NHIF itafilisika, masikini hawekewi bima

NHIF itafilisika, masikini hawekewi bima

Chief, hata siku moja usitoe ushauri huu tena, maana utazidisha kuwaangamiza watanzania wengi. Usijaribu kusema tena maskini wanakinga sijui ya magonjwa sijui nini!! Narudia acha. Hatuishi kama waganga wakienyeji. Pili ningekuonyesha vifo vinavyotokea kwahao watu unaowataja ungeshangaa. Hawafi kwasababu hujasikia vifo vyao vikitangazwa. Wewe kaa Dar, jua wavijini wanakinga. Utaua ndugu zako. Pili shida sio wachangiaji kuwa wengi peke yake bali ni consistency ya utoaji. Watanzania wakishatoa mara 1 au 2 basi huacha, na ndio maana unaona NHIF inaendeshwa na watumishi kwasababu pesa huchangiwa kila mwezi constantly. Mtanzania akishapona husahau hata ugonjwa aliupataje na anarudia yaleyale vivyohivyo husahau na kuacha kuchangia kwenye bima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hela ya kununua sababuni ya kufulia nguo yake chafu Leo atakuwa na hela ya kulipia ugonjwa ambao hajui ataugua nini lini?
 
Kiukweli ksbisa nhif ni mradi wa serikali kukusanya kodi.kipaumbele chao kwa wanachama ni vijana ambao wanajua kabisa huwa hawaugui mara kwa mara.kibaya zaidi magonjwa makubwa kama cancer na mengine makubwa hayamo kwanye bima,kwa maana hiyo wamelenga magonjwa madogomadogo ili wapate faida kubwa za kununulia v8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afya ni nini ?, Ungejaribu kucheki jinsi concept ya BIMA ilivyo ungetambua its all about numbers, kwahio wote wakichangia kidogo kidogo mathematically haiwezekani 90% ya watu wote wakaugua kwahio kama una watu milioni kwenye mfuko ni vigumu 50 percent kuugua hata wakiugua hao ni watu laki tano..., ila kama una watu wawili 50% wakiugua unabaki peke yako hence mfuko kushindwa kufanya kazi, its all about numbers

Kwahio matajiri ndio unadhani wanafanya hivyo na kunawa ?, unajua kwamba usafi ni tabia na sio fedha ?, pia nimekwambia watoto wa mitaani watembea peku wala majajarani wanaugua kama wengine ? hapo utagundua kwamba immunity pia matters na watumiaji wengi wa hizo Bima huenda ukakuta ni watu wenye kipato wenye lazy lifestyles as well as stressful life

Hivi unajua kwamba huenda masikini anakula healthy food kuliko tajiri ?. Michemsho, mboga za majani na vingine ambavyo wewe unaweza kuona kwamba ni cheap food (no junk food wala kuunga unga) na karne hii ya milonge na vyakula vingine eating healthy sio vigumu kivile (tena wewe unayedhani unakula nyama na sijui mayai ambayo yanatoka kwenye mifugo iliyojazwa anti-biotics huenda ndio unaji-kill softly

duh sijui unaongelea masikini gani huyo mtembea peku mkosa choo..., ingawa hata wale wanaokaa kwenye slums na kujisaidia kwenye mitaro ambayo uchafu unakwenda kwenye vyanzo vya maji sadly hicho kifo kinakupata hata wewe sababu it all goes in the water..., pia unaweza kudhani upo salama kumbe sewage system yetu ni mbovu hence hata unachokula wewe na samaki unaokula wote wamejaa masumu

Na UK ilikuwaje ?, Kushindwa kwa Obama ni Insuarance and pharmaceutical companies zingepoteza baadhi ya mapato yao, it was political with pharamaceuticals and insurance companies having massive lobbying power...

Pili unaangalia hili suala kwa jicho la ajabu, issue sio kutoa huduma za afya bure bali ni kuwa na pool kubwa ya wachangiaji ili healthcare iwe affordable..., bila kuhakikisha kila mwananchi ana afya ni kukosa nguvu kazi hivyo ni kama kuchoma mguu wako kwenye moto kama kuni ili upate joto la kuzuia baridi
Maskini wanakufa na kuugua zaidi kuliko matajiri, huwasikii kwakuwa wametawanyika huko na kule vijijini na hakuna vyombo vya habari. Malaria, kuharisha, minyoo, utapiamlo, uzazi pingamizi, bodaboda, kuanguka kwenye miti, TB, kuumwa na nyoka, UTI, typhoid, funza, sickle cell, magongwa ya moyo, Kansa ya Koo na kizazi vinawaua sana,
 
Watu wetu wengi ni maskini sana na wajinga wasiofuata kanuni za afya kujilinda dhidi ya maradhi. Nchi haina maji, umeme, barabara, chakula na nyumba Bora za kuishi toshelezi kumudu kupambana na maambukizi. Elimu ya afya na huduma za afya haziwafikii watu wote.

