nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,915
- 7,210
Nyie simba ni wakubwa kuliko Yanga kimataifa hilo linafahamika. Ila kumbuka record huvunjwa mzee na mpira wa sasa umebadilika sana.iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apa
Mnajifariji kwa historia utadhani mmekua watu wa porini