Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Waziri hana akili, yaani hajui kwamba hiyo miradi ilisukumwa kwa nguvu na mwendazake ikiwa haina utashi wa NHC ?, ccm kuna ouzo wa viongozi, yeye kama anaweza awaambie ccm watoe hela zikamalizie hiyo miradi ambayo kimsingi haitakuwa na faida yeyoteNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Kuna watu waliomba wawe Wana Anika mounga na dagaa sijui Kama walikubaliwa au la!Maamuzi ya mtu mmoja matokeo yake ndo hayo,na vipi hali ya uwanja wa ndege na ujenzi was hospitali ya kikanda na kimataifa hapo Chato? CCM inatakiwa ituombe radhi watanzania kwa mess za mwedazake alizoziacha nyuma.
Ndo mnajilisha matangopori ivo. Mwewe wa atcl anatua km kawaida. Wanaosafiri huku wanajua.Kwahiyo ndo wanaoutumia Chato Airport kupumzika?
Hahahaha vichekesho vingine sijui tutaendelea kuletewa bure au vitawekewa tozo wallahNdo mnajilisha matangopori ivo. Mwewe wa atcl anatua km kawaida. Wanaosafiri huku wanajua.
Vipo vya sagulasagula..vya bando na unlimited chaguo ni lakoHahahaha vichekesho vingine sijui tutaendelea kuletewa bure au vitawekewa tozo wallah
Inahudumia mikoa ya Geita ,kagera na maeneo ya kigomaNaomba kujua ufanisi wa Chato airport
Mwambie kayafa afufuke...Mungu anaipenda sana TanzaniaTangu mtu wa kazi rais wa awamu ya tano magufuli afariki miradi ya jimbo /wilaya imesimama jambo lililomkera naibu waziri wa ardhi Ms Mabura
Ukipita chato utashangaa licha ya kuwepo na mipango wa kuifanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Geita kila jambo limesimama vyuo,mbuga,uwanja wa ndege, hospital kubwa ya kikanda hadi uwanja wa mpira umekufa
Wananchi wa chato wanaamini tukio la magufuli kusimamisha ujenzi wa bandari ya bagamoyo baada ya kuingia madarakani anajibiwa na yeye akiwa amekufa,
USSRView attachment 1938304