Watu wetu wanazo tabia nyingi mno ambazo ni hatarishi kwa afya zao zinazowafanya waugue wakati wowote na kuhitaji kutibiwa.

Huwezi kumuwekea bima ya afya mtu ambae Hana maji safi, umeme, chakula, choo Wala chandarua. Huwezi kumuwekea bima mtu ambae anapanda pikipiki bila kuvaa helmet, havai viatu, aña chumba kimoja yeye na watoto na mifugo yake, asiyetumia condom, choo, kunawa mikono, nk. Watu wa aina hii wanaugua familia nzima kila siku na kuhitaji matibabu ya kila siku na kila wakati kwenye hospitali tofauti tofauti.

Serikali lazimà ipunguze umaskini, itoe elimu ya afya na iboreshe maisha ya wananchi ili wasiugue mara kwa mara kabla ya kupanua wigo wa wadau wa NHIF, vinginevyo mfuko uta collapse.

Maskini hawekewi bima

Unajua BIMA inavyofanya kazi mkuu?

BTW Mungu ni wa ajabu sana mkuu mimi nimekaa kijijini na nimeishi uswahilini kwa masikini wenzangu ........ amini ninacho kuambia masikini hatuumwi hovyo kama matajiri na tukiumwa kesi zetu tunamaliza kwa muuza duka la madawa

Ni kama nguvu fulani ya kiasili/nature huwa inafanya kazi, kadiri unavyokua na ufahamu wa kiafya na matatizo yanazidi kuwa makubwa
Ndio maana vichaa wanao lala majalalani na kula majalalani hwatibiwi popte lakini wapo wanadunda miaka na miaka
 
Maskini wanakufa na kuugua zaidi kuliko matajiri, huwasikii kwakuwa wametawanyika huko na kule vijijini na hakuna vyombo vya habari. Malaria, kuharisha, minyoo, utapiamlo, uzazi pingamizi, bodaboda, kuanguka kwenye miti, TB, kuumwa na nyoka, UTI, typhoid, funza, sickle cell, magongwa ya moyo, Kansa ya Koo na kizazi vinawaua sana,
Sasa kama wanakufa si ni ahueni kwa huo mfuko ?, Kwamba hawatatumia huo mfuko kwa muda mrefu Au ?

Na kama wapo mbali na hawasikiki wala hawafikiwi si kwamba hata hio Bima haiwafikii / hawaitumii Au?

Usiangalie mambo kwa jicho la matumizi pekee bali na kwa upotevu wa nguvu kazi, since ni wengi kuliko matajiri kuwa kwao wagonjwa ni hatari kwa jamii na kukosa nguvu kazi hence preventive measures need be taken
 
Afya ni nini ?, Ungejaribu kucheki jinsi concept ya BIMA ilivyo ungetambua its all about numbers, kwahio wote wakichangia kidogo kidogo mathematically haiwezekani 90% ya watu wote wakaugua kwahio kama una watu milioni kwenye mfuko ni vigumu 50 percent kuugua hata wakiugua hao ni watu laki tano..., ila kama una watu wawili 50% wakiugua unabaki peke yako hence mfuko kushindwa kufanya kazi, its all about numbers

Kwahio matajiri ndio unadhani wanafanya hivyo na kunawa ?, unajua kwamba usafi ni tabia na sio fedha ?, pia nimekwambia watoto wa mitaani watembea peku wala majajarani wanaugua kama wengine ? hapo utagundua kwamba immunity pia matters na watumiaji wengi wa hizo Bima huenda ukakuta ni watu wenye kipato wenye lazy lifestyles as well as stressful life

Hivi unajua kwamba huenda masikini anakula healthy food kuliko tajiri ?. Michemsho, mboga za majani na vingine ambavyo wewe unaweza kuona kwamba ni cheap food (no junk food wala kuunga unga) na karne hii ya milonge na vyakula vingine eating healthy sio vigumu kivile (tena wewe unayedhani unakula nyama na sijui mayai ambayo yanatoka kwenye mifugo iliyojazwa anti-biotics huenda ndio unaji-kill softly

duh sijui unaongelea masikini gani huyo mtembea peku mkosa choo..., ingawa hata wale wanaokaa kwenye slums na kujisaidia kwenye mitaro ambayo uchafu unakwenda kwenye vyanzo vya maji sadly hicho kifo kinakupata hata wewe sababu it all goes in the water..., pia unaweza kudhani upo salama kumbe sewage system yetu ni mbovu hence hata unachokula wewe na samaki unaokula wote wamejaa masumu

Na UK ilikuwaje ?, Kushindwa kwa Obama ni Insuarance and pharmaceutical companies zingepoteza baadhi ya mapato yao, it was political with pharamaceuticals and insurance companies having massive lobbying power...

