Ngwair kuzikwa RSA

Ngwair kuzikwa RSA

Hata mimi nilitaka kushangaa mkuu_labda kama anamaanisha US dollar...mbona hata arusha mby misiba ni bei kama hizo.

Tumsamehe kumbe ni yule aliyetumwa huko SA ndo kaReport hivyo.
 
hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,

Uki-quote weka original shot ionekane au weka " na "
 
sasa nimeanza kujua nachart na watu wa aina gani humu jf mmmh sina budi kuumiza kichwa nitoke haraka humu
 
Back
Top Bottom