Ni adhabu gani ya wanajeshi umeshawahi kuipata au kuisikia ilikuwaje?

Ni adhabu gani ya wanajeshi umeshawahi kuipata au kuisikia ilikuwaje?

Huu uzi umefufua machungu waliyowahi kunipa wajeda Wale.
 
kuna mzee wa makamo kama miaka 45-50 hivi alikua anaendesha scania, sasa akafika porini kwenda kujisaidia akapaki gari vizuri tu pembezoni mwa barabara, akaingia chaka kujisaidia kumbe hilo ni eneo la jeshi, na kuna wajeda walikua wanamchora tu mda wote huo, mpaka amemaliza wakati anatoka chaka ndo wakamdaka. [emoji16] wakamrusha kichura chura round tano kuizunguka scania yake halafu wakampeleka mpaka alipokunya wakamwambia abebe kinyesi chake mpaka kwenye gari aondoke nacho[emoji16][emoji16].. mzee aliwalaani sana[emoji16] ila hakua ba ujanja. l

story nlipewa na tingo wake ni mshkaji sana. unaambiwa mzee hatoagi kabisa lift kwa wajeda wala kusemeshana nao hata mtaani. yaaani anawachukia mpka kufa[emoji16]
 
Inaonekana Nyie Wote Mazwazwa Inawezekana Vipi Mke Wa Mtu Anaenda Club???

Au Ndio Nazeeka Vibaya Aisee.
 
Enzi hizo wajeshi bado wanalipa nauli kwenye daladala,. Siku moja akapanda mjeda demu kwenye gari. Bahati mbaya nauli ikiwa haitoshi, konda akapaniki kwakua anamuona ni mwanamke. Konda si akamnyanganya kofi ya jeshi kufidia nauli yake[emoji1787][emoji1787] Makosah in Dj Afro voice.

Dada wa Watu hata hakugomba akaenda kambini akaelezea kilichotokea, Lile gari wakati linarudi wakakuta wanajeshi kama 20 wamejipanga barabarani wakamdaka yule konda. Otea kilichomtokea konda
Hayo mambo ayapo sikuizi
 
Kama unaishi Dar Es Salaam Kawe au Tangibovu au Bondeni lile boarder la kuibukia Ukwamani utakuwa unalifahamu.


Mwaka 2017 napita zangu pale nikadandie kibasi kwenda mzigoni nikamkuta jamaa na boda boda yake analia huku akiikokota ikiwa imezima. Aliambiwa awe anapanda nayo kwa kuisukuma kutoka kibao chao cha Bondeni mpaka kibao chao cha upande wa Kawe, pale kile kijiwe cha Bondeni kuna mwanetu anapaki pale jioni nikaja kumuuliza kuhusu tukio hilo.

Bana kumbe yule jamaa alipita kile kinjia na boda boda yake akitokea Tangibovu na ile njia ni mahsusi kwa waenda kwa miguu tu! Chini wakati anaianza ile njia, jamaa walimwelikeza akajitia ujuaji, wakamuacha, akaenda kukutana nao juu tu hapo kwenye kibenchi chao.

Wakamrukisha kichura chura mnoooi halafu wakamwambia aanze kuikokota akipanda juu na kushuka kile kilima, nilimkuta analia yule jamaa kama mtoto.
 
Nakumbuka nilikua darasa la 6 kitambo tulienda kukata magoli ya miti jeshini ilikua mwanza nyashana, sasa baada ya kukata tukakutana na mjeda mmoja akatuuliza mnafanya nn? Tukamwambia tunapita tu[emoji1787]

Pale tulipokua kwa nyuma tulipotoka kulikua na bango limeandikwa marufuku kupita eneo hili la Jeshi.... Akaanza kutuliza mmoja mmoja , akaanza na mimi ww hukuliona hilo bango linaktaza msipite hapa kwa uoga nikasema niliona ila nisamehe sirudii..

Akanisogeza pemben kulia , wale wenzangu walivoona hivo walipoulizwa kila mtu akawa anasema mimi sikuluona hilo bangk ndomna nikaingia huku wakawa wanawekwa pemben upande wa kushoto tulikua kama 7 ... yule mjeda akachkua ule mti mmoja wa goli akaukata kati na lile panga lile panga akalivunja na mkono kilichofata me niliambiwa ww nenda umesema ukweli wale wenzangu walipigwa vibaya nilikua naskia tu mayowe nikikimbia kwenda hom
[emoji115][emoji115][emoji115] mawardat [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Nakumbuka nilikua darasa la 6 kitambo tulienda kukata magoli ya miti jeshini ilikua mwanza nyashana, sasa baada ya kukata tukakutana na mjeda mmoja akatuuliza mnafanya nn? Tukamwambia tunapita tu[emoji1787]

Pale tulipokua kwa nyuma tulipotoka kulikua na bango limeandikwa marufuku kupita eneo hili la Jeshi.... Akaanza kutuliza mmoja mmoja , akaanza na mimi ww hukuliona hilo bango linaktaza msipite hapa kwa uoga nikasema niliona ila nisamehe sirudii..

