NHIF yazusha taharuki tena licha ya tamko la Waziri, wateja walalamika kutolewa katika huduma

NHIF yazusha taharuki tena licha ya tamko la Waziri, wateja walalamika kutolewa katika huduma

Wazazi wangu walitangulia mbele ya haki nikiwa mdogo Sana...nimelelewa na watu Baki tu hadi nikaweza kusimama mwenyewe.
Mmoja wa watu walionilea nilimkatia Bima ya Afya ya NHIF ambayo amekuwa akiitumia tangu 2005...juzi Mzee huyo kazuiwa kutibiwa kadi yake imefungiwa. Kaambiwa apeleke kitambulisho cha NIDA, Nina uhakika hataweza kuthibitishwa kwasababu majina yake na yangu hayana uhusiano (nilimsajili kama wengineo)

Sina mtegemezi mwingine niliyemuandikisha maana wanangu wameandikishwa kwa Mama yao ambaye naye ni mchangiaji wa NHIF.
Binafsi sikumbuki mara ya mwisho nolitumia huduma za Bima hii mwaka gani (siombi niumwe) ila najiuliza kwanini mfuko usiangalie akiba ya fedha alizochangia mtu vs matumizi yake kabla ya kuwafuekelwa watu mbali?
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa chief unataka NHIF iendeshwe kama bima za private. Utakuja lia ndugu, ohoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bima za mashirika binafsi, operation cost mtu akiingia mwenyewe hiyo pesa anayolipia mteja ambaye si mtumishi hataweza kamwe. Mnachoshindwa kutazama ni big picture kwamba NHIF inamembers zaidi ya watumishi ambao mchango wao ni mdogo sana na unatolewa mara moja tu kwa kila mwaka. Ukitaka kusema michango, sasa tuwafukuze hawa wengine. Bima ni cost sharing, wewe kutokuumwa haina maana haitumiki. Sasa kwaunachosema, je wewe unataka bima imsaidie hata mtanzania asiyeajiriwa na anauwezo mdogo au ihudumie watumishi tu. Ndio maana bima hii ikawekwa chini ya serikari maana kama ingebinafsishwa kama nchi ya marekani au nchi zingine haki ya Mungu pesa za kuingia ndani ya bima zingepanda mno tena mno na ingejioperate full kama insurance company usingeamini yatakayokuja kutokea. Maana NHIF haiishii Dar, inafika hadi Rusumo na kijijini uko. Tujifunze kuwaza zaidi ya mtumishi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa chief unataka NHIF iendeshwe kama bima za private. Utakuja lia ndugu, ohoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bima za mashirika binafsi, operation cost mtu akiingia mwenyewe hiyo pesa anayolipia mteja ambaye si mtumishi hataweza kamwe. Mnachoshindwa kutazama ni big picture kwamba NHIF inamembers zaidi ya watumishi ambao mchango wao ni mdogo sana na unatolewa mara moja tu kwa kila mwaka. Ukitaka kusema michango, sasa tuwafukuze hawa wengine. Bima ni cost sharing, wewe kutokuumwa haina maana haitumiki. Sasa kwaunachosema, je wewe unataka bima imsaidie hata mtanzania asiyeajiriwa na anauwezo mdogo au ihudumie watumishi tu. Ndio maana bima hii ikawekwa chini ya serikari maana kama ingebinafsishwa kama nchi ya marekani au nchi zingine haki ya Mungu pesa za kuingia ndani ya bima zingepanda mno tena mno na ingejioperate full kama insurance company usingeamini yatakayokuja kutokea. Maana NHIF haiishii Dar, inafika hadi Rusumo na kijijini uko. Tujifunze kuwaza zaidi ya mtumishi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi Sina shida nao kabisa kuhusu uchangiaji ..shida ni Kwa Nini watupangie watu wa kuwaweka kama wategemezi... Mfano Mimi
...Mimi mtumishi Nina nafasi 4 .... Aliyekuwa mke wangu(wa ndoa) ana nafasi nne jumla tulikuwa na nafasi 8 za wategemezi .... Wazazi wangu wastaafu wazazi wake pia wote Wana kadi za bima, HOJA INAKUJA
"Watoto wote wawili wamekata Mmoja bima ya mama wa pili nimemkatia Kwangu... Zimebaki nafasi 3 kwangu tatu Kwa (former wife)... Lakini siruhusiwi kuweka ndugu jamaa Wala Rafiki ...Kwa Nini!!??
 
Back
Top Bottom