PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Upo sahihi kabisa. Ule ujumbe haukuwa idea yake, bali alikabidhiwa yeye kimkakati ausome ili kufanikisha yafuatayo;
Kuua joto lililokuwa lipo chini kwa chini la kutaka Samia asigombee, hivyo platform ile kutumika kupitisha wawili wale kuwa wagombea ingawa wajumbe wale hakuna aliyejua kuwa swla la kuteua mgombea lilikuwa miongoni mwa maazimio ya kikao.
Pia, N'gwasi alipewa yeye hoja ile aiwasilisilishe sababu ya kuipa nguvu ya vijana kwamba ndiyo waliopendekeza iwe vile.
kingine, mbali ya kuwa ni Kijana, pia N'gwasi ni kanda ya Ziwa, hivyo kwa kumtumia yeye kuwasilisha hoja ile, lile kundi la Mwendazake ndiyo limezikwa rasmi kwenye siasa za CCM, kwani sasa hivi wameshamuumba N'gwasi kuwa kielelezo wa siasa za kanda ya Ziwa, akina Makonda, Biteko akina Angela Mabula na wenzao ndiyo rasmi sasa watafute namna. Huku wameshamtengeneza N'gwasi, huku wameikamata damu nyingine changa , Mzee Wasira...ni kifo rasmi cha mtandao na siasa za 'Sukuma Gang'.
Mikakati yote hiyo, CCM ilikuwa ilikuwa ikipigana vita dhidi yake yenyewe, vita ya ndani, ni aina fulani ya mbinu waliyompa Mbowe aitumie ndani ya CHADEMA lakini CHADEMA wakastuka, wakaamua kuitumia silaha yao wenyewe.
Kuua joto lililokuwa lipo chini kwa chini la kutaka Samia asigombee, hivyo platform ile kutumika kupitisha wawili wale kuwa wagombea ingawa wajumbe wale hakuna aliyejua kuwa swla la kuteua mgombea lilikuwa miongoni mwa maazimio ya kikao.
Pia, N'gwasi alipewa yeye hoja ile aiwasilisilishe sababu ya kuipa nguvu ya vijana kwamba ndiyo waliopendekeza iwe vile.
kingine, mbali ya kuwa ni Kijana, pia N'gwasi ni kanda ya Ziwa, hivyo kwa kumtumia yeye kuwasilisha hoja ile, lile kundi la Mwendazake ndiyo limezikwa rasmi kwenye siasa za CCM, kwani sasa hivi wameshamuumba N'gwasi kuwa kielelezo wa siasa za kanda ya Ziwa, akina Makonda, Biteko akina Angela Mabula na wenzao ndiyo rasmi sasa watafute namna. Huku wameshamtengeneza N'gwasi, huku wameikamata damu nyingine changa , Mzee Wasira...ni kifo rasmi cha mtandao na siasa za 'Sukuma Gang'.
Mikakati yote hiyo, CCM ilikuwa ilikuwa ikipigana vita dhidi yake yenyewe, vita ya ndani, ni aina fulani ya mbinu waliyompa Mbowe aitumie ndani ya CHADEMA lakini CHADEMA wakastuka, wakaamua kuitumia silaha yao wenyewe.
The interpretation provided by the lady, aimed at justifying the exclusion of the other two contestants, clearly undermines the principles of democracy. While it serves her opinion, it diminishes the true intent of fairness and inclusivity embedded in the law. This approach highlights a selective application of rules to validate actions rather than uphold justice.
In this case, Political Science, by default, may appear to have triumphed. However, in the near future, what will truly matter are minds capable of addressing life’s challenges with integrity and aligning actions with the law’s true purpose. The role of interpretation is not to sway its meaning for convenience but to uphold its core values—ensuring fairness, equality, and order. NI MTAZAMO 🎤