusha mby misiba ni bei kama hizo.
 
Back
Top Bottom