muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Duu basi NHIF ni shipa linalohitaji kutumbuliwa haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu,balaa kweli kulikuwa na mengi nyuma ya panzia tusiyoyajua.Na huu ndio ukweli. Kama aliyoiua NFRA ndivyo hivyo alivyotaka kuua NHIF.
Ruzuku waliyokuwa wanapewa NHIF ilikatishwa, mfuko ukayumba.
Yaani matumizi ya wachangiaji yalikuwa makubwa kuliko pesa zinazokusanywa na NHIF kutoka kwa wachangiaji.
Kilichofuata ndio hicho. Na ili kuunusuru mfuko kina Anna Makinda wakaamua kuunda vifurushi vipya ambavyo mpaka leo kila mchangiaji analalamika!
Magonjwa mengi wameyaondoa, kima cha chini cha uchangiaji wamepandisha yaani ni zig zag.
Magu alikuwa shetani kabisa.
Na huu ndio ukweliTatizo pale utawala wa magu ulivyolazimisha mashirika yote ya umma kutumia Nhif kama compulsory scheme, hili limepelekea shirika hili kuzubaa sabab halina upinzani kabisa wa kibiashara.
Yani hapa tumejikuta tunatengeneza tanesco nyingine, Mama samia kama anasoma hapa ajue kabisa ni lazima mfumo wa uendeshaji haya mashirika ubadilike kuwa na free market economy, watu wachague bima inayokidhi mahitaji yao.
Umeangalia madhaifu ya upande mmoja vipi na zile private hospitals zinazofanya janja janja ili bill iwe iwe kubwaShirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na tabia ya kukopesha hospitali kwa mda wa miezi mitano(5) kitu kinachopelekea hizi hospitali kuwambia wagonjwa kujinunulia vifaa na dawa ili waweze kutibiwa hali hii imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi, na kwa kiwango cha wananch wanaotumia Bima ni zaidi ya 70 %. Na Taifa linakoelekea watu wengi watajiunga na Bima, Hili shirika lispokuwa na Mipango mikakati linaenda kuua Sekta ya afya
Ushauri
- Kuwepo na sheria ya kulipa claim za tasisi na Hospitali kulipwa mapema not more than 2 month
-Uongozi uliopo ufumuliwe ni kero
- Kuwepo na Mfumo wa moja kutoka hospitali mpaka kwenya kitengo
- Makato ya ovyo yaangawe upya
- kuwepo na specialist Mabingwa wenye kukagua ujazaji wa formu za NHIF siyo MD
Kwani NHIF siku hizi inakopesha vituo? Mnatuchanganya wengine wanasema bila NHIF tungekosa mapato wengine mnasema hamlipwi.Shirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na tabia ya kukopesha hospitali kwa mda wa miezi mitano(5) kitu kinachopelekea hizi hospitali kuwambia wagonjwa kujinunulia vifaa na dawa ili waweze kutibiwa hali hii imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi, na kwa kiwango cha wananch wanaotumia Bima ni zaidi ya 70 %. Na Taifa linakoelekea watu wengi watajiunga na Bima, Hili shirika lispokuwa na Mipango mikakati linaenda kuua Sekta ya afya
Ushauri
- Kuwepo na sheria ya kulipa claim za tasisi na Hospitali kulipwa mapema not more than 2 month
-Uongozi uliopo ufumuliwe ni kero
- Kuwepo na Mfumo wa moja kutoka hospitali mpaka kwenya kitengo
- Makato ya ovyo yaangawe upya
- kuwepo na specialist Mabingwa wenye kukagua ujazaji wa formu za NHIF siyo MD
Walipewa kiburi sn na mwendazake
Ndokeji vepeee......kituo chako kinaitwaje?Shirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na tabia ya kukopesha hospitali kwa mda wa miezi mitano(5) kitu kinachopelekea hizi hospitali kuwambia wagonjwa kujinunulia vifaa na dawa ili waweze kutibiwa hali hii imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi, na kwa kiwango cha wananch wanaotumia Bima ni zaidi ya 70 %. Na Taifa linakoelekea watu wengi watajiunga na Bima, Hili shirika lispokuwa na Mipango mikakati linaenda kuua Sekta ya afya
Ushauri
- Kuwepo na sheria ya kulipa claim za tasisi na Hospitali kulipwa mapema not more than 2 month
-Uongozi uliopo ufumuliwe ni kero
- Kuwepo na Mfumo wa moja kutoka hospitali mpaka kwenya kitengo
- Makato ya ovyo yaangawe upya
- kuwepo na specialist Mabingwa wenye kukagua ujazaji wa formu za NHIF siyo MD