Pili unaangalia hili suala kwa jicho la ajabu, issue sio kutoa huduma za afya bure bali ni kuwa na pool kubwa ya wachangiaji ili healthcare iwe affordable..., bila kuhakikisha kila mwananchi ana afya ni kukosa nguvu kazi hivyo ni kama kuchoma mguu wako kwenye moto kama kuni ili upate joto la kuzuia baridi
Makampuni ya bima yanajua kuwa maskini wanaugua sana, hayataki. Maskini kule hawezi kufanya hata mazoezi ya viungo, hali mboga za majani Wala matunda. Yeye ni junk food TU full of sugars, salt and fat.
 
Makampuni ya bima yanajua kuwa maskini wanaugua sana, hayataki. Maskini kule hawezi kufanya hata mazoezi ya viungo, hali mboga za majani Wala matunda. Yeye ni junk food TU full of sugars, salt and fat.
Junk food is cheap ? Yaani ma-chocolate ma-yogurt mapochocho ya kuunga unga na kukaanga ni cheap kuliko greens ?

Hebu fanya research yako upya
 
Makampuni ya bima yanajua kuwa maskini wanaugua sana, hayataki. Maskini kule hawezi kufanya hata mazoezi ya viungo, hali mboga za majani Wala matunda. Yeye ni junk food TU full of sugars, salt and fat.

Hivi ni masikini wa wapi unao wazungumzia mkuu

Huku uswahilini vyakula vyetu ni mboga za majani, dagaa, visamaki, ugali dona, mihogo, nazi, utumbo, mahindi ya kuchoma, sukari kiduchu robo kilo wiki nzima kwa familia,

Huko masaki sasa , sembe, yogat, soda/juice za boksi, cookies, sweets, chips mayai, read meat daily, pizza, mavipodozi, 24hr kwenye simu au pc au tv

Hivi mmachinga anayezurula kuto mwenge hadi kariakoo anahitaji mazoezi gani jamani?
 
Kiukweli ksbisa nhif ni mradi wa serikali kukusanya kodi.kipaumbele chao kwa wanachama ni vijana ambao wanajua kabisa huwa hawaugui mara kwa mara.kibaya zaidi magonjwa makubwa kama cancer na mengine makubwa hayamo kwanye bima,kwa maana hiyo wamelenga magonjwa madogomadogo ili wapate faida kubwa za kununulia v8

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief hapo nakupinga, kuna wagonjwa wa chemotherapy, wadialysis na wa heart surgeries. Wewe ndio hujajua bima inatumia pesa gani. Chemotherapy kwapesa yako unafikiri utaiweza boss[emoji23][emoji23]. Na cost za dialysis kwa mgonjwa mmoja per year usitake kujua. We ukajua mstaafu hana kadi yake ya bima isipokuwa alivyokuwa mtumishi tu[emoji23][emoji23][emoji23]. Bima inahitaji kutoa elimu kubwa sana kwa wananchi maana mtaongea mavitu hata msiyoyajua sasa[emoji23][emoji23]
 
Hivi ni masikini wa wapi unao wazungumzia mkuu

Huku uswahilini vyakula vyetu ni mboga za majani, dagaa, visamaki, ugali dona, mihogo, nazi, utumbo, mahindi ya kuchoma, sukari kiduchu robo kilo wiki nzima kwa familia,

Huko masaki sasa , sembe, yogat, soda/juice za boksi, cookies, sweets, chips mayai, read meat daily, pizza, mavipodozi, 24hr kwenye simu au pc au tv

Hivi mmachinga anayezurula kuto mwenge hadi kariakoo anahitaji mazoezi gani jamani?
Hao unawatetea wanateseka magonjwa ya kuambukiza ambayo cost ya kuyatibu sio kubwa ila inakuwa juu sababu wagonjwa hao watarudi mara kwa mara na likiibuka linaathiri watu wengi sana sio mmoja. Hao wamasaki wanasumbuliwa na non communicable diseases ambayo huathiri sio wengi ila matibabu yake ni makubwa. Hakuna asiyeumwa we jua ugonjwa hauchagui maskini wala tajiri
 
Sasa kama wanakufa si ni ahueni kwa huo mfuko ?, Kwamba hawatatumia huo mfuko kwa muda mrefu Au ?

