igogondwa JF-Expert Member Joined Aug 1, 2021 Posts 2,597 Reaction score 3,373 Sep 15, 2021 #81 nyboma said: Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli? Click to expand... Ndiyo matokeo ya kutofuata mfumo wa bajeti wa kupitia bungeni...
nyboma said: Hakika leo nimeamini ule msemo usemao “Marehemu hana thamani/Haki” leo Wilaya ya Chato ndio ya kukosa fedha za kumalizia miradi kweli? Click to expand... Ndiyo matokeo ya kutofuata mfumo wa bajeti wa kupitia bungeni...
igogondwa JF-Expert Member Joined Aug 1, 2021 Posts 2,597 Reaction score 3,373 Sep 15, 2021 #82 ujoka said: Japo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa Click to expand... Yaani uenzi maono kwa kujenga white elephant ambazo zitakosa wapangaji? Kwa nini hatujionei huruma kwa fedha zetu??
ujoka said: Japo lilikua boko wangemalizia tu kuenzi maono yake maana alijenga nchi nzima bila upendeleo ila kujenga kwake ndio imekua nongwa Click to expand... Yaani uenzi maono kwa kujenga white elephant ambazo zitakosa wapangaji? Kwa nini hatujionei huruma kwa fedha zetu??
C Coaster2015 JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 2,607 Reaction score 2,730 Sep 15, 2021 #83 Mshana Jr said: Mwambie kayafa afufuke...Mungu anaipenda sana TanzaniaView attachment 1938336 Click to expand... Ndio maana alimtoa roho mwendazake
Mshana Jr said: Mwambie kayafa afufuke...Mungu anaipenda sana TanzaniaView attachment 1938336 Click to expand... Ndio maana alimtoa roho mwendazake
E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 16,054 Reaction score 11,568 Sep 15, 2021 #84 Mnada wa ngombe 4.8bn, wataweka cold rooms? Kutakuwa na shelves za kupanga mifugo?
E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 16,054 Reaction score 11,568 Sep 15, 2021 #85 NHC na minada wapi na wapi? Kwanini huu mradi usiwe chini ya Narco? Kwanini usiwekwe kwenye ranch ya mitamba Kitengule?
NHC na minada wapi na wapi? Kwanini huu mradi usiwe chini ya Narco? Kwanini usiwekwe kwenye ranch ya mitamba Kitengule?
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Oct 31, 2021 #86 Okay