Tuliwambie Mtupe yufugie MbuziNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Watuache sisi wasukuma tufugie mangombe yetuTangu mtu wa kazi rais wa awamu ya tano magufuli afariki miradi ya jimbo /wilaya imesimama jambo lililomkera naibu waziri wa ardhi Ms Mabura
Ukipita chato utashangaa licha ya kuwepo na mipango wa kuifanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Geita kila jambo limesimama vyuo,mbuga,uwanja wa ndege, hospital kubwa ya kikanda hadi uwanja wa mpira umekufa
Wananchi wa chato wanaamini tukio la magufuli kusimamisha ujenzi wa bandari ya bagamoyo baada ya kuingia madarakani anajibiwa na yeye akiwa amekufa,
USSRView attachment 1938304
Siku ya kuzima mwenge itafanyika Chato ,tutawaanika mbele ya mama yenu ili mtumbuliwe.Pesa ya maendeleo ya nchi kodi na mikopo zote kwa miaka mitano imeeharibiwa Chato mapolini, nchi imesimama kiuchumi na imekua masikini, na uchumi umeshuka kutoka 7% mpaka 2%
Walaaniwe MaCCM wote..!
Alaaniwe Mwendawazimu wa Chato.!
Magufuli aliua NHC mwenyewe ili ahamishie fedha kwenye miradi aliyopenda yeye na hasa chato na kanda ya ziwa, sasa mabula analia nini?NAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Nani hakuwa na Upendeleo? Alisema wazi majimbo ya upinzani hapeleki maendeleo.Huo ndo upendeleoJapo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa
Na kule kaskazini watulie Kwanza. Mwendazake alifanya Nini zaidi ya kuvuruga maisha ya watu?Japo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa
Huyu mama aacha upumbavu hiyo miradi haina tija huko ilipelekwa kimaslahi...anafikiria meko aliempa uwaziri kwa kusoma shule moja bado yupoNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.
Hivi umesoma kilichoandikwa?!Tafuteni wapangaji kwanza.
Nani atawekeza kama hakuna uhakika wa soko.
Wakuimalizia sasa ndio hawapo, NHC wanaona ni kisai gani watapoteza pesa kukamilisha hiyo miradi, bora nusu shari kuliko shari kamili, hizo hela zilizopotea watafanya kama zimetumbukia chooni bahati mbaya, n sio hiyo tu, kuna lisoko lilijengwa sehemu moja huko kusini bila kuwashirikisha wananchi kujua mahitaji yaom hasa ni nini, miaka zaidi ya minne sasa tangu limekamilika halijaanza kufanya kaziKama hiyo miradi ilishaanza ni vyema ikamilishwe tu, serikali ijitahidi kutafuta fedha, kuliko kuacha pesa iliyokwisha tumika ipotee bure, bora miradi ikamilishwe.
Hili linaweza kuwa fundisho huko tuendako, Rais wa nchi asiwe kila kitu, pawepo mamlaka ya kufuatilia na kuagiza nini kifanyike na kipi kisifanyike kwa manufaa ya taifa.
Hilo nalijua. Wametengeneza bomu la Kalemani, Msukuma, Bashiru na wengineo. Bado hujajumuisha hasira za uchaguzi uliopita. Nakubaliana kanda ya ziwa patachimbikaAlafu kura utaenda kuomba wapi?
Unaijua nguvu ya kanda ya ziwa au unaisikia?
Unajua kitatokea nini ikiwa watashawishiwa na chama chochote cha upinzani?
Subiri moto utawaka
Acha wawatenge wanafikiri chato siyo wapiga kura,mbona Msoga kila kukicha miradi mipya.Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli?
Hiyo hospitali ina wateja?Hivi umesoma kilichoandikwa?!
Shule, Soko na nyumba 20 za wafanyakazi wa hospitali… watafute wapangaji!!!!
Ipo sehemu ambayo kunaishi watu nani ya serikali! Na hatuchagui kuumwa au kutokuumwa.Hiyo hospitali ina wateja?
Sehemu ya hospitali ya wilaya unajenga International hospital.Ipo sehemu ambayo kunaishi watu nani ya serikali! Na hatuchagui kuumwa au kutokuumwa.
Kwi Kwi KwiNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula, amesikitishwa kwa kusuasua kwa utekelezaji wa miradi ya shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wilayani Chato mkoani Geita.
-
Dk Mabula ambaye alitembelea na kukagua miradi hiyo leo Septemba 14, 2021 alionyesha kusikitishwa kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wake kunakosababishwa na ucheleweshaji wa fedha.
-
Miradi mitatu inayotekelezwa na NHC ni mradi wa mnada wa mifugo Buzirayombo wenye thamani ya shilingi Bilioni 4.8, mradi wa ujenzi wa shule maalum ya Mbuye Bilioni 5.14 pamoja na mradi wa nyumba 20 za watumishi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda- Chato wa thamani ya shilingi Bilioni 1.139
-
Akizungumza mara baada ya kukagua miradi yote mitatu Dk Mabula alisema, miradi hiyo ni muhimu na inapaswa kukamilika kwa wakati ili ianze kutumika.
-
Aidha Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa Mkoa wa Kagera, Maneno Mahenge, alimwambia Dk Mabula kuwa shirika lake la NHC limekuwa likisuasua kutekeleza kwa kasi miradi katika wilaya hiyo kutokana na kutopatiwa fedha za miradi kwa wakati.