Na kama wapo mbali na hawasikiki wala hawafikiwi si kwamba hata hio Bima haiwafikii / hawaitumii Au?

Usiangalie mambo kwa jicho la matumizi pekee bali na kwa upotevu wa nguvu kazi, since ni wengi kuliko matajiri kuwa kwao wagonjwa ni hatari kwa jamii na kukosa nguvu kazi hence preventive measures need be taken
Siunajua health insurance ni moja ya preventive measures mkuu.
 
Watu wetu wengi ni maskini sana na wajinga wasiofuata kanuni za afya kujilinda dhidi ya maradhi. Nchi haina maji, umeme, barabara, chakula na nyumba Bora za kuishi toshelezi kumudu kupambana na maambukizi. Elimu ya afya na huduma za afya haziwafikii watu wote.

Watu wetu wanazo tabia nyingi mno ambazo ni hatarishi kwa afya zao zinazowafanya waugue wakati wowote na kuhitaji kutibiwa.

Huwezi kumuwekea bima ya afya mtu ambae Hana maji safi, umeme, chakula, choo Wala chandarua. Huwezi kumuwekea bima mtu ambae anapanda pikipiki bila kuvaa helmet, havai viatu, aña chumba kimoja yeye na watoto na mifugo yake, asiyetumia condom, choo, kunawa mikono, nk. Watu wa aina hii wanaugua familia nzima kila siku na kuhitaji matibabu ya kila siku na kila wakati kwenye hospitali tofauti tofauti.

Serikali lazimà ipunguze umaskini, itoe elimu ya afya na iboreshe maisha ya wananchi ili wasiugue mara kwa mara kabla ya kupanua wigo wa wadau wa NHIF, vinginevyo mfuko uta collapse.

Maskini hawekewi bima
Hilo nalo nendeni mkalitizame
 
Siunajua health insurance ni moja ya preventive measures mkuu.
Hapa naona tunazunguka...
Moja; Mleta Hoja amesema masikini wasiwekewe Bima (Nikamjibu Bima inahitahita numbers ili ifanye kazi wengi watoe kidogo kidogo as they can afford) sababu mathematically hundred 100% wote hawawezi wakaugua / wakapata shida hence ni kuchangiana....

Mbili: Nikasema being healthy hususan sasa haitegemei tu kipato kuna magonjwa mengi sana ya kizembe kwa sasa yanayowenda sambamba na kipato.... Mleta Hoja akasema masikini wanakufa sana sema sisikii

Hitimisho: Nikamjibu sasa kama wanakufa sasa si ni ahueni kwa mfuko kwamba since wanakufa then huu mfuko hawahutumii ipasavyo unless otherwise tunaongelea Bima ya Kifo...
 
Chief hapo nakupinga, kuna wagonjwa wa chemotherapy, wadialysis na wa heart surgeries. Wewe ndio hujajua bima inatumia pesa gani. Chemotherapy kwapesa yako unafikiri utaiweza boss[emoji23][emoji23]. Na cost za dialysis kwa mgonjwa mmoja per year usitake kujua. We ukajua mstaafu hana kadi yake ya bima isipokuwa alivyokuwa mtumishi tu[emoji23][emoji23][emoji23]. Bima inahitaji kutoa elimu kubwa sana kwa wananchi maana mtaongea mavitu hata msiyoyajua sasa[emoji23][emoji23]
Nieleweshe mkuu.maana Mimi nilienda ofisi zao nililenga nimkatie bima babu yangu.katika maongezi huyo afisa wa nhif alisema magonjwa kama cancer bado hayajawekwa kwenye utaratibu wa bima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni masikini wa wapi unao wazungumzia mkuu

Huku uswahilini vyakula vyetu ni mboga za majani, dagaa, visamaki, ugali dona, mihogo, nazi, utumbo, mahindi ya kuchoma, sukari kiduchu robo kilo wiki nzima kwa familia,

Huko masaki sasa , sembe, yogat, soda/juice za boksi, cookies, sweets, chips mayai, read meat daily, pizza, mavipodozi, 24hr kwenye simu au pc au tv

Hivi mmachinga anayezurula kuto mwenge hadi kariakoo anahitaji mazoezi gani jamani?
Maskini ni yule anaeuza Mayai yote, Kuku wote, matunda yote, maharagwe yake yote apate hela ya kununua chakula, dagaa, chumvi, sabuni ya kufulua, kiwembe Cha kunyolea nywele zake popote ziliko, kumaliza msiba, kununua nguo, kulipa deni la hospitalli alikotibiwa meanawe.
 
