NHIF yafuta Bima ya Afya kwa watoto "TOTO Afya Kadi". NHIF yadai hawajafuta ila wameboresha

?round hii round hii....
Naenda kuaibika na hawa watoto wa nje ya ndoa
 
Kuna "New members" wamejiunga humu .. na wanachangia kwa kasi kweli kweli
 
Unawatetea Nini hao au we ndo chawa wao 50400 ilikuwa nafuu sana naona mafisadi papa awamu hii mmeamua kutunyonga kabisa fuckin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…