Ni afadhali mara mia Yanga ipangwe na Mamelodi Sundowns kuliko ASEC Mimosas

iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apa
Nyie simba ni wakubwa kuliko Yanga kimataifa hilo linafahamika. Ila kumbuka record huvunjwa mzee na mpira wa sasa umebadilika sana.

Mnajifariji kwa historia utadhani mmekua watu wa porini
 
Nyie simba ni wakubwa kuliko Yanga kimataifa hilo linafahamika. Ila kumbuka record huvunjwa mzee na mpira wa sasa umebadilika sana.

Mnajifariji kwa historia utadhani mmekua watu wa porini
Rekodi zinaongeza klabu point na klabu point zinavyozid kuongeza klabu Rank inazidi kupanda juu na Klabu Rank ikiwa kubwa ni rahisi kuuza Brand ya klabu mfano Real madrid ni Best club of all Time in Football History sababu ya rekodi alizotengeneza sio kitu kingine Msimu huu Simba kacheza Africa Super leauge sababu ya Rekodi zake kwenye CAF champions leauge sio kitu kingine .
 
Point iliyopo kwa wenye akili timamu na tulioucheza mpira ni je kwanamna ipi simba ataivuka hii hatua ambao inampa tabu kwa miaka mingi? Na je Yanga nae kivipi ataingia nusu fainal?
Kumbe ndo hili? Bas acha tusubiri.
 
Waambie ukiingia robo lazima ukutane na wanalijua soka[emoji7] Simba yoyote anajitupa uwanjani. Kuvuka au kutovuka ni DK 180. Huwezi kuwa Mkubwa Kwa kucheza na kina Marumo[emoji16]
Au US monastir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila msije mkafa uwanjani kwa furaha tu
Ohh tunaenda kuifunga Al Ahly kwao. Al Ahly mnaijua?
Yanga ushindi kwao ni vitu vigeni ndiyo maana walizimia uwanjani.
Mtu kala 6-0 halafu kimya kama hakuna kitu na watu hawazungumzii mechi. Ndiyo ujue ushindi kwa Simba ni kawaida sana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Au US monastir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kwamba kwenye mpira ukishatanguliza unazi kila inachofanya Yanga kwakuwa hauipendi ni kuponda utakuwa unafeli sana haya unaitolea mfano us monastr kuwa ni dhaifu je simba ambaye alikula goli 5 mpaka kafukuza benchi lote la ufundi unaizungumziaje? Vipi usm alger ambayo yanga kakutana nae final akafungana nae 2 kwa 2 kiasi kwamba yanga alitolewa kwa goli la ugenini ila huyo huyo usm alger alipokutana na bingwa wa champion league akamtandika utasemaje napo? Mpira sio mchezo wa kila mtu kushabikia
 
Ushindi wa goli 6 dhidi ya timu ya aina gani? Na ushindi wa goli 4 dhidi ya timu ya aina gani? Na je mbona kuna mshkaji mmoja wa Yanga hapa mtwara tumemzika mwaka jana kisa usm alger kuifunga Yanga taifa? Umewahi kucheza mpira?
 

Enyimba na raja Casablanca ipi ni timu bora kwa miaka hii 10?
 
Ushindi wa goli 6 dhidi ya timu ya aina gani? Na ushindi wa goli 4 dhidi ya timu ya aina gani? Na je mbona kuna mshkaji mmoja wa Yanga hapa mtwara tumemzika mwaka jana kisa usm alger kuifunga Yanga taifa? Umewahi kucheza mpira?
Kwa vile mlipigwa 3-0 ndiyo unasema ushindi wa aina gani? Pole kwa kuzimia uwanjani๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Ushindi kwenu ni vitu vigeni
Simba asingepigwa 3-0 na Boulzdad. Ingefungwa ni 1-0 au 0-0 au 1-1.
Al Ahly huyo hapo meshindwa kuifunga๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Mnapenda kujifariji๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Al Ahly na Simba walitoka 2-2 na kwao ilikuwa 1-1. Nyie mkaenda kufungwa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Simba alimaliza kinara kwa point 13 mbele za al ahly mwenye point 8 ila huyo simba hakuvuka kwenda nusu ila al ahly alichukua ubingwa vipi umejifunza nini?
 
Betting imeharibu mno tasnia ya uchambuzi wa soka
 
Mim nipe yoyote mzee wew ambaye unachagua chagua mara sjui Asec Wew kama Mwamba Subiri CAF watakudondesha Nani Usichague Chague Timu pale Hamna Polisi Tanzania
Yaani kila msimu unaishiaga hapo hapo halafu leo unajitapa nipe yeyote utafikiri uliwahi kupita zaidi ya hapo.
 
Siku ya kwanza kupangwa makundi kwenye kundi la D kuna aliekajua kama Yanga ataingia robo halafu belouzdad asifuzu? Je kwenye kundi la simba kuna aliekajua kuwa wydad hatoingia robo fainal? Tuongee kisoka tuachane na mihemko ya balehe
Wengi waliamini kuwa Wydad na Simba watafuzu
Huku Al Ahly na Belouizdad ndio watafuzu ila mwisho wa siku timu za pot 3 zimefuzu kasoro Al Hilal pekee
 
Ugeni sio kucheza robo bali kufuzu hiyo robo kwenda nusu. Simba kama kila msimu anaishia hapo hapo basi ni mgeni wa nusu fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