Hivi ni masikini wa wapi unao wazungumzia mkuu

Huku uswahilini vyakula vyetu ni mboga za majani, dagaa, visamaki, ugali dona, mihogo, nazi, utumbo, mahindi ya kuchoma, sukari kiduchu robo kilo wiki nzima kwa familia,

Huko masaki sasa , sembe, yogat, soda/juice za boksi, cookies, sweets, chips mayai, read meat daily, pizza, mavipodozi, 24hr kwenye simu au pc au tv

Hivi mmachinga anayezurula kuto mwenge hadi kariakoo anahitaji mazoezi gani jamani?
Wale wanaolala na kuku wao chumbani na wasiotumia vyoo na wanaokosa maji ya kunawa mikono baada ya kujisaidia, huko kwenu hawapo hao?
 
Hao unawatetea wanateseka magonjwa ya kuambukiza ambayo cost ya kuyatibu sio kubwa ila inakuwa juu sababu wagonjwa hao watarudi mara kwa mara na likiibuka linaathiri watu wengi sana sio mmoja. Hao wamasaki wanasumbuliwa na non communicable diseases ambayo huathiri sio wengi ila matibabu yake ni makubwa. Hakuna asiyeumwa we jua ugonjwa hauchagui maskini wala tajiri
Hata wahenga waliliona hili pia, ndio maana walikuja na ule msemo wa "makaburi mengi ni ya maskini". Elimu ikusaidie namna na kufikiria na kutenda.
 
Hapa naona tunazunguka...
Moja; Mleta Hoja amesema masikini wasiwekewe Bima (Nikamjibu Bima inahitahita numbers ili ifanye kazi wengi watoe kidogo kidogo as they can afford) sababu mathematically hundred 100% wote hawawezi wakaugua / wakapata shida hence ni kuchangiana....

Mbili: Nikasema being healthy hususan sasa haitegemei tu kipato kuna magonjwa mengi sana ya kizembe kwa sasa yanayowenda sambamba na kipato.... Mleta Hoja akasema masikini wanakufa sana sema sisikii

Hitimisho: Nikamjibu sasa kama wanakufa sasa si ni ahueni kwa mfuko kwamba since wanakufa then huu mfuko hawahutumii ipasavyo unless otherwise tunaongelea Bima ya Kifo...
Wanakufa baada ya kuuguzwa sana na mfuko, nenda pale hospital kitengo Cha ustawi wa jamii ukapate takwimu juu ya nani wameshindwa kumudu gharama za matatabu Yao au ya wapendwa wao. Wengine wanazikimbia maiti zao. Wengi wanaenda hospital kwa kuchelewa sana.

Maskini anaugua mara mbili, communicable na non communicable diseases at the same time wakati tajiri anagua mara moja TU kwa non communicable diseases.
 
Chief hapo nakupinga, kuna wagonjwa wa chemotherapy, wadialysis na wa heart surgeries. Wewe ndio hujajua bima inatumia pesa gani. Chemotherapy kwapesa yako unafikiri utaiweza boss[emoji23][emoji23]. Na cost za dialysis kwa mgonjwa mmoja per year usitake kujua. We ukajua mstaafu hana kadi yake ya bima isipokuwa alivyokuwa mtumishi tu[emoji23][emoji23][emoji23]. Bima inahitaji kutoa elimu kubwa sana kwa wananchi maana mtaongea mavitu hata msiyoyajua sasa[emoji23][emoji23]

NHIF huwa wanalipia Dialysis? Ama sugery za moyo? Ama chemo ya cancer?
 
Nieleweshe mkuu.maana Mimi nilienda ofisi zao nililenga nimkatie bima babu yangu.katika maongezi huyo afisa wa nhif alisema magonjwa kama cancer bado hayajawekwa kwenye utaratibu wa bima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini wengi wengi huwa wanaenda kujiunga na bima wanapokuwa na mgonjwa aliyeko kitandani au hospitalini ili wasaidiwe gharama za matibabu za mgonjwa huyo. Hili ni kosa katika bima. Huwezi kukatia bima kubwa gari lako kuukuu.
 
Back
Top Bottom