NHC gets $2Billion loan for its new Kawe Satellite City



Mkuu kuna ule msemo usemao
Kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake

Eneo kama Kawe wajenge nyumba kwa ajili ya kila mtu?
 
Hili ni deni la shirika la kibiashara, sio Serikali. Kuna tofauti kati ya kucheza kamali na shirika moja na kucheza kamali na nchi nzima. Nyinyi mlishauza nchi yenu kwa Mchina subirini siku wakija kubadili makufuli.

NHC ni shirika la serikali ya Tanzania chini ya wizara ya ardhi, kwani hilo deni atalipa Mkenya? Mnajenga nyumba nyingi hivi kwa mkopo mkubwa kiasi hicho halafu ukumbuke Watanzania wengi sio middle-class wenye uwezo wa nyumba kama hizi, wengi wanaishi Manzense n.k.

Wekeza mikopo kwenye miundo mbinu kama reli....
 
Hayo ma block yata fail
Rais azuie mkopo huo utakuja kulimaliza shirika.
Nyumba haziuziku ...ni concetration camp block 6 gorofa 20 kila moja ...huwezi ku invest hapo hela yako hairudi...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu inasema unajuwa mambo ya Tanzania, Tanzania middle class inakuwa twice the rate of GDP. NHC ni shirika linalo jiendesha kibiashara, ndio maana wanaweza kukopa ili waweze kujiendeleza. Huwezi kuona NHC inajenga nyumba halafu serikali inatoa rizuku ili nyumba hizo ziwe bei ya chini kama ilivyo SGR yenu serikali inatowa ruzuku ili kuonyesha mradi unalipa. Kiukweli SGR ya Kenya imejengwa kunufaisha familia fulani iweze kufanya biashara zake, kituko ni kwamba mzigo wa kulipa huo mkopo umebebwa na Wakenya wote.
 
Soma kwanza thread usikulupuke kuandika. Mseche yuyo bright sana kama mtoto wake alivyo ongoza TZ nzima kimasomo. NHC miradi yao inaendea vizuri Dar es salaam. Apartments kwenye majengo zina nunuliwa hats kabla project kaisha.They know what they are doing. Nahiyo taasisi iko chini ya Lukuvi. Hakija haribika kitu.
 
Zipo nyumba za milioni 30 Sema wewe ndohuna pesa. Unataka nyumba ya million 10 kwa material gani?? Labda ya tope na nyasi.
 
Wewe huna pesa. Masaki kuna apartments zinakodishwa kwa mwezi $4,000/= na zimejaa navyo ongea. Mtu ashindwe kununua apartment ya100 million??.NHC Victoria haijaisha lakini 80% yake imesha nunuliwa. Morocco haijaisha lakini 40% imesha chukuliwa. No research no right to speak. Wewe huna pesa yakununua kaa kimia sisi tutanunua. Size yako zipo kigamboni na mbweni. Sisi wa mjini hutuwezi na Kawe satellite na tunalipa bila usumbufu.Kumbuka hats vidole havilingani, tatizo mnataka tuwe level moja.
Hayo ma block yata fail
Rais azuie mkopo huo utakuja kulimaliza shirika.
Nyumba haziuziku ...ni concetration camp block 6 gorofa 20 kila moja ...huwezi ku invest hapo hela yako hairudi...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba za watu yahali ya chini zipo Kigamboni, Mbweni na Boko. Kawe sio Kibera ni prime na very hot area. Wizara ya Aridhi na mipango miji imeamua kuweka satellite city hata kama isingekuwa NHC wengine wangejenga hivo kutokana na plan ya mipango mimi.
 
Right post in the wrong place. Good news fir Tanzania. However, kindly post it in your fòrum or is it not popular as the Kenyan forum?
 
Hayo ma block yata fail
Rais azuie mkopo huo utakuja kulimaliza shirika.
Nyumba haziuziku ...ni concetration camp block 6 gorofa 20 kila moja ...huwezi ku invest hapo hela yako hairudi...


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujui biashara wewe. Kuwa mpole. Wacha wanaojiamini wafanye biashara. Umezaliwa umeikuta NHC, wenzako wamepiga hesabu za mbali, (ambazo nadhani wewe zilikupiga chenga)
 
Wewe huijui Tanzania.
Miradi yote ya NHC, (despite higher costs)
Hununuliwa kabla hata haijaisha .
 
Right post in the wrong place. Good news fir Tanzania. However, kindly post it in your fòrum or is it not popular as the Kenyan forum?

Labda nitumie mfano huu rahisi kukuelimisha;
Ni kama vile mfugaji ametenganisha banda la kuku Na la bata , anawezahamishia bata kwenye Banda la kuku au akajiskia kuongeza mbuzi humo pasi ya Kuulizwa lolote,
JF is 100% Tz forum, tunaanzisha Uzi popote na kwa Jukwaa lolote, we've no Limits.
How many times do we have to educate you the same thing?
 

we mkenya nenda kwenu,dont worry about us.
 

Ahsante kwa angalizo mkuu. Cha ajabu wakati unanikumbusha kutokukurupuka na kusoma kwanza, wewe umefanya kinyume chake. Unaelewa maana ya alama za kuuliza na matumizi yake?

Nimetahadharisha tu, Mkurugenzi yuko vizuri toka alipokua benki. Nakuuliza tena tuhuma za ufisadi kwenye miradi ya NHC zimefanyiwa kazi?
 
China is investing the same amount ($2B) in Uasin Gishu county, Eldoret, for Special Economic Zone (SEZ), a private sector entity, industries wenzangu! doubting Thomases here google mjionee wenyewe. which of the two will have more impact to the economy?
 
Mkuu hujui biashara wewe. Kuwa mpole. Wacha wanaojiamini wafanye biashara. Umezaliwa umeikuta NHC, wenzako wamepiga hesabu za mbali, (ambazo nadhani wewe zilikupiga chenga)
Mimi nipo tangu Nhc inapata nyumba za wizi.
hizi za miji yote tanzania nzima ni za dhulma.
kwa taarifa yako kabla Miradi mipya nyumba zao zilikuwa zikinunuliwa off plan kama unaelewa.
leo pale morocco mradi ule wameuza 50% tena kutoka awamu ilopita.
sasa hivi umedoda.
tukirudi kawe ni kuwa plan nzima wameharibu kwa design ambayo kuweka concetration ya watu wengi kwa pamoja ni blocks nyingi sehemu moja
Hii watu wengi hawapendi.
wange design vila types nk
ukumbuke sasa hivi miradi mingi ya nyumba imesimama kwa ukosefu wa soko.
hizi nyumba ya chini ni Tshs 400m...mbongo gani atatupa hela hio ?
Gege kule kigamboni ime fail
kuna wachina wa Avinc nao walijenga nyumba 100 tena nyumba za kujitegemea iliwapa tabu sana kuziuza. Na walikusuduia kuendelea 2nd phase wame stop...hakuna soko ..
mjini maeneo ya upanga masaki zipo nyumba zimedoda kuuzika...tena masaki ndio posh areas kuishi au ku invest.
hapo ndugu yangu mradi kwa sasa sio muafaka...bora wageuze hio sehemi iwe Univesitu tupate wasomi kuindesha hii nchii



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Analysis kama hii Mwanzi1 anapita mbali nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…