Hivi kwa nini malalamiko yako usipeleke mamlaka husika na vithibitisho kama unavyo. Huku tutakuonea huruma tu hatuna msaada. Kama una vithibitisho peleka mamlaka husika waitwe wajieleze.Shirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na tabia ya kukopesha hospitali kwa mda wa miezi mitano(5) kitu kinachopelekea hizi hospitali kuwambia wagonjwa kujinunulia vifaa na dawa ili waweze kutibiwa hali hii imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi, na kwa kiwango cha wananch wanaotumia Bima ni zaidi ya 70 %. Na Taifa linakoelekea watu wengi watajiunga na Bima, Hili shirika lispokuwa na Mipango mikakati linaenda kuua Sekta ya afya
Ushauri
- Kuwepo na sheria ya kulipa claim za tasisi na Hospitali kulipwa mapema not more than 2 month
-Uongozi uliopo ufumuliwe ni kero
- Kuwepo na Mfumo wa moja kutoka hospitali mpaka kwenya kitengo
- Makato ya ovyo yaangawe upya
- kuwepo na specialist Mabingwa wenye kukagua ujazaji wa formu za NHIF siyo MD
1.0 Maelezo ya awaliShirika letu la Bima (NHIF) limechangia kuua Huduma za Afya katika kulipa Madai ya Hospitali zetu kwa kuchelewesha kulipa kwa wakati, ambapo hospitali zote nchini zimekuwa zikilamika kuchelewesha malipo hayo ili ziweze kununua dawa,vifaa tiba na kulipa uendeshaji wa hospitali
NHIF imekuwa na tabia ya kukopesha hospitali kwa mda wa miezi mitano(5) kitu kinachopelekea hizi hospitali kuwambia wagonjwa kujinunulia vifaa na dawa ili waweze kutibiwa hali hii imekuwa kero kubwa sana kwa wananchi, na kwa kiwango cha wananch wanaotumia Bima ni zaidi ya 70 %. Na Taifa linakoelekea watu wengi watajiunga na Bima, Hili shirika lispokuwa na Mipango mikakati linaenda kuua Sekta ya afya
Ushauri
- Kuwepo na sheria ya kulipa claim za tasisi na Hospitali kulipwa mapema not more than 2 month
-Uongozi uliopo ufumuliwe ni kero
- Kuwepo na Mfumo wa moja kutoka hospitali mpaka kwenya kitengo
- Makato ya ovyo yaangawe upya
- kuwepo na specialist Mabingwa wenye kukagua ujazaji wa formu za NHIF siyo MD
Makato mengi ni kwa sababu ya kutofuata miongozo ya matibabu iliyotolewa na Wizara ya Afya; mf. Muongozo wa STG, muongozo wa magonjwa ya uzazi, muongo wa malaria, etc..Mbali na kuchelewesha malipo, pia wamekuwa na tabia ya kutolipa kabisa hayo madeni iwapo Form haikujazwa vizuri.
Mgonjwa kashapata matibabu halafu Bima wanagoma kulipa kwa sababu nyepesi tu hiyo hali inafanya wale wanaolipia Cash wathaminiwe kuliko wateja wao wa Bima.
Kuimarishwa kupo, na marekebisho yapo ya mara kwa mara, na itafikiwa tu Universal Health Coverage (Bima ya Afya kwa Wote)Nashangaa kuona wanataka Eti bima iwe kwa waTZ wote ili hali Hawa wachache wa sasa ni mashaka matupu!
Imarisheni kwanza huduma ya uhakika kwa Hawa waliopo kisha ndipo muongeze wigo wa kuwafikia wengi .
No research, No right to speak!Bodi hii ni ovyo kabisa sijapata kuona, imekuwa haina msaada zaidi ya kujilipa wenyewe
Nenda katembelee hospitali mpaka unatamani hivi huu mfuko unasaidiaje hizi hospitali, Mteja anapata huduma wao wanakuja kukagua form na kutofauta makosa madogo madogo na kukata yaani ni bora waunde bodi mpya yenye mkakati wa kusaidia hii tasisi wateja wao na hosipitali zinazotoa huduama
Wewe mpaka inafika NHIF inadaiwa bil 10 haijalipa na taasisi moja sijui wanawaza nini juu uendeshaji wa taasissi hiyo
Hivi wewe hujui kupiga hesabu, kuna familia zetu wengine kubwa, wazazi wa pande zote mbili, watoto bado na mke wa pili, we peke yako utaweza kubeba. Mbona huoni fursa khaaa heheee.Wanachama wanachangia kwa kukatwa mke na mume wakati inatakiwa achangie mmoja tu.
Kila mkiambiwa mkurugenzi Konga hili swala hulioni ni tatizo?
Hii ni dhuluma kubwa sana.
Kama mume na mke wako taasisi moja ambako unaweza kujiridhisha vyetu vya ndoa kwanini mnalazimisha wote wachangie?
Imarisheni namna yetu ya kusimamamia taarifa sahihi na isiwe kisingizio cha kusema wengine hutoa taarifa za udanganyifu.
Watakaodanganya watambueni sheria ichukue mkondo wake na siyo kishindwa kwenu kusimamamia na kuweka mifumo ya utambuzi wa mapema muwakate mke na mume kwa wakati mmoja..
Bernard Konga na wenzio tafakarini hayo na kuyatolea ufumbuzi wa haraka.