Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 884
- 376
Za asubuhi wakuu.
Hivi bima inayotolewa na NHIF ambayo sio green card ninaweza kutumia kupata huduma ya X-ray na ultrasound?
Na kama haiwezekani, ni bei gani?
Hivi bima inayotolewa na NHIF ambayo sio green card ninaweza kutumia kupata huduma ya X-ray na ultrasound?
Na kama haiwezekani, ni bei gani?