Akanisogeza pemben kulia , wale wenzangu walivoona hivo walipoulizwa kila mtu akawa anasema mimi sikuluona hilo bangk ndomna nikaingia huku wakawa wanawekwa pemben upande wa kushoto tulikua kama 7 ... yule mjeda akachkua ule mti mmoja wa goli akaukata kati na lile panga lile panga akalivunja na mkono kilichofata me niliambiwa ww nenda umesema ukweli wale wenzangu walipigwa vibaya nilikua naskia tu mayowe nikikimbia kwenda hom
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa jet tanga kule chini kwenye mikoko nilikuwa nasoma kakitabu nimekaa chini ya mtu lakini pembeni yangu kuna mtu na demu wako nao wamekaa kwenye mti wanabebishana

Kumbe eneo la jeshi hatujui tukasikia huko kichakani mtu anavunja fimbo anatokea akatuangalia akanisalimia kwanza mimi dogo vipi nami nikamsalimia akawageukia wale wengine kilichotokea Mungu tu ndio anajua



Mimi hata hakunigusa mpka leo najiuliza kwa nini
 
Hao jamaa kama hukuwatibua na kuingia anga zao ni watu poa sana, wanapoweka bango usifanye hivi ukafanye jilaumu wewe kwa ukaidi. Kama ungetii wala wasingekugusa hata, wala kuwa na habari nawe. Wanajeshi kwa raia wapo fair tu, mjini hao ndiyo wanawasaidia watoto wetu kwenye mabasi yao wakinyanyaswa na makonda ili wasichelewe shule. Wanawapandisha bure, bado hospital zao wanafunzi hawalipi chochote kile wakija kutibiwa mijini.

Mleta uzi hapo ulaumuni mdomo wenu na bia zenu, mngewajibu kistarabu basi huenda wasingewafanya kitu huyo shemeji yako angekuja kuwaadhibu yeye tu. Mmewakuta wapo zamu na ni eneo la kazi unawajibu kunya kisa mke wa mjeshi. Hao jamaa kazi ikienda hovyo nao wanaadhibiwa, saaa kuliko yawakute hayo ukiwazingua wanakuzingua. Usimletee mzaha eneo lake la kazi. Halafu siku hizi ule ubabe kisa fulani ana cheo kikubwa haupo, hiyo iliisha awamu ya nne.

Kuna huyo wa kusahau kitambulisho hilo ni kosa kubwa sana, hawajamwadhibu wameamua kukusumbua tu ili ukumbuke umuhimu wake. Wamekukumbusha tu ukiensa maeneo ya watu kitu hicho ni muhimu, ofisi zingine wangeweza kutafsiri huo ni uzembe.

Hapa asilimia kubwa nimeona wanaweka malalamiko hayo, ila ukitazama walikiuka sheria zao ulitaka wakuache? Mfano wamekuacha na wapo eneo la kazi, mkuu wao kawaona. Unajua watakachofanywa? Inaweza kuwa zaidi ya hiyo adhabu waliyokupa.

Wale jamaa tunawaona ni wanyama na makatili ila ukweli usipoingilia mambo yao ni watu poa sana na hawana shida. Ingawa wapo wachache wanaokengeuka akili kisa gwanda walilovaa
 
Wanajeshi hata kama hauna kosa unatengenezewa kosa. Nilitumwa jeshini kikazi nimeulamba na mchuchumio juu.kufika getini nikaruhusiwa nikakaa pale mapokezi.

Kweli walinichangamkia si unajua wanaume kila mtu anataka no.mmh.

Nikawaambia nilichokifata kweli walikuwa wakijua hiyo issue ila walikuwa wakikwepa nisikutane na hao watu ambao ni wafanyakazi humo ndani ila sio wanajeshi.

Tatizo wakati naenda nikasahau kitambulisho, yesuuuuuu, hili ndo kosa kubwa nilifanya. Nikapelekwa kwa mkubwa wao.

Swali la kwanza wewe ni raia au ni mpelelezi? Nikasema mimi ni raia, unatoka wapi? Nikajibu, akasena watu wa hiyo wilaya sio raia, nikawapa kitambulisho cha nida akasema hicho kinatafutwa huko kwenu hakunaga raia.

Hapa nikawaza nimpigie boss wangu maana nilienda pale kikazi na ni ilikuwa ni amri so kikawaza nimpigie.

Nikapelekwa ofisi nyingine nilihojiwa kuanzia babu na mabibi nisio wajua.

