NHC yatelekeza miradi ya mabilioni wilayani Chato

Mliambiwa mapema kuwa Chato haikuwa na sifa ya kukidhi miradi iliyopelekwa huko na haiwezi kuleta tija kwa nchi.Tunalipa concequences.
 
kama nakuwa rais woote waliopitisha miradi Chato nawatafutia kesi tupa ndani hata mwaka 1
 
Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli?
Hiyo miradi haina tija ni kupoteza fedha za wananchi.
 
Ingekua kipindi cha mwenda zake hii kauli ya kukosa pesa tusingeisikia..miradi ingekamilika kwa wakati.

#MaendeleoHayanaChama
 
Inawezekana wameona kibiashara hailipi
 

Aisee... Inatia faraja kuona madhara ya maangalizo tuliyokuwa tukitoa!
 
Tutakuja ngoja tushughulike na mkataba wa Bagamoyo.
Alafu kura utaenda kuomba wapi?

Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?

Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?

Subiri moto utawaka
 
Ni miradi iliyoanzishwa kwa sababu za ubinafsi tu lakini ilikuwa haina tija yule mtu hakustahili kabisa kupata madaraka aliyopewa, miradi mingi ilipelekwa Chato kinguvu tu.
 
Hiyo miradi haina faida
 
Alafu kura utaenda kuomba wapi?

Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?

Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?

Subiri moto utawaka
Acha ujinga, kura ndio nini, magu alifanyaje? Nae atafanya ushindi 98% upige usipige, uchague usichague! Hamna wa kumtisha.
 
Alafu kura utaenda kuomba wapi?

Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?

Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?

Subiri moto utawaka
Acha mikwara mbuzi wewe kanda ya ziwa hawajawahi kuipenda CCM
 
Tulisema na Tundu Lissu akawaeleza kwa mifano mkabisha. Matokeo ndo hayo.
Pesa ya maendeleo ya nchi kodi na mikopo zote kwa miaka mitano imeeharibiwa Chato mapolini, nchi imesimama kiuchumi na imekua masikini, na uchumi umeshuka kutoka 7% mpaka 2%
Walaaniwe MaCCM wote..!
Alaaniwe Mwendawazimu wa Chato.!
 
Alafu kura utaenda kuomba wapi?

Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?

Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?

Subiri moto utawaka
kwa nini huandika pumba wakati wote humu?
 
Kupatikana kwa katiba mpya ndo tiba itakayokomesha maamuzi ya kiimla kama haya!
 
Chato R. I. P Chato...

Nakumbuka wakati nipo mdogo nilikua najiuliza kwa nini hapa kijijini kwetu hakuna ghorofa hata moja. Nikatia nia one day nikipata pesa nitajenga ghorofa. Ila kwa sasa hata nipate hela za ziada siwezi kujenga kwa maana haina tija kujenga ghorofa pale kijijini zaidi ya ufahari tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…