Ni addiction gani imekushinda kuiacha??

wow, ni wadada wachache sana wanafanya hivo
mimi ndoto yangu ni kucheza gta 5 ,saivi nacheza san andreas sababu pc hainauwezo

Hata mimi la kwangu hili NFS linasumbua siku hizi...nikianza kucheza inajitoa sijui nini tatizo

Hata hilo San andreas inaonekana zuri mana mie napenda sana race games
 
Addiction inayonipa shida kuiacha ni,kuingia humu Jf....Najaribu kila siku nisiingie lakini nashindwa
 
PlayStation natamani ata nikifa niikute uko paradise
 
Games aiseeh. Yaani nikiwa free games ndio mwake.

Nikiwa safarini au sipo home basi muda mwingi nakuwa Jf.
 
kula tigo za machanguoa yani nikimwona changu tu mitaa yoyote ile nawazaga kumwomba tigo na wengi siku izi wadau kwaivo kuacha kula tigo za malaya sijui kama ntaacha
Mkuu fanya namba basiii
 
Sasa hivi nimekuwa mtu wa kupuziapuzia sana hata yale ya umuhimu yaani nahisi akili imerudi kama mtoto wa miaka 10 siko serious kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…