TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Hahahaaa hongera. Wakilisha wanaume wengineLabda nguvu zikianza kupungua..
Ninavyokueleza hapa naishi nae pika pakua, na bado sijachoka wala kukinai, na aheri ingekuwa umri wa mwanzo ungesema balehe inanipeleka puta!! Nisharuka mnoo mpaka kuamua kutulia