ANAUPIGA MWINGI
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 389
- 757
Ndo madhara ya sisi kushinda kula Chakula kama dawa na kujikuta tunakula dawa kama chakulaMkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mh Konga amesema Taasisi yake imebaini madaktari wanawaandikia Wagonjwa dawa zisizo sahihi na huu ni uhujumu uchumi.
Konga amesema mtu anapokunywa dawa isiyostahili anakuwa amekunywa sumu hivyo hospital zinazofanya mchezo huu zitashughulikiwa na Wizara.
Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha Fedha zote walizolipwa isivyo halali.
Source ITV
Huu ni wizi na unyang'anyi. NHIF imekaa kiwiziwizi.Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha Fedha zote walizolipwa isivyo halali.
Magonjwa yasiyoambukiza ndio yanakula fedha nyingi za mfukoMfuko umefilisika, hizi nyingine ni mbwembwe tu.
punguzeni matumizi yenu ya warsha, semina na makongamano.
Hakunaga taasisi takatifu hapa bongoHuu ni wizi na unyang'anyi. NHIF imekaa kiwiziwizi.
Hesabu huwa hazidanganyi, wameanza kuumbuka sasaMkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mh Konga amesema Taasisi yake imebaini madaktari wanawaandikia Wagonjwa dawa zisizo sahihi na huu ni uhujumu uchumi.
Konga amesema mtu anapokunywa dawa isiyostahili anakuwa amekunywa sumu hivyo hospital zinazofanya mchezo huu zitashughulikiwa na Wizara.
Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha Fedha zote walizolipwa isivyo halali.
Source ITV
Mchezo wa kuwaandikia wagonjwa dawa zisitumika sana, upo tangu zahanati binafsi zilipoanzishwa wakati huo haikuwepo bima ya afya.Tanzania tunalishwa very damn news reports
Kwamba madaktari ni wezi au hawajui madawa au ni vipi yani?
Kwa nini yeye NHIF ndio anajua zaidi madwa, yeye ni healthcare regulator?
If anything WAO NHIF ndio wana masharti kwa madaktari kuandika dawa cheap and cheesy
Labda Kama wewe ni Daktari unajaribu kutetea yanayofanyika ila katika hili uchunguzi wa kina unahitajika ili kutafuta suruhu ya kudumu.Tanzania tunalishwa very damn news reports
Kwamba madaktari ni wezi au hawajui madawa au ni vipi yani?
Kwa nini yeye NHIF ndio anajua zaidi madwa, yeye ni healthcare regulator?
If anything WAO NHIF ndio wana masharti kwa madaktari kuandika dawa cheap and cheesy
Uongozi unapaswa kubadilishwaWanaokatwa hela za bima ya NHIF ni wengi uklinganisha na wale wanaoitumia huduma ya bima kupata matibabu kwa mwezi husikaaa... shirika linajihujumuu lenyewe waache janja janjaa
Ni kweli kabisa, Hospital za private wanauza dawa tu kwa kweli. Unaumwa mafua lakini utapewa dawa karibu aina tano.Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mh Konga amesema Taasisi yake imebaini madaktari wanawaandikia Wagonjwa dawa zisizo sahihi na huu ni uhujumu uchumi.
Konga amesema mtu anapokunywa dawa isiyostahili anakuwa amekunywa sumu hivyo hospital zinazofanya mchezo huu zitashughulikiwa na Wizara.
Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha Fedha zote walizolipwa isivyo halali.
Source ITV
AsitutisheMkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mh. Konga amesema taasisi yake imebaini madaktari wanawaandikia wagonjwa dawa zisizo sahihi na huu ni uhujumu uchumi.
Konga amesema mtu anapokunywa dawa isiyostahili anakuwa amekunywa sumu hivyo hospital zinazofanya mchezo huu zitashughulikiwa na wizara.
Aidha Konga amesema hospital hizo zitalazimika kurudisha fedha zote walizolipwa isivyo halali.
Source: ITV