NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

Mzee unajua Aghakani wameanza kupokea Bima lini???
NA Kuna Bima ngapi? Ukitoa NHIF?
Pengine hujui kuwa NHIF ndo bima ya walio na kipato cha Chini kuliko zingine..

Imazidiwa na Bima ya Serkali ya SHIB(NSSF)
Nafahamu Chief.
 
DAWA YA MOTO NI MOTO. AGHA KHAN ITAKUFA, wanachuo wote wanatibiwa in those hospitals. Let’s wait and see who wins.

They actually create a fear vacuum. If you act we act.
Eti AGHA KHAN itakufa?? Unaijua hyo hospital vzur au na ww unashabikia vitu usivyovijua... AGHA KHAN ni dude kubwa
 
they operate isolated. as an institute each. without dependence

sio kweli?? south Africa tu amna. so one the player ila sio major player kama unavyo Dhani
Ila East Africa yote ipo na Asia Nzima ipo..
Na baadhi ya Nchi za ulaya

South africa Sio Kipimo cha Ubora Mkuu
 
Ila East Africa yote ipo na Asia Nzima ipo..
Na baadhi ya Nchi za ulaya

South africa Sio Kipimo cha Ubora Mkuu
Proves they are not major players as you think . They target under developed countries any way . Tena wakipata loss they leave or close the hospitals . Good examples bongo hapa mtwara branch
 
Jibu lako linaweza lisiwe sahihi sana. AGHA KHAN bei za za matibabu ziko juu sana ukilinganisha na hospitali nyingi achilia mbali za umma. Hivyo watu wengi waliokuwa wanatibiwa huko ni wale wa NHiF. Na kuna kamchezo ka kupandisha bei kwenye Bill zao. Hivyo kuwa kosa wateja wa NHiF ubaridi utawaingia kama si kutetemeka. No matter how big their
Kaka, tafuta bia bariidi unywe... [emoji736] Huu ndio uhalisia, soon mbinyo utawarudia
 
Ila wamerudi mezani soon Tutapata makubalianp mazuri..
 
Benard Konga hana CV wala uzoefu wa kuivusha NHIF kwenye hii recession, Ummy anadanganywa na wataalam pale wizarani, miongozo inatengenezwa kuwatarget watoa huduma binafsi kutokana na wivu wa madaktari walioko wizarani na NHIF kwa wamiliki na madaktari wenzao wanaomiliki vituo binafsi! shida ya NHIF kuelemewa ni kujiingiza kwenye shughuli ambazo sio zake, kuwekeza kwenye miradi isiyolipa kama ya ujenzi, kutoa mikopo ya. hovyo kwa wafanyakazi wake na mipango ya makadirio mibovu. Mfujko unahitaji overall reforms ya uongozi na approach, ondoa Monopoly kwa kuruhusu watu wachague mfuko wa kujiunga tofauti na sasa wafanyakazi wa serikali na mashirika hawana hiari ya kuchangua mfuko, mnakusanya hela zao badala walau zitumike kutibu makundi maalum kama watoto chini ya miaka mitano na wao mmewafutia Toto afya Cards" sasa hizo hela manapeleka wapi na wachangiaji mnawapa huduma mbovu sizioendana na michango?
Bora wameondolewa wote Ummy na Konga, waliharibu sana NHIF
 
Exactly [emoji817]....
Watakaoumia ni wanachama..wao wana hela ....
Huyu Ummy kituko sana..poleni wanachama
Ummy tayari fagio la chuma limempitia.

IMG-20240814-WA0052.jpg
 
Bora wameondolewa wote Ummy na Konga, waliharibu sana NHIF
Huyo Mkurugenzi wa NHIF si ndio anakwenda kuwa katibu mkuu wizara ya afya?

Hapa sijui mama kama ameelewa alichokifanya au anacheza kamari tu?
 
Huyo Mkurugenzi wa NHIF si ndio anakwenda kuwa katibu mkuu wizara ya afya?

Hapa sijui mama kama ameelewa alichokifanya au anacheza kamari tu?
Sijaona kama anaenda kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya
 
Back
Top Bottom