NHIF kuzindua vifurushi vipya vya bima ya afya, sasa kila Mtanzania kuzingatiwa

NHIF kuzindua vifurushi vipya vya bima ya afya, sasa kila Mtanzania kuzingatiwa

jme

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2013
Posts
4,677
Reaction score
4,814
1574716509043.png


B0AE1CC1-56E6-45CF-B5E5-AE03386CF57A.jpeg


2222608_1574769740125.png
 

Attachments

hakuna lolote ni mbinu tu ya kutafuta pesa. wanaondoa unafuu ulikuwepo awali wa mtu mmoja kuwa na tegemezi sita.
Mkuu utaratibu huo bado upo kwa dar es salaam familia ya watu 6 inategemewa watalipa laki 1 na kwa mtu mmoja mmoja ni elfu 40 kwa mwaka kwa mikoani elfu 30 kwa mwaka mzima kwa huduma za kituo cha afya,hospitali za mikoa na wilaya
 
Mkuu utaratibu huo bado upo kwa dar es salaam familia ya watu 6 inategemewa watalipa laki 1 na kwa mtu mmoja mmoja ni elfu 40 kwa mwaka kwa mikoani elfu 30 kwa mwaka mzima kwa huduma za kituo cha afya,hospitali za mikoa na wilaya
Hv vifurushi nilipata kuviona mapema kabla ya uzinduzi. Ngoja nicheki my docs kama ntakua sahihi.

Ila kiukweli ni gharama nafuu
 
Hawa jamaa wameficha sifa za vifurushi, watuambie utofauti wa vifurishi kihuduma ukoje kuliko kuja na bei tu halafu hata kwenye mtandao wao hakuna hilo tangazo.
 
Back
Top Bottom