Documents nilizopeleka pale zinaonesha ninakotoka na niko sahihi kuwa pale tatizo sina kitambulisho.
Nilizungushwa ofisi zote, mara mvua ikanyesha mjeshi mmoja akasema huyu avue viatu abilingishwe hadi getini, kwanza sio raia anatoka wilaya ovyo kabisa. Sio raia wale😂😂😂

Mjeshi mwingine kasema mwacheni tu aje huku tumkague kama ni raia.

Nikapekekwa kwenye kachumba na mjeshi wa kike nikavua shati aangalie kama nina ndui ile chanjo iliachaga kovu, basi akaikuta, nikarudishwa ofisini, nikataka kumpigia boss wangu hawataki maana walijua ntapata msaada fasta .
Jioni sana nikaruhusiwa kuondoka ila wakaweka ngumu nisikutane na wale watu ingawa niliwaona, nikaondoka zangu.

Nyie watu jeshini sio sehemu salama.yaani huwezi kwenda kule ukakosa kosa lolote lazima wakutengenezee kosa ilimradi tu wakunyooshe akili ikukae sawa.
Niliwaza sana hizi movie tunazoziona mtu anajitosa kuingia jeshini anakuwa hajipendi.

Sidhani katika hali ya kawaida kama kuna kaka jambazi ambae alishawahi ingia jeshini akatoka salama maana wako makini sana.
Wanaingia kambini na kujaribu kufanya uhalifu...ila wengi udakwa
 
Kuna mjeda mmoja Mwanza alikuwa ana shamba la miwa maeneo ya Iseni,Nyegezi,sasa kibaka mmoja akawa anakwimba miwa yake mara kwa mara,mwisho wa siku akaingia 18 za mjeda:Kwanza alimpa hongera kwa uvunaji wa kisiri,jamaa akaenda shambani kwake akakata miwa km 20 mirefu yenye afya,akamwambia;dogo naona una hamu sana na miwa,sasa naomba ule miwa yote ili hamu ikiushie[emoji23][emoji23][emoji23],dogo alianza kwa utamu, muwa wa pili tayari midomo imechanika na fizi zinazotoa damu,alishindwa kumaliza ndo extra drills zikaanza,

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Jamaa Walikuwa wanapita na kigoma cha Uruguay wanatoka kawe wanaelewa makongo juu kule,vibe likazidi wakajisahau wapo viunga vya lugalo jeshini uku wanapiga vigoma na wanawake kukatika viuno.Wakaitwa wakawapigie wanajeshi maana 'walipenda Ngoma yao'

Jamaa walipigishwa Ngoma kuanzia jioni Hadi asubuhi non stop Hadi mikono ya wapiga Ngoma ikavimba,wanawake walikatika viuno Hadi wakachoka.kufika asubuhi Waimbaji na wapiga Ngoma wote wakawa wanalia huku burudani ya Ngoma Kwa wajeda ikiwa inaendelea...Ilikuwa kitambo hiko lkn

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ni kali
 
Nilikuwa jet tanga kule chini kwenye mikoko nilikuwa nasoma kakitabu nimekaa chini ya mtu lakini pembeni yangu kuna mtu na demu wako nao wamekaa kwenye mti wanabebishana

Kumbe eneo la jeshi hatujui tukasikia huko kichakani mtu anavunja fimbo anatokea akatuangalia akanisalimia kwanza mimi dogo vipi nami nikamsalimia akawageukia wale wengine kilichotokea Mungu tu ndio anajua



Mimi hata hakunigusa mpka leo najiuliza kwa nini

Tatizo ulikuwa unasoma, then wenzio wanafanya ujinga.
Hiyo ndio salimika yako[emoji16]
 
Nakumbuka nilikua darasa la 6 kitambo tulienda kukata magoli ya miti jeshini ilikua mwanza nyashana, sasa baada ya kukata tukakutana na mjeda mmoja akatuuliza mnafanya nn? Tukamwambia tunapita tu[emoji1787]

Pale tulipokua kwa nyuma tulipotoka kulikua na bango limeandikwa marufuku kupita eneo hili la Jeshi.... Akaanza kutuliza mmoja mmoja , akaanza na mimi ww hukuliona hilo bango linaktaza msipite hapa kwa uoga nikasema niliona ila nisamehe sirudii..

Akanisogeza pemben kulia , wale wenzangu walivoona hivo walipoulizwa kila mtu akawa anasema mimi sikuluona hilo bangk ndomna nikaingia huku wakawa wanawekwa pemben upande wa kushoto tulikua kama 7 ... yule mjeda akachkua ule mti mmoja wa goli akaukata kati na lile panga lile panga akalivunja na mkono kilichofata me niliambiwa ww nenda umesema ukweli wale wenzangu walipigwa vibaya nilikua naskia tu mayowe nikikimbia kwenda hom
Nacheka kama mazuri... Pole Sana mzeiya
 
Back
Top Bottom