Ngwair kuzikwa RSA

Hata mimi nilitaka kushangaa mkuu_labda kama anamaanisha US dollar...mbona hata arusha mby misiba ni bei kama hizo.

Tumsamehe kumbe ni yule aliyetumwa huko SA ndo kaReport hivyo.
 
hujanielewa.,‎؛nime mquote Milad Ayo kwenye amplifire mzee,si mimi,what is 4mil?,ni pesa ndogo sana man iyo,mi mwenyewe ni fan wake mkubwa sana na nina uchungu.,

Uki-quote weka original shot ionekane au weka " na "
 
sasa nimeanza kujua nachart na watu wa aina gani humu jf mmmh sina budi kuumiza kichwa nitoke haraka humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…